Je, wajua Djibouti walivunja mkataba na DP-World?

DP World in pornographic movies enthusiasts' perspertives means double penetration world. Huku bandari ya DSM, kule airport ya KIA
 
DP World in pornographic movies enthusiasts' perspertives means double penetration world. Huku bandari ya DSM, kule airport ya KIA
Ndicho tulichoweza kufikia.

Tuna kelele nyingi zisizo za nasibu
 
Mi naona wapewe tu, dunia ipo kitechnolojia zaidi sisi tupo ki maneno zaidi, mifumo yetu ya kizamani sana
 
Kupewa mzungu au mwarabu chochote akiendeshe sio tatizo, tatizo linakuja pale huyo anayetoa anapokuwa hajielewi, anafanya mambo ya msingi kwa akili ya mtoto mdogo, huyu hatufai kabisa, hafai kutetewa kwa jina lolote iwe system au vinginevyo.

Hiyo system haikuandaa terms za ule mkataba wa hovyo, hiyo system haikusaini ule mkataba, hiyo system haikumpa mwarabu zawadi ya rasilimali zetu, ni individuals ndio wanaohusika na huu ujinga, na tunawafahamu kwa nafasi na majina yao, sasa kwanini tusihangaike na hawa wajinga wanaotuingiza kwenye matatizo ya vizazi vyetu?
 
Mkataba umeuona kwani?.
 
Kumbe shida ni Uarabu!.Upuuzi.
 
Kama DP world inamilikiwa na Serikali ya Dubai,

Iweje Serikali yetu ishindwe kuwekeza katika bandari yetu wenyewe na kuwaza kuuza Mali yetu Kwa Kampuni ya nchi ingine?

Hili ni kosa lisilosameheka,

Sa100 must go.
 
Duuh wee ndo akili kisoda kweli,baada kusema tupeleke wataalamu kusoma warudi na ujuzi wa hio technology eti wapewe tu
Tumepeleka sana tu mkuu, lakini wote wanarudi kama walivyoenda na wanakuwa wametumia pesa ndefu..
nenda TCAA, PBPA ,TPDC...alafu urudi na majibu ya training wanazoenda
 
Tatizo letu Watanzania linaanzia kwenye uongozi na sheria
Wanaosema tuna hitaji katiba mpya naungana nao. Katiba ya sasa ina ubaguzi mwingi inawapa watawala nguvu kubwa sana.
Watawala wanatumia mwanya huo huo kujilinda,hebu fuatilia miswaada inayopelekwa Bungeni yote imeangalia upande mmoja tu ambao ni kuwalinda watawala hata kama watafanya makosa gani na upande wa pili inawabana wananchi kupindukia.
Matokeo yake watawala wanateua watendaji bila kuzingatia weledi wa mtu, unaweza kuta mtu hana uwezo kabisaa lakini ndiye boss,huyo unategemea wa chini yake watakuaje. Boss wa hivyo ukienda na mawazo chanya anakuona adui wake.
Watanzania wenye uwezo wapo sana tu shida inaanzia kwenye sheria zetu.
 
Ukweli ni kwamba Tz hatuwezi kuendesha shirika lolote kiufanisi sisi niwezi, masikini ni wezi matajiri ni wezi.....achani wenye maadili wa tufanyie biashara.
 
Umeuliza swali nzuri sana, miongoni mwa watu wanaopambana sana kuwekeza kwenye biashara na mitaji ya kawaida wanayo ni wafanyakazi. Lakini kinachowaangusha sikuzote ni wasimamizi coz mfanyakazi Hana muda wa kutosha kuisimamia biashara. Sasa licha ya wengi kufail lakini wapi wanaofanikiwa. Kwani hakuna watanzania wenye biashara zaidi ya mkoa mmoja na biashara zinaendelea? Hivi nauliza huko kwa wenzetu Hakuna wapigaji yaan Sheria zao mbovu kama za kwetu na watu hawapigi? Lakini mswahili anamheshimu sana mzungu, wahindi, waarabu lakini sio mswahili mwenzake ukitaka kujua Hilo nenda kawaone waswahili wanaofanya kazi kwenye maduka ya wahindi/waarabu wakiitwa na boss wanavyokimbia fasta na kwa nidhamu, angalia wanavyotukanwa lakini kesho yake lazima aje kazini. Sasa nenda kwa mswahili kwa mswahili ni tabu tupu. Hili taifa linawatu wa hivyo sana hususani vijana
 
Kufanya biashara kubwa hapa Tz ni pasua kichwa, TRA wezi, watumishi wako wezi bandarini wezi, wizara na mamlaka husika wezi hamna unafuu popote, wengi wanao pinga hiyo tenda ndo walio kua wanafaidi na ubomvu wa utendaji wa bandari.
 
Umesema vyema sana. Mfumo uliopo nchini ni wa wizi wa dola (KLEPTOCRACY) toka juu hadi chini. Ndio maana wako tayari kuua ili wasiachie madaraka.

HIVYO basi (it follows that) huo mkataba hautaweza kurekebishwa inavyopasa chini ya utawala huu wa CCM hii hii. That’ll never happen!
 
Kani Kalamagamba, kuhani mkuu wa Magufuli umesikia akitia neno lolote hapo?
Ukikumbuka alivyokuwa akijivimbisha na uzalendo feki wakati ule, hushangai kutomsikia kabisa? Ni kama na yeye aliaga dunia na aliyekuwa akimtumikia.

Watu wa aina hii tunao wengi sana ndani ya nchi yetu, na hili ndilo tatizo leyu kubwa kama nchi.
 
Kufanya biashara kubwa hapa Tz ni pasua kichwa, TRA wezi, watumishi wako wezi bandarini wezi, wizara na mamlaka husika wezi hamna unafuu popote, wengi wanao pinga hiyo tenda ndo walio kua wanafaidi na ubomvu wa utendaji wa bandari.
Geuza upande wa pili, utaona sura mbovu zaidi ya hiyo uliyoieleza hapo.
hawa wanaouza nchi ndio hao hao wanaolea hayo uliyoyaeleza wewe hapo. Kwa hiyo usione kuwa kuna unafuu wowote unaotokana na ulalamishi wako.

Dawa sahihi ni kuwashughulikia hawa unaodhani kuwa ndio wanaofanya mazuri. Matatizo yote yanasababishwa na wao.
 
Hizi mishe aliwezaga Magu tu, wengine wakisikia sauti ya mweupe tu wanakunja mikia ka nyau chotara!
Magu tutamkumbuka sana,
1 kuua upinzani ushahidi leo bunge lina wabunge wa ccm tu

2 hutumujua wizi wake sababu viombo via habari halivipiga marufuku ufisadi wake tunge ujuaje?

3 maguli ndie rais wa kwanza tz kukwapua tirioni 1,5 kwa muhula wa kwanza ushahidi kumfuta kazi CAG baada ya kubaini wizi huo afirika hakuna raisi mzuli bado haja zaliwa

Allah arehemu gadaff huyo ndie raisi pekee alie wai kuwa na huruma na wananchi wake
 
Mkataba umeuona kwani?.
Kwani ninahitaji "kuuona mkataba" kabla sijatoa maoni yangu kama nilivyoyawasilisha hapa?

Nieleze uhusiano wa huo mkataba na maoni yangu hapa, halafu tutajadili vizuri maoni yangu haya.
 
umenikumbusha nilikuwa najenga nyumba nikaanza kufyetua matofali nikampa jamaa mmoja kazi ya kuyefyetua nikimuamini vile ni jirani yangu.
Cha ajabu nilivyorudi kwa kweli alifyetua matofali yote na hayakuwa dhaifu hata kidogo.Ila nikakuta kapiga nyumba yake plasta zile nyumba style tunaiita chupi yaani unaingia barazani kushoto chumba na kulia chumba amepiga plasta ndani na nje.
sikuhoji nikajenga nyumba yangu na ni imara tu.Si ajabu kila mfuko alikuwa anaiba cement kwa akili anatoa kilo moja moja.
Hata hivyo nilimshukuru niliona labda nimetoa sadaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…