Je, Waziri Masauni apumzike? Akipumzika ndio Mwisho wa haya?

Je, Waziri Masauni apumzike? Akipumzika ndio Mwisho wa haya?

Najiuliza uwajibikaji uko wapi? Ingekuwa nchi Kama Tunisia na Kenya au kwingineko kosa dogo tu linaondoa baadhi ya watu madarakani si kwa utashi wao!bali kwa Nguvu ya Umma na maandamano! Lakin hapo kwenye Kondoo wa Kiboko ya wachawi hata uwakojolee midomoni kila asubuhi
Utasikia yote twamuachia Mungu!

Kwa hili na Kwakuwa wananchi ni waoga namsihi Masauni aachie madaraka! Pili IGP na RPC kinondoni pamoja na RCO wake na watu wa kijotonyama waachie ngazi, kwa hiari Kama alivyo fanya mzee Mwinyi miaka ya nyuma,

Mpaka sasa watanzania si chini ya 60 wametekwa na hawajaulikani walipo na kauli zinatoka tu kirahisi kwamba ni drama! Au ikionekana serikali Ina husika utaambiwa itagharamia mazishi, “we have to stop this nonsense”


MWISHO KWANINI JF MNAFUTAGA NYUZI ZANGU, NILIWEKAGA UZI WA KWANINI WATU WANATEKWA NA WANAOHUSIKA
MKAUSHUSHA, NA NILITAJA HADI WATU WANAPOFICHWA PINDI WATEKWAPO MKAULAMBA NIKAONA ISIWE TABU MAANA JUKWAA NI LENU MNAENDESHA KWA SHERIA MNAVYOTAKA,

JANA NIMEWEKA MASWALI YA MSINGI KWA POLISI NA FUNUNU YA SABABU ZA KUMUUA MZEE KIBAO MKAUTUPILIA MBALI
View attachment 3091110


ANYWAY NGOJA TUENDELEE KUWALINDA WATESI

Britanicca
Masauni na hao wengine kosa lao liko wapi? wewe hufahamu sheria iliyopitishwa kuruhusu watu wa usalama wa taifa kufanya vitendo vya aina hii na wanalindwa na sheria? acheni kudivert attention kwa yule anapaswa kuwajibika kuaddress hii hali..Rais mwenyewe ndiye awajibike!
 
Sijajua.. utaratibu ukoje..

Hivi mpaka JESHI LA WANANCHI linaingia kazini kutetea Wananchi huwa kuna factors zipi zinapelekea JWTZ kuwa activated kwa maslahi ya Umma hasa ktk eneo la Usalama?

Nilikuwa nawaza tu kama upande wa pili hakueleweki basi wazee waingie kazini kufanya Ulinzi wa Raia na mali zao.
 
Tangu nchi hii iumbwe, wahalifu wapo, na wataendelea kuwepo, inawezekana hata sasa hivi kuna mtu anaiba simu hapo Tandale. Kwa hiyo hizo individual cases ndio zifanye waziri aondoke?
Tangu lini individual alitumia gari zenye namba za serikali?

Tangu link individual anaweza kumpeleka mtuhumiwa karakana ya polisi Ostabei?

Tangu lini individual anaweza kumiriki pingu na SMG?

............,.................... Wewe?
 
Najiuliza uwajibikaji uko wapi? Ingekuwa nchi Kama Tunisia na Kenya au kwingineko kosa dogo tu linaondoa baadhi ya watu madarakani si kwa utashi wao!bali kwa Nguvu ya Umma na maandamano! Lakin hapo kwenye Kondoo wa Kiboko ya wachawi hata uwakojolee midomoni kila asubuhi
Utasikia yote twamuachia Mungu!

Kwa hili na Kwakuwa wananchi ni waoga namsihi Masauni aachie madaraka! Pili IGP na RPC kinondoni pamoja na RCO wake na watu wa kijotonyama waachie ngazi, kwa hiari Kama alivyo fanya mzee Mwinyi miaka ya nyuma,

Mpaka sasa watanzania si chini ya 60 wametekwa na hawajaulikani walipo na kauli zinatoka tu kirahisi kwamba ni drama! Au ikionekana serikali Ina husika utaambiwa itagharamia mazishi, “we have to stop this nonsense”


MWISHO KWANINI JF MNAFUTAGA NYUZI ZANGU, NILIWEKAGA UZI WA KWANINI WATU WANATEKWA NA WANAOHUSIKA
MKAUSHUSHA, NA NILITAJA HADI WATU WANAPOFICHWA PINDI WATEKWAPO MKAULAMBA NIKAONA ISIWE TABU MAANA JUKWAA NI LENU MNAENDESHA KWA SHERIA MNAVYOTAKA,

JANA NIMEWEKA MASWALI YA MSINGI KWA POLISI NA FUNUNU YA SABABU ZA KUMUUA MZEE KIBAO MKAUTUPILIA MBALI
View attachment 3091110


ANYWAY NGOJA TUENDELEE KUWALINDA WATESI

Britanicca
nawaombea wahusika na washiriki uchaguzi wa ndani wa chadema,

Mwenyezi Mungu awaepushe na kila hila na njama za muovu yeyote anae kusudia na kulenga kuhatarisha afya na kukatisha uhai wa wengine kwa maslahi binafsi ya uongozi na siasa...

Mungu awalinde, awanusuru na kuwapiganie katika hilo Aimen..

Mungu Ibariki Tanzania
 
Najiuliza uwajibikaji uko wapi? Ingekuwa nchi Kama Tunisia na Kenya au kwingineko kosa dogo tu linaondoa baadhi ya watu madarakani si kwa utashi wao!bali kwa Nguvu ya Umma na maandamano! Lakin hapo kwenye Kondoo wa Kiboko ya wachawi hata uwakojolee midomoni kila asubuhi
Utasikia yote twamuachia Mungu!

Kwa hili na Kwakuwa wananchi ni waoga namsihi Masauni aachie madaraka! Pili IGP na RPC kinondoni pamoja na RCO wake na watu wa kijotonyama waachie ngazi, kwa hiari Kama alivyo fanya mzee Mwinyi miaka ya nyuma,

Mpaka sasa watanzania si chini ya 60 wametekwa na hawajaulikani walipo na kauli zinatoka tu kirahisi kwamba ni drama! Au ikionekana serikali Ina husika utaambiwa itagharamia mazishi, “we have to stop this nonsense”


MWISHO KWANINI JF MNAFUTAGA NYUZI ZANGU, NILIWEKAGA UZI WA KWANINI WATU WANATEKWA NA WANAOHUSIKA
MKAUSHUSHA, NA NILITAJA HADI WATU WANAPOFICHWA PINDI WATEKWAPO MKAULAMBA NIKAONA ISIWE TABU MAANA JUKWAA NI LENU MNAENDESHA KWA SHERIA MNAVYOTAKA,

JANA NIMEWEKA MASWALI YA MSINGI KWA POLISI NA FUNUNU YA SABABU ZA KUMUUA MZEE KIBAO MKAUTUPILIA MBALI
View attachment 3091110


ANYWAY NGOJA TUENDELEE KUWALINDA WATESI

Britanicca
Mkuu britanicca , kwanza ubarikiwe sana kwa uwepo wako na nyuzi zako.

Mwanzo jf ilikuwa just a social media ya user generated forum, mtu ulikuwa una post chochote na kinapanda. Sasa jf sio a social media only, jf sasa ni social media na mainstream digital media, iko more responsible na contents. Ukileta kitu too hot kinachoweza kuunguza, kinaondolewa kwanza, kinachunguzwa ikithibitika ni kweli, kinapandishwa. On be the first to know, could JF be ni funga kazi zaidi ya mainstream media zote? Shuhudia hapa

Nakushauri ukileta zile sensitive za kule mahali, zipooze kwa kuondoa majina ya watu, maana sasa jf pia ni 'sehemu' juzi kati kwenye kongamano la maendeleo sekta ya habari, Mama aliitaja jf na alimuita Max "Mwanangu Max", Rais Samia aitaja JamiiForums, asema utoaji wa Habari umehamia mtandaoni kama ilivyo JamiiForums

Tone ya Rais Samia kumuita Max mwanangu was a loving tone, hivyo kitendo cha kutajwa kwa jina na kwa upendo na Mkuu wa nchi ni heshima kibwa!, Rais Samia ameiheshimisha sana jf, hivyo lazima Max arudishe heshima hiyo kwa kutumia kanuni ya reciprocate, ukiaminiwa jiaminishe, ukipendwa pendeka na ukibebwa bebeka!!.
Nimenote siku hizi kwenye ziara zote za Rais Samia nje ya nchi, reporter wa jf yupo

P
 
Najiuliza uwajibikaji uko wapi? Ingekuwa nchi Kama Tunisia na Kenya au kwingineko kosa dogo tu linaondoa baadhi ya watu madarakani si kwa utashi wao!bali kwa Nguvu ya Umma na maandamano! Lakin hapo kwenye Kondoo wa Kiboko ya wachawi hata uwakojolee midomoni kila asubuhi
Utasikia yote twamuachia Mungu!

Kwa hili na Kwakuwa wananchi ni waoga namsihi Masauni aachie madaraka! Pili IGP na RPC kinondoni pamoja na RCO wake na watu wa kijotonyama waachie ngazi, kwa hiari Kama alivyo fanya mzee Mwinyi miaka ya nyuma,

Mpaka sasa watanzania si chini ya 60 wametekwa na hawajaulikani walipo na kauli zinatoka tu kirahisi kwamba ni drama! Au ikionekana serikali Ina husika utaambiwa itagharamia mazishi, “we have to stop this nonsense”


MWISHO KWANINI JF MNAFUTAGA NYUZI ZANGU, NILIWEKAGA UZI WA KWANINI WATU WANATEKWA NA WANAOHUSIKA
MKAUSHUSHA, NA NILITAJA HADI WATU WANAPOFICHWA PINDI WATEKWAPO MKAULAMBA NIKAONA ISIWE TABU MAANA JUKWAA NI LENU MNAENDESHA KWA SHERIA MNAVYOTAKA,

JANA NIMEWEKA MASWALI YA MSINGI KWA POLISI NA FUNUNU YA SABABU ZA KUMUUA MZEE KIBAO MKAUTUPILIA MBALI
View attachment 3091110


ANYWAY NGOJA TUENDELEE KUWALINDA WATESI

Britanicca
Kudisclose maeneo, maafisa na mission ni makosa ya kijinai.

Namini unafahamu vyema sana.

Hivyo wanajiepusha na mkono wa sheria wao na wewe pia.
 
Mkuu britanicca , kwanza ubarikiwe sana kwa uwepo wako na nyuzi zako.

Mwanzo jf ilikuwa just a social media ya user generated forum, mtu ulikuwa una post chochote na kinapanda. Sasa jf sio a social media only, jf sasa ni social media na mainstream digital media, iko more responsible na contents. Ukileta kitu too hot kinachoweza kuunguza, kinaondolewa kwanza, kinachunguzwa ikithibitika ni kweli, kinapandishwa. On be the first to know, could JF be ni funga kazi zaidi ya mainstream media zote? Shuhudia hapa

Nakushauri ukileta zile sensitive za kule mahali, zipooze kwa kuondoa majina ya watu, maana sasa jf pia ni 'sehemu' juzi kati kwenye kongamano la maendeleo sekta ya habari, Mama aliitaja jf na alimuita Max "Mwanangu Max", Rais Samia aitaja JamiiForums, asema utoaji wa Habari umehamia mtandaoni kama ilivyo JamiiForums

Tone ya Rais Samia kumuita Max mwanangu was a loving tone, hivyo kitendo cha kutajwa kwa jina na kwa upendo na Mkuu wa nchi ni heshima kibwa!, Rais Samia ameiheshimisha sana jf, hivyo lazima Max arudishe heshima hiyo kwa kutumia kanuni ya reciprocate, ukiaminiwa jiaminishe, ukipendwa pendeka na ukibebwa bebeka!!.
Nimenote siku hizi kwenye ziara zote za Rais Samia nje ya nchi, reporter wa jf yupo

P
Tutaongelea wapi sada kama jf ndio imekuwa hivi
 
Back
Top Bottom