Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,655
According to Merriam Webster self ni:Ebu fafanua zaidi eliza, self ni nini?
Uko kwa kuanzia kwamba mambo ya kitabibu ni mambo ya kisayansi, yanayothibitishwa kwa kanuni za kisayansi.
Na mpaka sasa hujathibitisha kwamba roho ipo kwa kanuni za kisayansi.
Nimekuuliza kipimo kinachopima uwepo wa roho ni kipi?
Hujajibu.
kwanini unapenda kila.kitu kithibitishwe kwa kanuni za kisayansi.
yaani sayansi.imeozesha kabisa uwezo wako wa kufikiri.
thibitisha upendo kwa kutumia kanuni za kisayansi ...
Spirit si nafsi. Nafsi ni ego au tuseme ni self
Wewe unaweza kuthibitisha kwa kanuni gani?
Kuna kuthibitisha gani kusiko kwa kisayansi?
Mimea ina uhai. Uhai ni spirt ambayo ni roho. Roho ni mind.Specifically ni subconsious mind
They create themeselves they live they die and they regenerat . Hili ni somo kuu ambalo sio rahisi kuelezea hapa
Nitaelezea. Ngoja nikamate lap top. Simu shidaa
Kwa ushahidi upi?
Kwa ushahidi upi mkuu?
Uko kwa kuanzia kwamba mambo ya kitabibu ni mambo ya kisayansi, yanayothibitishwa kwa kanuni za kisayansi.
Na mpaka sasa hujathibitisha kwamba roho ipo kwa kanuni za kisayansi.
Nimekuuliza kipimo kinachopima uwepo wa roho ni kipi?
Hujajibu.
kwanini unapenda kila.kitu kithibitishwe kwa kanuni za kisayansi.
yaani sayansi.imeozesha kabisa uwezo wako wa kufikiri.
thibitisha upendo kwa kutumia kanuni za kisayansi ...
thibitisha upendo kwa kisayansi...
Vipi ndo uko kutengeneza kifaa cha kuthibitishia UPENDO kisayansi ?
Anza kuthibitisha uwepo wa roho.
Upendo huu hapa watu wameu track mpaka kwenye hormones kisayansi
http://www.youramazingbrain.org/lovesex/sciencelove.htm
Vipi ndo uko kutengeneza kifaa cha kuthibitishia UPENDO kisayansi ?
Hujui kusoma?
Wewe ushathibitisha uwepo wa roho?
Kwani wewe unajua roho ni nini?Kwanza namna viumbe vingine tofauti na Binadamu viliumbwa kwa Mungu kutamka tu,yaani neno ndilo lililoumba [Yesu],lakini binadamu aliumbwa au kwa lugha nyingine Mungu mkamilifu [nafsi zote tatu] zilihusika kwenye uumbaji wa mwanadamu na hata alivyoumbwa imeelezwa,kwa maana hiyo basi viumbe vingine vina uhai lakini havina roho
Nasema hivyo kwasababu Mungu ni roho na wakati anamuumba binadamu alisema kabisa "tumuumbe mtu kwa mfano wetu [roho]" lakini wakati anamuumba binadamu hakusema hivyo,kwa maana hiyo kama hakumuumba mbuzi au ng'ombe kwa mfano wake na Mungu ni roho basi hao wengine hawana ule mfanano wa Mungu ambao ni roho
Nikija kwenye hoja yako ya uwepo wa viumbe wengine baada ya maisha haya ni kwamba kwanza haijaelezwa kuwa vitafufuliwa hivi ambavyo leo vinakufa bali imeelezwa vitakuwepo kama hivi,sasa kwa maana hii ni kwamba inawezekana vitaumbwa vingine tofauti na hivi na tutaishi navyo milele bila kuharibika!
Kwani parfect maana yake nini?
Ushahidi tena? Mi si mwenye lugha jamani. Jinsi inavyoelezewa kwa matakwa ya lugha sivyo ulivyosema.