Je, wajua nini hutokea katika Ulimwengu wa Roho wawili wanapoungana katika NDOA Takatifu?

Je, wajua nini hutokea katika Ulimwengu wa Roho wawili wanapoungana katika NDOA Takatifu?

Mkuu 😅😅 nakuelewa sana na kwa bahati mbaya ulichosema sio msingi wa Dini unayoamini Ni msingi wa Mila za kiKatolick ambao unaenda mpaka kwenye Council of Ephesus mwaka 431 AD..

Ambao ndo walianzisha Dogma na mila inayoitwa "Theotokos" katika Kanisa...
Maana yake ni Kumsafisha maria na kuwa Mama wa Mungu ...
Maana hakuingiliwa mpaka anakufa....

Sasa huko tupaache nataka tutoke kwenye misingi ya kidini wala misingi yoyote ya ukweli uliopo wala y watoto..

Natka twende kwenge mantiki na logic..

Kuna mwanaume unayemjua ambaye atamlipia Mahari mwanamke Na atakaa naye miaka yote zaidi ya 20 bila kumuingilia (Na zingatia mwanamume ni Rijali)...

Unacholeta ni Wazo la kwenye aprokrifa moja inayoelezea kuhusu uchungu wa maria wakunga waliomzalisha na Jinsi alivyokuwa Bikra na alivyoendelea kuwa bikra baada ya kujifungu...

Narudia Tena Someni Sana ili mtoke gereza la akili
Hahahah mkuu napenda sana unavyoichambua biblia kwa kweli wewe ni role model wangu nikupe maua yako🙏🏽🙌🏻🙌🏻🙌🏻.

Huwa ninascreeshut baadhi ya reply zako ili nzirudie kuzisoma.
Alishajibu au kaingia mitini🤣
 
Unakubaliana na mm mahusiano au ndoa si lazima umpachike huyo mungu ili yawe mazuri?
Mungu ni LAZIMA, utake au usitake,

Hakuna namna utamkwepa Mungu, akupe Bure Pumzi, iweje umkwepe?
 
Mungu ni LAZIMA, utake au usitake,

Hakuna namna utamkwepa Mungu, akupe Bure Pumzi, iweje umkwepe?
Sasa mbona yapo mahusiano yana miaka mingi na mpaka watoto bila kuwa na ndoa na zinaendelea, je ni kweli mungu yupo hapo?

Huko sijui kwa kumwepa mungu si swali langu maana hata huyo mungu huwezi mthibitisha zaidi ya kusoma ngano za kale za kiyahudi.
 
Mungu ni LAZIMA, utake au usitake,

Hakuna namna utamkwepa Mungu, akupe Bure Pumzi, iweje umkwepe?
Sasa mbona yapo mahusiano yana miaka mingi na mpaka watoto bila kuwa na ndoa na zinaendelea, je ni kweli mungu yupo hapo?

Huko sijui kwa kumwepa mungu si swali langu maana hata huyo mungu huwezi mthibitisha zaidi ya kusoma ngano za kale za kiyahudi
 
Sasa mbona yapo mahusiano yana miaka mingi na mpaka watoto bila kuwa na ndoa na zinaendelea, je ni kweli mungu yupo hapo?

Huko sijui kwa kumwepa mungu si swali langu maana hata huyo mungu huwezi mthibitisha zaidi ya kusoma ngano za kale za kiyahudi
Mungu yupo hapo indirect ,sababu watoto ni zawadi Kutoka Kwa MUNGU,

Anawapa waovu na wema zawadi ya watoto bila upendeleo.

Amen
 
Mungu yupo hapo indirect ,sababu watoto ni zawadi Kutoka Kwa MUNGU,

Anawapa waovu na wema zawadi ya watoto bila upendeleo.

Amen
Okay tunakubaliana kwamba mungu anasapoti uzinzi maana watu hawa ni wazinzi? Je bado unaendelea kumpa vazi la utakatifu?
tufanye kwa madai yako kwamba anawapa zawadi ya watoto ok.
Kwahyo mungu huyo kavunja amri zake za kwamba usizini halafu akaendelea kuwepo katikat ya hao watu wanaozini kwa madai kwamba yupo kawapa watoto?

Kwahyo ameanua kuvunja sheria zake mwenyewe?
 
Okay tunakubaliana kwamba mungu anasapoti uzinzi maana watu hawa ni wazinzi? Je bado unaendelea kumpa vazi la utakatifu?
tufanye kwa madai yako kwamba anawapa zawadi ya watoto ok.
Kwahyo mungu huyo kavunja amri zake za kwamba usizini halafu akaendelea kuwepo katikat ya hao watu wanaozini kwa madai kwamba yupo kawapa watoto?

Kwahyo ameanua kuvunja sheria zake mwenyewe?
We ndo huelewi,

Mungu hawezi muhukumu mtoto Kwa dhambi ya wazazi!!

Wazazi watahukumiwa, lakini mtoto sababu Hana HATIA, usishangae ndo akaja kuwa mbunge ajaye.

HUKUMU za Mungu ni za HAKI.
 
We ndo huelewi,

Mungu hawezi muhukumu mtoto Kwa dhambi ya wazazi!!

Wazazi watahukumiwa, lakini mtoto sababu Hana HATIA, usishangae ndo akaja kuwa mbunge ajaye.

HUKUMU za Mungu ni za HAKI.

Kutoka 20:5​

Usivisujudie wala kuviabudu; kwa kuwa Mimi, BWANA Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, ninayewaadhibu watoto kwa ajili ya dhambi za baba zao hadi kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao.
 
We ndo huelewi,

Mungu hawezi muhukumu mtoto Kwa dhambi ya wazazi!!

Wazazi watahukumiwa, lakini mtoto sababu Hana HATIA, usishangae ndo akaja kuwa mbunge ajaye.

HUKUMU za Mungu ni za HAKI.
“HUKUMU ZA MUNGU NI ZA HAKI”
una hakika na unayoyazungumza?
Unaweza kuondoa ukakasi wa hukumu alizokuwa anafanya tushushe mistari?
 
Wanaosema kataa ndoa ,wengi hawamaanishi kile wasemacho hapa jukwaani wengi ,wameoa na wanaishi na wake zao, na inawezakana hawana sauti ndani ya nyumba.
Unapotosha mkuu
 
Kuna kitu nimegundua wewe ni mtu wa Blah blah sana na huna ulijualo kuhusu biblia we ni mfata mkumbo kama wengine..Nilitka uende kwenye biblia nikuone maana huko kwangu sidhani kama ntakuacha salama...

Halafu kingine nikusaidie Nyoka hazai anataga mayai [emoji28][emoji28][emoji28]
Huyu jamaa bhna [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hili la wanawake kuwa karibu na Yesu, kinawasumbua sana wanadamu wa kale hata sasa...

Ni kwakuwa mwanamke anaimani sana, ndio maana Maria alipoambiwa kuwa utachukua mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu hakukataa...

Mariamu Makdalena naye alipoponywa tu na Yesu hakuacha kutembea naye, Biblia inasema popote alipokuwa Yesu alienda.

Ni Imani tu, hata dada yake Mariamu Makdalena Matha hakuwa na Imani, ndio maana alilalamika mbona dada yake anakuwa karibu na Yesu.

Hili tunaliona mpaka sasa ukiwa na Imani sana unaonekana kuwa unamahusiano na mtume au Nabii, ni kwakuwa ukishamjua Yesu popote neno linahubiriwa utalifuata...

Ni ngumu sana kuelewa haya kama haupo kiroho zaidi. ..
Kiroho [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mkuu nimefurahi kwakuwa Umenotice kuwa Yesu alikuwa na wadogo zake/Kaka zake...

Sasa nifatilie..
Kwanza kabisa utambulisho wa Ndugu hao Unaanza kwenye Mathayo 13:55-56
Nitakuandikia kiyunani (Greek) as the original language....

"
Οὐχ οὗτός ἐστιν ὁ τοῦ τέκτονος υἱός; οὐχ ἡ μήτηρ αὐτοῦ λέγεται Μαρία καὶ οἱ ἀδελφοὶ αὐτοῦ Ἰάκωβος καὶ Ἰωσὴφ καὶ Σίμων καὶ Ἰούδας; καὶ αἱ ἀδελφαὶ αὐτοῦ οὐχὶ πᾶσαι πρὸς ἡμᾶς εἰσιν; πόθεν οὖν τούτῳ ταῦτα πάντα;

Na hivi ndivyo hutamkwa...

Ouch houtos estin ho tou tektonos huios? ouch he meter autou legetai Maria kai hoi adelphoi autou Iakobos kai Ioseph kai Simon kai Ioudas? kai hai adelphai autou ouchi pasai pros hēmas eisin? pothen oun touto panta?

Kwa mama Samia tungeandika hivi..

Huyu si mwana wa seremala? Mamaye si yeye aitwaye Mariamu? Na nduguze si Yakobo, na Yusufu, na Simoni, na Yuda?
Na dada zake wote hawapo hapa petu? Basi huyu amepata wapi haya yote?


neno lililotumika kama Ndugu(Kaka ) ni ἀδελφοὶ" (adelphoi) na Mara zote hutumiwa kwa Ndugu wa Damu yaani wale wa Tumbo moja...
kwa case yako kuwa Huenda lilitumika kama Ndugu wa Dada ake Mama yake..
neno ambalo lingetumika nafikiri lingekuwa ανηψιός (anepsiós)

Sasa kama utaweza bado swali liko pale pale walikuwa watoto wa nani!
Hiyo mandarini language ni shida.
 
KATIBA kuu kuliko Katiba zote ni Neno la Mungu.

Inasema NDOA ni ya mke na mume mmoja.

Ikiwa hutaki Kuoa, ussizini Wala kununua MAKAHABA, Wala usijichue.

Amen
Utaratibu wa kuoa mke mmoja ni utamaduni wakizungu tu , africa ,mashariki ya kati na uchina huu Utaratibu haukuwepo.
 
Back
Top Bottom