Je, yaliyotokea kwenye familia ya Mengi kujirudia kwa Mrema?

Shida kile kitobo hakinaga mjanja.
Akishapewa mambo matamu anajikuta ile nyumba pale Sinza Vatican karibu na Shule ya miogoni anammilikisha mdada.
Ana nyingine pale legho nyuma ya mto wa kamanyola
 
Sijui wazee wa kimangi wanakwama wapi. Unatafuta peaa ukiwa kijana unazeeka unakufa kiboya mali wanarithishwa wahuni watoto wako wanapigwa kumbo kwa amri yako mwenyewe utadhani hukuwazaa wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…