Je, wajua nini hutokea katika Ulimwengu wa Roho wawili wanapoungana katika NDOA Takatifu?

Je, wajua nini hutokea katika Ulimwengu wa Roho wawili wanapoungana katika NDOA Takatifu?

Uzao wa Nyoka huwezi kuthibitisha BIBLIA kitabu kitakatifu,Pumzi ya Mungu!!

Jikite kwenye Mada. Rudi kusoma heading ya thread.
Kuna kitu nimegundua wewe ni mtu wa Blah blah sana na huna ulijualo kuhusu biblia we ni mfata mkumbo kama wengine..Nilitka uende kwenye biblia nikuone maana huko kwangu sidhani kama ntakuacha salama...

Halafu kingine nikusaidie Nyoka hazai anataga mayai 😅😅😅
 
Kuna kitu nimegundua wewe ni mtu wa Blah blah sana na huna ulijualo kuhusu biblia we ni mfata mkumbo kama wengine..Nilitka uende kwenye biblia nikuone maana huko kwangu sidhani kama ntakuacha salama...

Halafu kingine nikusaidie Nyoka hazai anataga mayai 😅😅😅
Jikite kwenye mada.

Unazuia wenye Nia njema kutaka kujua umuhimu wa Kuoa mke au Kuolewa na mtu sahihi, Kutoka Kwa MUNGU!
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu.

Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani.

Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima.

Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously ?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani.

Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”.

Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu.

Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

Asante. Jibu la utapeli wako hilo hapo
Dah, so brain cracking!! Nakumbuka nikiwa nawafundisha wanafunzi wangu kuwa moja ya resolutions za Berlin conference ilikuwa "send more missionaries to Africa to prepare them for colonization and reduce opposition/rejection......" Hii ndio ile ulimwengu hadaaa...
 
Dah, so brain cracking!! Nakumbuka nikiwa nawafundisha wanafunzi wangu kuwa moja ya resolutions za Berlin conference ilikuwa "send more missionaries to Africa to prepare them for colonization and reduce opposition/rejection......" Hii ndio ile ulimwengu hadaaa...
Ila basi tu. Bora watu weusi tusingekuwepo. Mtu anakalilishwa uongo wa kudanganya wenzie na kuwatapeli na anaona raha. Huu ujinga waliojazwa,wangejazwa akili za maendeleo tugekuwa mbali sana. Wengine Wine eti ni damu ya msela. Vijidude flani vya ngano,eti vimeombea na mwili wa mtu ukaja humo. Kweli?! Hapana aise,hapana
 
Hilo nalo ni somo jingine, tuombe Mungu asaidie pia niletee humu.

Bt in short, ukijazwa Roho MTAKATIFU, utasikia maelekezo kabisa Kutoka ndani,

Ni muhimu pia kushirikisha waliookoka wakusaidie kuomba.

Ndipo linapotimia neno lisemalo,

MKE MWEMA HUTOKA KWA BWANA. AMEN
Na watu wote ni wa Bwana pia, hata walevi, waasherati, waongo..wote ni wa Bwana...mnapofundisha watu msiwafundishe katika hali ya matananio ya kibinadamu..kuwa atapata mwenza mtakatifu, mpole, n.k..WAAMBIENI wafuasi wenu Mungu anaweza mpa mwenza, mkorofi, mlevi, mbishi, asiyeabudu, muasherati n.k na kupitia wote wawili wasaidiane madhaifu yao.wabadirishane, wafundishane..waishi maisha mema Duniani na wasaidiane kufika mbinguni.....

Na huu ndo uhalisia...au nyie wenzetu..mnaojiita walokole..mambo yeny yamenyooka na wenza wenu ni kama malaika????
 
Kwani lazima kila mtu aoe au kuolewa bidada?

That's beyond personal freedom.

Katiba imetoa ruhusa ya miunganiko tofauti tofauti na ni ya hiyari zaidi na ndoa ni muunganiko wa hiyari

So aliyekataa kuoa ili atunze kibunda chake yuko sawa na aliyesema ataoa ili atumie kibunda na mwenzi wake wako sawa tusichukulie aliyekataa kuoa ni wakala wa shetani.
Hata Biblia haijalazimisha kuoa ila imesema uwe towashi, usifanye zinaa...
 
Na watu wote ni wa Bwana pia, hata walevi, waasherati, waongo..wote ni wa Bwana...mnapofundisha watu msiwafundishe katika hali ya matananio ya kibinadamu..kuwa atapata mwenza mtakatifu, mpole, n.k..WAAMBIENI wafuasi wenu Mungu anaweza mpa mwenza, mkorofi, mlevi, mbishi, asiyeabudu, muasherati n.k na kupitia wote wawili wasaidiane madhaifu yao.wabadirishane, wafundishane..waishi maisha mema Duniani na wasaidiane kufika mbinguni.....

Na huu ndo uhalisia...au nyie wenzetu..mnaojiita walokole..mambo yeny yamenyooka na wenza wenu ni kama malaika????
Hii quote watairuka watajifanya hawajaiona
 
Danganyaneni tu. Hakuna cha kahaba wala nini. Tunachosikiaga,japo uhakika hatuna. Nae alikuwa anasubiri giza liigie ndo aende kuwashughulikia Maria na Marita. Sasa leo hii unamsifia na kumsafisha kwa lipi?
Hili la wanawake kuwa karibu na Yesu, kinawasumbua sana wanadamu wa kale hata sasa...

Ni kwakuwa mwanamke anaimani sana, ndio maana Maria alipoambiwa kuwa utachukua mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu hakukataa...

Mariamu Makdalena naye alipoponywa tu na Yesu hakuacha kutembea naye, Biblia inasema popote alipokuwa Yesu alienda.

Ni Imani tu, hata dada yake Mariamu Makdalena Matha hakuwa na Imani, ndio maana alilalamika mbona dada yake anakuwa karibu na Yesu.

Hili tunaliona mpaka sasa ukiwa na Imani sana unaonekana kuwa unamahusiano na mtume au Nabii, ni kwakuwa ukishamjua Yesu popote neno linahubiriwa utalifuata...

Ni ngumu sana kuelewa haya kama haupo kiroho zaidi. ..
 
Hilo 🙄ndilo swali lako!!

Nijibu, walipokutana bar na kuanza mahusiano, walioana au hawakuoana Hadi wanafikisha miaka 8 ya mahusiano na kupata watoto wawili?
Hakuna ndoa wanaishi tu na miaka nane imetimia na watoto wawili hawa walijazwa roho mtakatifu?
 
Kama unasema watu wa Agano jipya wako tofauti...
Then lets talk about wadogo zake Yesu kama unawajua kina Yakobo na Yohana...
Wengi wanapropose kwamba walikuwa watoto wa Yusuph kwa mama mwingine..
The. Huoni kama yusuph alikuwa na wake wawili Mariam na Mke mwingine..alifanya kosa?
Biblia haijasema kama Yusufu alikuwa na mke mwingine na hata kama ni kweli lazima ukumbuke agano jipya na hata Kanisa lilizaliwa baada ya Kristo kufufuka.
 
Kama unasema watu wa Agano jipya wako tofauti...
Then lets talk about wadogo zake Yesu kama unawajua kina Yakobo na Yohana...
Wengi wanapropose kwamba walikuwa watoto wa Yusuph kwa mama mwingine..
The. Huoni kama yusuph alikuwa na wake wawili Mariam na Mke mwingine..alifanya kosa?
Biblia haijasema kama Yusufu alikuwa na mke mwingine na hata kama ni kweli lazima ukumbuke agano jipya na hata Kanisa lilizaliwa baada ya Kristo kufufuka.
 
Biblia haijasema kama Yusufu alikuwa na mke mwingine na hata kama ni kweli lazima ukumbuke agano jipya lilizaliwa hasa baada ya Kristo kufufuka na Kanisa kuzaliwa rasmi.
I feel you bro..
Basi niambie Yakobo,Yusufu, simoni na yuda pamoja na dada zake walikuwa ni wa Mama yupi?

Kingine unafahamu Yusuf alikuwa ana miaka mingapi kipindi anamuoa mariam?

Tuanzie hapo kwanza ili nisije nikakubebesha mzigo mzito!
 
I feel you bro..
Basi niambie Yakobo,Yusufu, simoni na yuda pamoja na dada zake walikuwa ni wa Mama yupi?
Tuanzie hapo kwanza..
Ukisoma vizuri injili ya Marko, wametumia neno 'ndugu'....kibibilia (hata sasa) sio lazima muwe wa tumbo moja au baba mmoja ili muitwe ndugu hata mtoto wa baba yako mmoja au mama yako mdogo ni ndugu yako vile vile.

Marko 15:39
Basi yule akida, aliyesimama hapo akimwelekea, alipoona ya kuwa alikata roho jinsi hii, akasema, Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu.

Marko 15:40
Palikuwako na wanawake wakitazama kwa mbali; miongoni mwao alikuwamo Mariamu Magdalene, na Mariamu mama yao Yakobo mdogo na Yose, na Salome;

Huo mstari wa 40 hapo juu unatuambia hao kina Yakobo walioitwa 'ndugu' walikuwa watoto wa mama yupi, ila hautambii kama walikuwa wa Yusufu Ila wamemtaja mama yao.

Hapo utaona kuna Mariamu watatu hapo yaani Mariamu Magdalena, Mariamu mama yake Yesu na Mariamu mama yao kina Yakobo.

Hebu angalia na Yohana anasemaje....

Yohana 19:25
Na penye msalaba wake Yesu walikuwa wamesimama mamaye, na umbu la mamaye, Mariamu wa Klopa, na Mariamu Magdalene.

Yohana 19:26
Basi Yesu alipomwona mama yake, na yule mwanafunzi aliyempenda amesimama karibu, alimwambia mama yake, Mama, tazama, mwanao.

Yohana 19:27
Kisha akamwambia yule mwanafunzi, Tazama, mama yako. Na tangu saa ile mwanafunzi yule akamchukua nyumbani kwake.

Ukisoma injili ya Yohana amesema alikuwapo mama yake Yesu, Umbu la mamaye (ndugu wa mamaye), mariamu wa kleopa na mariamu Magdalena.

Hapo ukichunguza utaona yule Mariam mama yao kina Yakobo huenda akawa ni Mariam wa Kleopa ingawa Marko hakutaja jina lake.
 
Na watu wote ni wa Bwana pia, hata walevi, waasherati, waongo..wote ni wa Bwana...mnapofundisha watu msiwafundishe katika hali ya matananio ya kibinadamu..kuwa atapata mwenza mtakatifu, mpole, n.k..WAAMBIENI wafuasi wenu Mungu anaweza mpa mwenza, mkorofi, mlevi, mbishi, asiyeabudu, muasherati n.k na kupitia wote wawili wasaidiane madhaifu yao.wabadirishane, wafundishane..waishi maisha mema Duniani na wasaidiane kufika mbinguni.....

Na huu ndo uhalisia...au nyie wenzetu..mnaojiita walokole..mambo yeny yamenyooka na wenza wenu ni kama malaika????
nime like mara tano!! si umeona?
 
Back
Top Bottom