Je, Waziri Masauni apumzike? Akipumzika ndio Mwisho wa haya?

Je, Waziri Masauni apumzike? Akipumzika ndio Mwisho wa haya?

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Najiuliza uwajibikaji uko wapi? Ingekuwa nchi Kama Tunisia na Kenya au kwingineko kosa dogo tu linaondoa baadhi ya watu madarakani si kwa utashi wao!bali kwa Nguvu ya Umma na maandamano! Lakin hapo kwenye Kondoo wa Kiboko ya wachawi hata uwakojolee midomoni kila asubuhi
Utasikia yote twamuachia Mungu!

Kwa hili na Kwakuwa wananchi ni waoga namsihi Masauni aachie madaraka! Pili IGP na RPC kinondoni pamoja na RCO wake na watu wa kijotonyama waachie ngazi, kwa hiari Kama alivyo fanya mzee Mwinyi miaka ya nyuma,

Mpaka sasa watanzania si chini ya 60 wametekwa na hawajaulikani walipo na kauli zinatoka tu kirahisi kwamba ni drama! Au ikionekana serikali Ina husika utaambiwa itagharamia mazishi, “we have to stop this nonsense”

Britanicca
 
Tangu nchi hii iumbwe, wahalifu wapo, na wataendelea kuwepo, inawezekana hata sasa hivi kuna mtu anaiba simu hapo Tandale. Kwa hiyo hizo individual cases ndio zifanye waziri aondoke?
Kama unaangalia mwenendo wa matukio huwezi sema individual case.
Wauaji na watekaji kuna kitu imetriger pahali.

Jiulize mbona wanaotekwa na kuuwawa ni wakosoaji na upinzani pekee? Jibu utakipata ukigeuza shilingi

Be smart kidogo,umesikia wapi Kada wa Chama kikubwa ametekwa Au ameuliwa.
Hapa mtaenda tena kumtafuta mganga mmsingizie.
 
Kama unaangalia mwenendo wa matukio huwezi sema individual case.
Wauaji na watekaji kuna kitu imetriger pahali.

Jiulize mbona wanaotekwa na kuuwawa ni wakosoaji na upinzani pekee? Jibu utakipata ukigeuza shilingi

Be smart kidogo,umesikia wapi Kada wa Chama kikubwa ametekwa Au ameuliwa.
Hapa mtaenda tena kumtafuta mganga mmsingizie.
Huyo choko unamu-ignore tu
 
Hii issue ya Meddy Kibao imeichafua nchi sana ,kumteka mtu kisa ameisema sisiemu mtandaoni huo ni ukichaa(Lusekelo alishasema) ,hapa inaonesha ni nani mbaye hatumii akili kwenye kumteka mtu,,,ni mtu ambye ni Zero brain anayeweza kumteka mtu kwasabu ameikosoa serikali.

Unaweza kuwadetain watu wambao unauhakika hao wanaweza kuathiri usalama wa taifa lakini si hao wanaotoa maoni mitandaoni kuhusu serikali,hawana effect yeyote bali wanalisaidia taifa ,wafujisha siri za nchi ,wapanga mikakati ya kupindua nchi hao unaweza kuwadetain na si watu wanaosema maisha magumu ,fedha hakuna,maji hakuna then unamteka for what? Mkolomije hatumii akili kabisa anaichafua nchi.
 
Tangu nchi hii iumbwe, wahalifu wapo, na wataendelea kuwepo, inawezekana hata sasa hivi kuna mtu anaiba simu hapo Tandale. Kwa hiyo hizo individual cases ndio zifanye waziri aondoke?
wakiwa wanakuchokonoa waambie wasiwe wanakumwagia ndani. maiti kama wewe wanaochokonolewa mnatupa tabu watu wa mochwari .
 
Back
Top Bottom