Je, Waziri Masauni apumzike? Akipumzika ndio Mwisho wa haya?

Je, Waziri Masauni apumzike? Akipumzika ndio Mwisho wa haya?

Mkuu britanicca , kwanza ubarikiwe sana kwa uwepo wako na nyuzi zako.

Mwanzo jf ilikuwa just a social media ya user generated forum, mtu ulikuwa una post chochote na kinapanda. Sasa jf sio a social media only, jf sasa ni social media na mainstream digital media, iko more responsible na contents. Ukileta kitu too hot kinachoweza kuunguza, kinaondolewa kwanza, kinachunguzwa ikithibitika ni kweli, kinapandishwa. On be the first to know, could JF be ni funga kazi zaidi ya mainstream media zote? Shuhudia hapa

Nakushauri ukileta zile sensitive za kule mahali, zipooze kwa kuondoa majina ya watu, maana sasa jf pia ni 'sehemu' juzi kati kwenye kongamano la maendeleo sekta ya habari, Mama aliitaja jf na alimuita Max "Mwanangu Max", Rais Samia aitaja JamiiForums, asema utoaji wa Habari umehamia mtandaoni kama ilivyo JamiiForums

Tone ya Rais Samia kumuita Max mwanangu was a loving tone, hivyo kitendo cha kutajwa kwa jina na kwa upendo na Mkuu wa nchi ni heshima kibwa!, Rais Samia ameiheshimisha sana jf, hivyo lazima Max arudishe heshima hiyo kwa kutumia kanuni ya reciprocate, ukiaminiwa jiaminishe, ukipendwa pendeka na ukibebwa bebeka!!.
Nimenote siku hizi kwenye ziara zote za Rais Samia nje ya nchi, reporter wa jf yupo

P
Kutajwa na Rais ndo kutafanya uyafumbie macho maovu eti kujiheshimisha


Acha uchawa mkuu
 
Serikali ni mimi, wewe, yule na huyu hapa, mimi naamini kwamba tatizo ni jamii, jamii kushindwa kubuni mbinu za kukabiliana na changamoto zilizopo na zitakazo kuja, changamoto nyingi zinasababishwa na binadamu kwa makusudi ama kwa kutokujua
Kwa hiyo sisi wote hata tulioko huku TANGANYIKA Katavi, ni Mawaziri wa Mambo ya Ndani??
 
Kutajwa na Rais ndo kutafanya uyafumbie macho maovu eti kujiheshimisha


Acha uchawa mkuu
Ndiyo utaratibu, swali fikirishi je humu hukutani na hoja zenye tungo tata binadamu tuna uelewa tofauti utashangaa mtu ashupalia kitu ambacho hakijui ama hana utaalamu nacho hadi unabakk kushangaa
 
Najiuliza uwajibikaji uko wapi? Ingekuwa nchi Kama Tunisia na Kenya au kwingineko kosa dogo tu linaondoa baadhi ya watu madarakani si kwa utashi wao!bali kwa Nguvu ya Umma na maandamano! Lakin hapo kwenye Kondoo wa Kiboko ya wachawi hata uwakojolee midomoni kila asubuhi
Utasikia yote twamuachia Mungu!

Kwa hili na Kwakuwa wananchi ni waoga namsihi Masauni aachie madaraka! Pili IGP na RPC kinondoni pamoja na RCO wake na watu wa kijotonyama waachie ngazi, kwa hiari Kama alivyo fanya mzee Mwinyi miaka ya nyuma,

Mpaka sasa watanzania si chini ya 60 wametekwa na hawajaulikani walipo na kauli zinatoka tu kirahisi kwamba ni drama! Au ikionekana serikali Ina husika utaambiwa itagharamia mazishi, “we have to stop this nonsense”

Britanicca

Muwe na shukrani. Serikali inapoamua kuwapoza kama kugharamia mazishi au matibabu shukuruni. Kuna mtu anaweza akakukanyaga asikupe hata pole. So mnatakiwa kuwapongeza Serikali kwa kuwaonea huruma kidogo. Chukueni pesa.
 
Masauni na hao wengine kosa lao liko wapi? wewe hufahamu sheria iliyopitishwa kuruhusu watu wa usalama wa taifa kufanya vitendo vya aina hii na wanalindwa na sheria? acheni kudivert attention kwa yule anapaswa kuwajibika kuaddress hii hali..Rais mwenyewe ndiye awajibike!
Wameruhusiwa na nani kuuwa?. Anaye ruhusu ni mtu kuuwa siyo Sheria. Kwani Sheria imejitunga. Kuna wapuuzi walioishiwa maalifa wanaona kujilinda na wizi na dhulma zao ni kuuwa wengine. Mkuu kwa akili yako unaona kuuwa ni kulinda?. Nakwambia ukweli Mungu bado ameamua kushika amani ya hii nchi ndiyo maana hata hao wauwaji wanapata nafasi ya kuuawa na kuona wao ni walinzi na wanastahili kuuwa na wanaona wanalinda. Siku Mungu akiamua kubadilisha akili ya watanzania hata hao wauwaji wenu hawatakua na nafasi hata ya kumnyooshea mtu kindole Chao. Mtu anashushwa kwenye Basi na anaenda kuuwawa na bado watu wanaona sawa?. MUNGU TUREHEMU.
 
Wameruhusiwa na nani kuuwa?. Anaye ruhusu ni mtu kuuwa siyo Sheria. Kwani Sheria imejitunga. Kuna wapuuzi walioishiwa maalifa wanaona kujilinda na wizi na dhulma zao ni kuuwa wengine. Mkuu kwa akili yako unaona kuuwa ni kulinda?. Nakwambia ukweli Mungu bado ameamua kushika amani ya hii nchi ndiyo maana hata hao wauwaji wanapata nafasi ya kuuawa na kuona wao ni walinzi na wanastahili kuuwa na wanaona wanalinda. Siku Mungu akiamua kubadilisha akili ya watanzania hata hao wauwaji wenu hawatakua na nafasi hata ya kumnyooshea mtu kindole Chao. Mtu anashushwa kwenye Basi na anaenda kuuwawa na bado watu wanaona sawa?. MUNGU TUREHEMU.
Ninapinga alichoandika britanicca waziri awajibike wakati waliofanya uhalifu huu wanafahamika..hata Rais anafahamu mambo haya, kusema Masauni awajibike na kumuacha mteuzi wake wakati anafahamu wanaofanya matukio haya si sawa.
 
Kwa mujibu wa Hadithi ya Mtume Muhammad (SAW), kuna aina saba za watu ambao watapata kivuli cha Arshi ya Mwenyezi Mungu siku ya Kiyama, wakati ambapo hakutakuwa na kivuli kingine isipokuwa cha Mwenyezi Mungu. Hawa watu saba ni:Imamu (kiongozi) mwadilifu –

1. Kiongozi ambaye hutawala kwa haki na uadilifu.

2. Mwanamume ambaye moyo wake umefungamana na msikiti – Yaani, anapenda sana ibada na mara kwa mara huswali msikitini.

3. Watu wawili waliopendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu – Walikutana kwa ajili ya Mungu na wakaachana kwa ajili ya Mungu.

4. Mwanamume aliyekataa maasi – Mwanaume aliyekataliwa na mwanamke mwenye hadhi na uzuri kwa ajili ya kufanya dhambi, lakini akamwambia, "Mimi namwogopa Mwenyezi Mungu."Mtu anayetoa sadaka kwa siri –

4. Aliyejitolea kwa siri kiasi kwamba mkono wake wa kushoto haujui kilichotolewa na mkono wake wa kulia.

5. Mtu ambaye anapomfikiria Mungu faragha, machozi humtoka kutokana na unyenyekevu wake kwa Mungu.

6.Kijana aliyekulia katika ibada ya Mwenyezi Mungu – Aliyeishi maisha ya uadilifu na kumtumikia Mungu tangu ujana wake.

Hadithi hii inapatikana katika Sahih al-Bukhari na Sahih Muslim.
 
Najiuliza uwajibikaji uko wapi? Ingekuwa nchi Kama Tunisia na Kenya au kwingineko kosa dogo tu linaondoa baadhi ya watu madarakani si kwa utashi wao!bali kwa Nguvu ya Umma na maandamano! Lakin hapo kwenye Kondoo wa Kiboko ya wachawi hata uwakojolee midomoni kila asubuhi
Utasikia yote twamuachia Mungu!

Kwa hili na Kwakuwa wananchi ni waoga namsihi Masauni aachie madaraka! Pili IGP na RPC kinondoni pamoja na RCO wake na watu wa kijotonyama waachie ngazi, kwa hiari Kama alivyo fanya mzee Mwinyi miaka ya nyuma,

Mpaka sasa watanzania si chini ya 60 wametekwa na hawajaulikani walipo na kauli zinatoka tu kirahisi kwamba ni drama! Au ikionekana serikali Ina husika utaambiwa itagharamia mazishi, “we have to stop this nonsense”

Britanicca
Hawa wazanzibari watatu wa mama, Abdul, waziri na kamishna wa mafunzo ndio vinara wa ukatili kwa watanganyika. Uzanzibari imeshamiri kuanzia ikulu ndio maana hatujasikia uhalifu huu ulifanyika huko visiwani
 
Najiuliza uwajibikaji uko wapi? Ingekuwa nchi Kama Tunisia na Kenya au kwingineko kosa dogo tu linaondoa baadhi ya watu madarakani si kwa utashi wao!bali kwa Nguvu ya Umma na maandamano! Lakin hapo kwenye Kondoo wa Kiboko ya wachawi hata uwakojolee midomoni kila asubuhi
Utasikia yote twamuachia Mungu!

Kwa hili na Kwakuwa wananchi ni waoga namsihi Masauni aachie madaraka! Pili IGP na RPC kinondoni pamoja na RCO wake na watu wa kijotonyama waachie ngazi, kwa hiari Kama alivyo fanya mzee Mwinyi miaka ya nyuma,

Mpaka sasa watanzania si chini ya 60 wametekwa na hawajaulikani walipo na kauli zinatoka tu kirahisi kwamba ni drama! Au ikionekana serikali Ina husika utaambiwa itagharamia mazishi, “we have to stop this nonsense”

Britanicca
Iwe Sheria basi likiondoka kituoni na kukaguliwa hakuna kusimamishwa na yoyote hadi linafika linakoelekea!
 
Kwa mujibu wa Hadithi ya Mtume Muhammad (SAW), kuna aina saba za watu ambao watapata kivuli cha Arshi ya Mwenyezi Mungu siku ya Kiyama, wakati ambapo hakutakuwa na kivuli kingine isipokuwa cha Mwenyezi Mungu. Hawa watu saba ni:Imamu (kiongozi) mwadilifu –

1. Kiongozi ambaye hutawala kwa haki na uadilifu.

2. Mwanamume ambaye moyo wake umefungamana na msikiti – Yaani, anapenda sana ibada na mara kwa mara huswali msikitini.

3. Watu wawili waliopendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu – Walikutana kwa ajili ya Mungu na wakaachana kwa ajili ya Mungu.

4. Mwanamume aliyekataa maasi – Mwanaume aliyekataliwa na mwanamke mwenye hadhi na uzuri kwa ajili ya kufanya dhambi, lakini akamwambia, "Mimi namwogopa Mwenyezi Mungu."Mtu anayetoa sadaka kwa siri –

4. Aliyejitolea kwa siri kiasi kwamba mkono wake wa kushoto haujui kilichotolewa na mkono wake wa kulia.

5. Mtu ambaye anapomfikiria Mungu faragha, machozi humtoka kutokana na unyenyekevu wake kwa Mungu.

6.Kijana aliyekulia katika ibada ya Mwenyezi Mungu – Aliyeishi maisha ya uadilifu na kumtumikia Mungu tangu ujana wake.

Hadithi hii inapatikana katika Sahih al-Bukhari na Sahih Muslim.
Hizo ni primitive mythology tu, pole
 
Najiuliza uwajibikaji uko wapi? Ingekuwa nchi Kama Tunisia na Kenya au kwingineko kosa dogo tu linaondoa baadhi ya watu madarakani si kwa utashi wao!bali kwa Nguvu ya Umma na maandamano! Lakin hapo kwenye Kondoo wa Kiboko ya wachawi hata uwakojolee midomoni kila asubuhi
Utasikia yote twamuachia Mungu!

Kwa hili na Kwakuwa wananchi ni waoga namsihi Masauni aachie madaraka! Pili IGP na RPC kinondoni pamoja na RCO wake na watu wa kijotonyama waachie ngazi, kwa hiari Kama alivyo fanya mzee Mwinyi miaka ya nyuma,

Mpaka sasa watanzania si chini ya 60 wametekwa na hawajaulikani walipo na kauli zinatoka tu kirahisi kwamba ni drama! Au ikionekana serikali Ina husika utaambiwa itagharamia mazishi, “we have to stop this nonsense”

Britanicca
Kuachia madaraka au kujiuzulu ni kitu ambacho hakimo kwenye akili yake!
 
Tangu nchi hii iumbwe, wahalifu wapo, na wataendelea kuwepo, inawezekana hata sasa hivi kuna mtu anaiba simu hapo Tandale. Kwa hiyo hizo individual cases ndio zifanye waziri aondoke?
Comrade ,hai kina masauni wasipo hukua hatua wataanza kupotea wao kama enzi zileeee za vifo vya ghafula vya kina kijazi!!

Halafu utakuja kutuandikia nini!!?
 
Ninapinga alichoandika britanicca waziri awajibike wakati waliofanya uhalifu huu wanafahamika..hata Rais anafahamu mambo haya, kusema Masauni awajibike na kumuacha mteuzi wake wakati anafahamu wanaofanya matukio haya si sawa.
Hupo sahihi. Maana wakati mwingine ruhusa anatoa mwingine alafu awajibike mwingine. Wafanyaji matukio wanafahamika
 
Najiuliza uwajibikaji uko wapi? Ingekuwa nchi Kama Tunisia na Kenya au kwingineko kosa dogo tu linaondoa baadhi ya watu madarakani si kwa utashi wao!bali kwa Nguvu ya Umma na maandamano! Lakin hapo kwenye Kondoo wa Kiboko ya wachawi hata uwakojolee midomoni kila asubuhi
Utasikia yote twamuachia Mungu!

Kwa hili na Kwakuwa wananchi ni waoga namsihi Masauni aachie madaraka! Pili IGP na RPC kinondoni pamoja na RCO wake na watu wa kijotonyama waachie ngazi, kwa hiari Kama alivyo fanya mzee Mwinyi miaka ya nyuma,

Mpaka sasa watanzania si chini ya 60 wametekwa na hawajaulikani walipo na kauli zinatoka tu kirahisi kwamba ni drama! Au ikionekana serikali Ina husika utaambiwa itagharamia mazishi, “we have to stop this nonsense”

Britanicca
Labda aliwekwa kimkakati Hadi uchaguzi wa s. Mitaa upite kwa kufanikisha ushindi kwanza halafu ndio mwingine ateuliwe!!

Wamefanikiwa Kwa kiasi chake!

NB
Nitaendelea kuonyesha resilience hao jamaa wasinipate hata kidogo na Wala sitopost Ili wapate sababu zao za execution!!!
 
Back
Top Bottom