Je Wajua Japo Baba ni Kichwa cha Nyumba, Mama Anaweza Kugeuka Kichwa Akawa Baba?. Wajua Rais Samia ni Mwanamke , ni Mama, Kwa TZ ni Kichwa ni Baba?.

Je Wajua Japo Baba ni Kichwa cha Nyumba, Mama Anaweza Kugeuka Kichwa Akawa Baba?. Wajua Rais Samia ni Mwanamke , ni Mama, Kwa TZ ni Kichwa ni Baba?.

Mhm huyu "baba" huyu.. Let me reserve my comment! But seriously speaking kumpa cheo cha ubaba ni in any way ni kuidhalilisha hii jinsia.. Pascal sijui umewaza nini
Anatafuta uteuzi kwa kumdhalilisha Bibi, tangu lini mwanamke akawa Baba kama sio upunguani ni nini?
 
Dah pascal bana, baba kweli..? Sikuungi mkono kwa hili

Sina mfumo dume ila niamini baba ni baba tuu na mama ni mama tuu.

Ahsante
Ili nyumba isimame, lazima kichwa kiwepo, baba ndie kichwa cha nyumba, ikitokea amekufa, what happened to nyumba yenu?, mtasubiri mama yenu arithiwe mpate baba mwingine, ndio maisha yaendelee, na mrithi asipojitokeza, nyumba inasambaratika?.

Unaonaje kama mama yenu, baada ya kumzika baba, aligoma kurithiwa, akagangamala, akasimama imara na kuchukua nafasi ya baba, hivyo akawa kichwa cha nyumba, mama akiwa kichwa, anakuwa yeye ndie baba, ndiye mama!

Rais ndie kichwa na nchi, kafa, Mama ndio kachukua urais, je ni kichwa au sio kichwa?. Kwa vile kuwa kichwa its the role na sio kile kiungo cha jinsia, kichwa akiwa mwanaume anaitwa baba, ni masculine title, kama Amiri ni masculine title, feminine tiltle ya Amiri ni Amirati, Rais Samia ni Amirijeshi Mkuu, na sio amirati!.

The same applies to Chairman wa CCM, title chairman is masculine title, feminine yake ni chairwoman, Rais Samia ni chairman wa CCM!, na sio chairwoman!.

Hata tukipata Gorvenor wa BOT mwanamke, bado ataitwa Gavana wa BOT, japo gorvenor ni masculine tiltle ,feminine yake ni gorverness
P
 
Kifalsafa upo Sahihi.
Nafikiri Mada hii umezungumzia kifalsafa zaidi.

Kwenye falsafa kuna kipera cha Logic (Mantiki) ambapo kwenye Lugha hasa isimu kuna kitu inaitwa Semantic.

Baba maana yake ni enye nguvu, chanzo, mtoaji(mhudumiaji), Mamlaka, hodari n.k.

Kwa Mantiki hiyo mtu yeyote mwenye nguvu, chanzo,au mtoaji na mwenye Mamlaka, mwenye nguvu huyo ni Baba.

Kibaolojia, Baba ni Maumbile
Asante sana Mkuu Robert Heriel Mtibeli, mwanzo ulikuwa unajiita taikon wa fasihi, wewe kweli ni taikon wa fasihi, wafunze madogo humu!, tunapozungumzia baba kichwa, tunazungumzia baba mamlaka sio baba kibaolojia kile kiungo cha jinsia!.

P
 
Ili nyumba isimame, lazima kichwa kiwepo, baba ndie kichwa cha nyumba, ikitokea amekufa, what happened to nyumba yenu?, mtasubiri mama yenu arithiwe mpate baba mwingine, ndio maisha yaendelee, na mrithi asipojitokeza, nyumba inasambaratika?.

Unaonaje kama mama yenu, baada ya kumzika baba, aligoma kurithiwa, akagangamala, akasimama imara na kuchukua nafasi ya baba, hivyo akawa kichwa cha nyumba, mama akiwa kichwa, anakuwa yeye ndie baba, ndiye mama!

Rais ndie kichwa na nchi, kafa, Mama ndio kachukua urais, je ni kichwa au sio kichwa?. Kwa vile kuwa kichwa its the role na sio kile kiungo cha jinsia, kichwa akiwa mwanaume anaitwa baba, ni masculine title, kama Amiri ni masculine title, feminine tiltle ya Amiri ni Amirati, Rais Samia ni Amirijeshi Mkuu, na sio amirati!.

The same applies to Chairman wa CCM, title chairman is masculine title, feminine yake ni chairwoman, Rais Samia ni chairman wa CCM!, na sio chairwoman!.

Hata tukipata Gorvenor wa BOT mwanamke, bado ataitwa Gavana wa BOT, japo gorvenor ni masculine tiltle ,feminine yake ni gorverness
P
Ahsante kwa ufafanuzi
 
Back
Top Bottom