Paulo hakuoa na hakujihusisha na UZINZI maisha yake yote.Yesu hakuoa na Paulo hakuoa halafu hao wote wameshikilia kidete Mambo ya ndoa
Ndiye kinara katika kuhimiza ndoa,sasa mtu na akili zako unaanzaje kumsikiliza/kufata maandiko ya hanithi?Paulo si alikuwa Hanithi mzee
Wewe ni uzao wa Nyoka umejaa upotofu!!Paulo alikuwa Hanithi sasa Ukitaka aoe akamfanyaje Mwanamke acheke naye
Mimi ninao uwezo wa kukuonyesha paulo sio Rijali wwe naimba uthibitishe ni rijali...Wewe ni uzao wa Nyoka umejaa upotofu!!
Paulo alikuwa Rijali, BIBLIA imeeleza aina mbalimbali za matowashi!!
Uzao wa Nyoka huwezi kuthibitisha BIBLIA kitabu kitakatifu,Pumzi ya Mungu!!Mimi ninao uwezo wa kukuonyesha paulo sio Rijali wwe naimba uthibitishe ni rijali...
Kuna kitu nimegundua wewe ni mtu wa Blah blah sana na huna ulijualo kuhusu biblia we ni mfata mkumbo kama wengine..Nilitka uende kwenye biblia nikuone maana huko kwangu sidhani kama ntakuacha salama...Uzao wa Nyoka huwezi kuthibitisha BIBLIA kitabu kitakatifu,Pumzi ya Mungu!!
Jikite kwenye Mada. Rudi kusoma heading ya thread.
Jikite kwenye mada.Kuna kitu nimegundua wewe ni mtu wa Blah blah sana na huna ulijualo kuhusu biblia we ni mfata mkumbo kama wengine..Nilitka uende kwenye biblia nikuone maana huko kwangu sidhani kama ntakuacha salama...
Halafu kingine nikusaidie Nyoka hazai anataga mayai 😅😅😅
Nimejikita kwenye mada ila kutokana na kutokujua kwako biblia na mambo ya Kijinsia wewe ndo umenitoa...Jikite kwenye mada.
Unazuia wenye Nia njema kutaka kujua umuhimu wa Kuoa mke au Kuolewa na mtu sahihi, Kutoka Kwa MUNGU!
Dah, so brain cracking!! Nakumbuka nikiwa nawafundisha wanafunzi wangu kuwa moja ya resolutions za Berlin conference ilikuwa "send more missionaries to Africa to prepare them for colonization and reduce opposition/rejection......" Hii ndio ile ulimwengu hadaaa...Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea
Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu.
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata
Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje
Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani.
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake
Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair
Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima.
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu
Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously ?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani.
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”.
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk
Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu.
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi
Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa
Asante. Jibu la utapeli wako hilo hapo
Ila basi tu. Bora watu weusi tusingekuwepo. Mtu anakalilishwa uongo wa kudanganya wenzie na kuwatapeli na anaona raha. Huu ujinga waliojazwa,wangejazwa akili za maendeleo tugekuwa mbali sana. Wengine Wine eti ni damu ya msela. Vijidude flani vya ngano,eti vimeombea na mwili wa mtu ukaja humo. Kweli?! Hapana aise,hapanaDah, so brain cracking!! Nakumbuka nikiwa nawafundisha wanafunzi wangu kuwa moja ya resolutions za Berlin conference ilikuwa "send more missionaries to Africa to prepare them for colonization and reduce opposition/rejection......" Hii ndio ile ulimwengu hadaaa...
Na watu wote ni wa Bwana pia, hata walevi, waasherati, waongo..wote ni wa Bwana...mnapofundisha watu msiwafundishe katika hali ya matananio ya kibinadamu..kuwa atapata mwenza mtakatifu, mpole, n.k..WAAMBIENI wafuasi wenu Mungu anaweza mpa mwenza, mkorofi, mlevi, mbishi, asiyeabudu, muasherati n.k na kupitia wote wawili wasaidiane madhaifu yao.wabadirishane, wafundishane..waishi maisha mema Duniani na wasaidiane kufika mbinguni.....Hilo nalo ni somo jingine, tuombe Mungu asaidie pia niletee humu.
Bt in short, ukijazwa Roho MTAKATIFU, utasikia maelekezo kabisa Kutoka ndani,
Ni muhimu pia kushirikisha waliookoka wakusaidie kuomba.
Ndipo linapotimia neno lisemalo,
MKE MWEMA HUTOKA KWA BWANA. AMEN
Hata Biblia haijalazimisha kuoa ila imesema uwe towashi, usifanye zinaa...Kwani lazima kila mtu aoe au kuolewa bidada?
That's beyond personal freedom.
Katiba imetoa ruhusa ya miunganiko tofauti tofauti na ni ya hiyari zaidi na ndoa ni muunganiko wa hiyari
So aliyekataa kuoa ili atunze kibunda chake yuko sawa na aliyesema ataoa ili atumie kibunda na mwenzi wake wako sawa tusichukulie aliyekataa kuoa ni wakala wa shetani.
Hii quote watairuka watajifanya hawajaionaNa watu wote ni wa Bwana pia, hata walevi, waasherati, waongo..wote ni wa Bwana...mnapofundisha watu msiwafundishe katika hali ya matananio ya kibinadamu..kuwa atapata mwenza mtakatifu, mpole, n.k..WAAMBIENI wafuasi wenu Mungu anaweza mpa mwenza, mkorofi, mlevi, mbishi, asiyeabudu, muasherati n.k na kupitia wote wawili wasaidiane madhaifu yao.wabadirishane, wafundishane..waishi maisha mema Duniani na wasaidiane kufika mbinguni.....
Na huu ndo uhalisia...au nyie wenzetu..mnaojiita walokole..mambo yeny yamenyooka na wenza wenu ni kama malaika????
Hili la wanawake kuwa karibu na Yesu, kinawasumbua sana wanadamu wa kale hata sasa...Danganyaneni tu. Hakuna cha kahaba wala nini. Tunachosikiaga,japo uhakika hatuna. Nae alikuwa anasubiri giza liigie ndo aende kuwashughulikia Maria na Marita. Sasa leo hii unamsifia na kumsafisha kwa lipi?
Hakuna ndoa wanaishi tu na miaka nane imetimia na watoto wawili hawa walijazwa roho mtakatifu?Hilo 🙄ndilo swali lako!!
Nijibu, walipokutana bar na kuanza mahusiano, walioana au hawakuoana Hadi wanafikisha miaka 8 ya mahusiano na kupata watoto wawili?
Biblia haijasema kama Yusufu alikuwa na mke mwingine na hata kama ni kweli lazima ukumbuke agano jipya na hata Kanisa lilizaliwa baada ya Kristo kufufuka.Kama unasema watu wa Agano jipya wako tofauti...
Then lets talk about wadogo zake Yesu kama unawajua kina Yakobo na Yohana...
Wengi wanapropose kwamba walikuwa watoto wa Yusuph kwa mama mwingine..
The. Huoni kama yusuph alikuwa na wake wawili Mariam na Mke mwingine..alifanya kosa?
Biblia haijasema kama Yusufu alikuwa na mke mwingine na hata kama ni kweli lazima ukumbuke agano jipya na hata Kanisa lilizaliwa baada ya Kristo kufufuka.Kama unasema watu wa Agano jipya wako tofauti...
Then lets talk about wadogo zake Yesu kama unawajua kina Yakobo na Yohana...
Wengi wanapropose kwamba walikuwa watoto wa Yusuph kwa mama mwingine..
The. Huoni kama yusuph alikuwa na wake wawili Mariam na Mke mwingine..alifanya kosa?
I feel you bro..Biblia haijasema kama Yusufu alikuwa na mke mwingine na hata kama ni kweli lazima ukumbuke agano jipya lilizaliwa hasa baada ya Kristo kufufuka na Kanisa kuzaliwa rasmi.
Ukisoma vizuri injili ya Marko, wametumia neno 'ndugu'....kibibilia (hata sasa) sio lazima muwe wa tumbo moja au baba mmoja ili muitwe ndugu hata mtoto wa baba yako mmoja au mama yako mdogo ni ndugu yako vile vile.I feel you bro..
Basi niambie Yakobo,Yusufu, simoni na yuda pamoja na dada zake walikuwa ni wa Mama yupi?
Tuanzie hapo kwanza..
nime like mara tano!! si umeona?Na watu wote ni wa Bwana pia, hata walevi, waasherati, waongo..wote ni wa Bwana...mnapofundisha watu msiwafundishe katika hali ya matananio ya kibinadamu..kuwa atapata mwenza mtakatifu, mpole, n.k..WAAMBIENI wafuasi wenu Mungu anaweza mpa mwenza, mkorofi, mlevi, mbishi, asiyeabudu, muasherati n.k na kupitia wote wawili wasaidiane madhaifu yao.wabadirishane, wafundishane..waishi maisha mema Duniani na wasaidiane kufika mbinguni.....
Na huu ndo uhalisia...au nyie wenzetu..mnaojiita walokole..mambo yeny yamenyooka na wenza wenu ni kama malaika????