Je, wezi wa Wizara ya fedha wameshafahamu aina ya Rais tuliyenaye?

Je, wezi wa Wizara ya fedha wameshafahamu aina ya Rais tuliyenaye?

Nimeongelea katibu mkuu, sina muda wa kujibu ujinga pls.

Kwanza hata unajua majukumu yake? Unaweza idhinisha matumizi ya fedha bila ya kumtaarifu?
Duuh! Sijakuuliza ili unipe definition au unifundishe maana ya ukatibu mkuu. Nilimaanisha anaitwa nani, ni kweli simjui na nilidhani pengine ungenitajia nami ningepata mwangaza.

Polee kwa kuchakata vibaya swali langu, na kama walivyo waTz wengi, huwa nasikia tu Katibu mkuu ila sijui lolote kuhusu kazi zake. Asante.
 
Duuh! Sijakuuliza ili unipe definition au unifundishe maana ya ukatibu mkuu. Nilimaanisha anaitwa nani, ni kweli simjui na nilidhani pengine ungenitajia nami ningepata mwangaza.

Polee kwa kuchakata vibaya swali langu, na kama walivyo waTz wengi, huwa nasikia tu Katibu mkuu ila sijui lolote kuhusu kazi zake. Asante.
My bad 🙏🙏🙏

Emmanuel Tutuba alikuwa RAS mwanza akapandishwa.
 
Maza apige 15 hata kama tutaibiwa lakini tuna amani hakuna mauji wala kesi za uhujumu uchumi za kipumbavu, kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
EEeenHeee!

Ninakusoma mkuu 'Babati'.

Nina hakika kabisa kwamba sijawahi kukusoma humu JF kama ninavyokusoma kwenye mstari huo mmoja. Siwezi kamwe kuyasahau haya maneno mazito uliyoyaandika hapa kuweka msisitizo: "...kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake."

Wakati nikiwa nimezoea kukusoma na kukuelewa vyema kwa hayo maneno ya mwanzo kwenye mstari ule, sikujua kwamba kumbe kuna upande wa pili ambao umeuonyesha leo kwa hayo maneno niliyoya'quote'.

Basi sawa!
 
Mama hawezi.

Sio kuyamudu haya pekee, lakini sioni atakavyoweza kuondoa uozi mwingi sehemu mbalimbali serikalini na kwenye mashirika yake.

Mama hana uthubutu na sina uhakika kama anajua ni kipi akifanye kuyaondoa haya na hayo mengi yaliyozagaa kila upande serikalini na kwenye mashirika.

Siyo ajabu, yeye mwenyewe ndiye atakaye yachochea yaongezeke zaidi na zaidi.
 
Maza apige 15 hata kama tutaibiwa lakini tuna amani hakuna mauji wala kesi za uhujumu uchumi za kipumbavu, kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
kama atacheka na huu upuuzi aondoke hata kesho
 
Hii ofisi nayo kama iko kisiasa zaidi huwa inamfavor yule aliyemweka madarakani na mara nyingi sio wakweli!
na katika hili hata Professor Assad aliingia mtego huu wakati wa Kikwete hakuzungumza mabaya awamu ya tano akayaona mabaya.
huyu mwingine woga wa kukosa kazi na tamaduni za kujikombakomba zinafanya pia aponde kila kitu.
njaa bado ni tatizo kwa taaluma zetu!
we mbwa unajua Prof Asad alianza ukaguzi mwaka gani na riport yake ya kwanza ilikuwaje? you better shut-up.
 
Kumbuka tumesha kubaliana tuachie pesa ije mtaani,saa hizi kuna wengine wamepata bahati huko mtaani Mzigo wa Wizara ya fedha nao umewafikia! Kama kuna mafundi Ujenzi au mafundi Magari saa hizi nao wanawapiga pesa Watumishi wezi wa fedha za Umma!!
Ikija mtaani utakuwa unaokota barabarani?
 
Maza anapiga viwiko na wageni ikulu huku ngedele washapamba Moto .tulishazoeshwa watu kupinduliwa aggressively hatutegemei vinginevyo
 
Mleta uzi unajua kuwa hizo pesa zimepigwa hata huyo unayetaka kumtwisha lawama akiwa hajawa hapo alipo!!??. Una
 
Dawa ya wezi ni kufunga tu hasa hao wanaokwiba fedha za wavuja jasho.
 
Msimwonee mbibi wa watu.. mamno mengi
Kwa wakulima wa mahindi na mpunga, tunaelewa uharibifu wa nyani na tumbili na ndege. Huwa tunaanza kuweka matambala na kichwa cha bandia ili wanyama hawa waamini huyo ni mlinzi.

Wanyama polepole huanza kuzoea na kugundua kwamba hayo ni matambala na hakuna kichwa, ni chungu cheusi. Hapo sasa mazao huanza kuliwa.

Tumeanza kuona wizi na ulaji wa hovyo. Tena ndani ya wizara mama yenye kushikilia hazina ya taifa na nchi. Wizara ya Fedha wanaanza kuiokomba nchi kweupeee! Hisia yangu hawa ni nyani waliogundua kwamba hatuna tena mlinzi wa fedha ya umma. Rais wetu utajua mwenyewe! Kama nawe una maneno yale ya kusema nchi hii utaiacha kama alivyoiacha Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Magufuli. Aliyesema simtaji.

 
Tafuta reports za CAG Prof Assad enzi za Kikwete uone ubadhirifu ulivyokuwa unaanikwa

Na reports za Assad enzi za Kikwete ndio zilipelekea alipoingia Jpm madarakani akaanza kupiga kwenye angle ya watumishi hewa maana Assad alianika upotevu wa takribani 3bl kwa mwaka

Uzuri wa Kikwete aliacha taasisi kama hizi ziwe huru, ndio maana ikamuwia rahisi Jpm kujua aanze kudili na angle zipi zenye ufisadi na upotevu wa kodi zetu wananchi
Acha kumsifia uyo mtu aliyeacha mianya Mingi ya upigaji,unyanyasaji watu WA Hali ya chini walinyanywaswa kila Kona

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Rais SSH yuko vizuri. Yeye kaibiwa na kagundua kabla hata ya CAG kukagua mahesabu. Kuibiwa huwezi kuzuia bali kutambua wizi ndiyo akili

Lakini huyo Mwendazake wenu alikuwa anaiba yeye na genge lake halafu CAG akihoji anamfukuza kazi.

Sukuma Gang, mtahangaika sana kutafuta kasoro
Kichwa maji wewe

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Huyo waziri Mkuu anadhani sisi ni wajinga, ripoti ya BoT ya januari to March mbona mama haiweki hadharani, tujue uadilifu wa hapo kabla? Maana ile 1.5t tulipigwa hivi hivi.
Wee Kama sio mjinga si ukamuulize aliyeiunda , majaaliwa ndo ameiiunda yeye anafanya yaliyondani yake
 
Back
Top Bottom