Je, Waziri wa Utawala Bora, Mohamed Mchengerwa ni mkwe wa Rais Samia?

Bora kulindwa na mwanao, utakuwa unauhakika zaidi wa usalama wako
 
Bora mama ameteua mkwe lakini tunaona mteuliwa anasifa zote zakukalia nafasi,Hayati alizidi jamani yaani ka mwalimu hakajui hata madini kanakuwa ka Waziri kweli?
 

Kama ana sifa za kazi hiyo, shida iko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…