- Thread starter
- #181
Reference ya NDOA Gani halali na haramu ni Biblical, Neno la Mungu.Utaratibu wa kuoa mke mmoja ni utamaduni wakizungu tu , africa ,mashariki ya kati na uchina huu Utaratibu haukuwepo.
Na Jews Si wazungu wale, Ibrahim hakuwa mzungu. Wala Yesu Si mzungu.