Reference ya NDOA Gani halali na haramu ni Biblical, Neno la Mungu.Utaratibu wa kuoa mke mmoja ni utamaduni wakizungu tu , africa ,mashariki ya kati na uchina huu Utaratibu haukuwepo.
Yesu ni Mungu tangu linSi kweli mkuu umekubal Yesu ni Mungu?
Nimeuliza coz umempamba mtoa madaYesu ni Mungu tangu lin
Yesu NDIYE mwanzo na mwisho, Alpha na Omega. (Ufunuo 1:6-8).Yesu ni Mungu tangu lin
Toa ujinga wako hapa!Yesu NDIYE mwanzo na mwisho, Alpha na Omega. (Ufunuo 1:6-8).
Pia ndiye Amirijeshi mkuu wa majeshi yote Mbinguni (Soma Ufunuo 19:11-16).
Ndio ni mpango wa Mungu il yesu hakuwahi kuwa Mungu ..Ukimfananisha Mungu na yesu ni dhahiri umefanya ushirikina.Nimeuliza coz umempamba mtoa mada
Kitabu kilichosema alikamatwa, ndicho kimesema ndiye Mungu alpha and Omega.Toa ujinga wako hapa!
Huku alikamatwa mnadai na akawa anaomba Mungu msaidie π π
Na ukimtenga Yesu na Mungu, unaitwa Mpinga kristo.Ndio ni mpango wa Mungu il yesu hakuwahi kuwa Mungu ..Ukimfananisha Mungu na yesu ni dhahiri umefanya ushirikina.
Full of contradictions ...Kitabu kilichosema alikamatwa, ndicho kimesema ndiye Mungu alpha and Omega.
So omba ufafanuliwe, usiamini baadhi na kukataa mengine kitabu hicho hicho.
Nenda kasome verses nilizoquote urudi kuuliza tena.
Jews sio wazungu, wala sio wale unaowaona pale Israel ya sasa, hakuna ndoa halali wala haramu.Reference ya NDOA Gani halali na haramu ni Biblical, Neno la Mungu.
Na Jews Si wazungu wale, Ibrahim hakuwa mzungu. Wala Yesu Si mzungu.
Mpinga kristo ni yule aliyekuwa akajitambulisha yeye ni mtume wa yesuNa ukimtenga Yesu na Mungu, unaitwa Mpinga kristo.
Karibu.
Bila kugusa ukwel kuhusu uwepo wa MunguNdio ni mpango wa Mungu il yesu hakuwahi kuwa Mungu ..Ukimfananisha Mungu na yesu ni dhahiri umefanya ushirikina.
Yote tisa watatuburuza ila kusema yesu ni Mungu ni Big noπ πBila kugusa ukwel kuhusu uwepo wa Mungu
Kuna mda unawashangaa walokole wanaposema huyo yesu ni Mungu , wakati yeye mwenyewe kwenye hizo hadithi alikanusha.
Hawa jamaa ni wagumu sana kuelewa kila siku tunawaambia ndoa ya mke mmoja hiyo ni sheria za wazungu tena roman Catholic.Jews sio wazungu, wala sio wale unaowaona pale Israel ya sasa, hakuna ndoa halali wala haramu.
Kila jamii Hufunga ndoa kulingana na taratibu na mila zao .
Ndio maana serikali hutambua ,ndoa za kimila ,kidini na za kiserikali.
Mwanamke na mwanaume wakitambulika na jamii na wazazi wa pande zote mbili ,hiyo tayari ni ndoa halali
Labda kama utaufungia ufahamu wako kwenye cheti ,ukifikiri hiyo ndio ya Mungu .kumbe tu ni utaratibu tulioletewa na wakoloni.
Yesu sio Mungu, umeona wapi MUNGU anazaliwa na binadamu ?Yote tisa watatuburuza ila kusema yesu ni Mungu ni Big noπ π
Mara sijui kuhun musa ,mara nipo kiroho , mara usipeleke fungu la kumi kwa yatima , mara divai sio pombe,sijui wanatuona haya maandiko hatuyasomiYote tisa watatuburuza ila kusema yesu ni Mungu ni Big noπ π
Mtume Paulo alisema ndoa ni optional, ilimradi uweze kudhibiti tamaa! Otherwise Ndoa ni muhimuMatamko hayo Yana uvuvio wa kipepo.
NDOA sahihi ni furaha na baraka tele.
Amen
Ikiwa unamwamini Yesu ambaye hakufa, na hakufufuka, Ikiwa huamini Yesu NDIYE MUNGU atakayerudi kuuhukumu Ulimwengu,Mpinga kristo ni yule aliyekuwa akajitambulisha yeye ni mtume wa yesu
Yeye atakayenikana mbele ya watu NAMI NITAMKANA MBELE YA BABA YANGU ALIYE MBINGUNIYesu sio Mungu, umeona wapi MUNGU anazaliwa na binadamu ?
Akili za walokole zimeshikiliwa na mchungaji
Hii ata ukitoa habari ya Mungu tu , ukila ukashiba ,ukafanya na mzoezi vizuri utaona tu mwanamke mmoja hatoshi.Hawa jamaa ni wagumu sana kuelewa kila siku tunawaambia ndoa ya mke mmoja hiyo ni sheria za wazungu tena roman Catholic.
Mungu hajawahi kuweka sheria ya kuoa mke mmoja wala kupata cheti cha ndoa