Je, yawezekana tukapata Mabadiliko ndani ya Jeshi la Polisi?

Je, yawezekana tukapata Mabadiliko ndani ya Jeshi la Polisi?

Awadh ameupiga mwingi sana kwenye sakata la Chadema kule Mbeya lazima aupate u IGP maana ni yeye personally aliwapa kisago cha mbwa mwizi Sugu na Mnyika maana watu sampuli hii ndiyo majembe ya CCM.
 
"negative mindset"
How negative hapo uliposoma au ndio wale mliokosa hata D mbili? Mie nimesema namfahamu na nimefanya nae kazi pia na nikaacha huko sasa wewe kama unamfahamu labda ni bwanako we sema. Stupid.
 
Nadhani elimu inapaswa kuanzia hapa....

Ukijua asili, utaelewa kuwa John, Juma si yetu, kama hivyo ndivyo, basi hakuna uwezekano wa John au Juma kuwa SURNAME kwenye jamii ya kitanganyika, asilani abadani! Ukoo ulianza na Juma au John? Ulisikia wapi?
- Labda kama ni mtoto wa mtaani au aliyeokotwa, akaanzisha koo yake.

Mwisho, hata hiyo maana ya exposure sidhani kama umeielewa!
WEwe ndio wale akina anjunjumile mwakatopele ?

TEMBEA UONE mzee kuna mambo ni ya kawaida sana hapa tz.
 
Cammilius na Ramadhan wamepwaya sana kwenye nafasi zao na utendaji wao ni kama wanapingana na 4R za boss wao.
Wote elimu zao ndogo huyu awadh nae elimu ndogo kwahiyo akili ndogo haiwezi tawala akili kubwa...aliewateua nae elimu ndogo kidiploma cha mzumbe
 
Huyu IGP wa sasa ndio alitumika na Magufuli kuframe kesi ya ugaidi ya Mbowe. Na wakaishia kulitia jeshi la polisi aibu, na serekali kwa ujumla kwa kutengeneza ushahidi wa kitoto sana.
Bila kumtaja JPM hainogi
 
Huyu hamza johari si ndo wa dp weldi
 
Awadh ameupiga mwingi sana kwenye sakata la Chadema kule Mbeya lazima aupate u IGP maana ni yeye personally aliwapa kisago cha mbwa mwizi Sugu na Mnyika maana watu sampuli hii ndiyo majembe ya CCM.
Ila jamaa kawakung'uta asee..nasikia aliwapiga marungu na mateke
 
Back
Top Bottom