Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Hakukuwa na kesi pale, bali kulikuwa na upuuzi kama upuuzi mwingine kwenye serekali yetu na muhimili wa mahakama.Kwani mbowe ile kesi alishinda au Daktari Samia aliamua kumsamehe tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakukuwa na kesi pale, bali kulikuwa na upuuzi kama upuuzi mwingine kwenye serekali yetu na muhimili wa mahakama.Kwani mbowe ile kesi alishinda au Daktari Samia aliamua kumsamehe tu?
Na nyie chadema mbona mnapenda kumtoa Samia kwenye ukatili na uharamia unaoendelea !!! . Itakuwa Samia aliwapa rushwa kweli ndani ya chama chenu kama Tundu Lissu anavyosema.Kesi yote ushahidi wake ulikuwa kipindi cha magufuli na sio huyo mama.
Unadhani hatujui tofauti ya wawili hao?Na nyie chadema mbona mnapenda kumtoa Samia kwenye ukatili na uharamia unaoendelea !!! . Itakuwa Samia aliwapa rushwa kweli ndani ya chama chenu kama Tundu Lissu anavyosema.
Benki kuu huwezi kuingia bila kua mtu wa idara.
Benki kuu ni kitovu cha usalama wa nchi kiuchumi( Economic Inteligence)
Afande Awadhi ?Tunamuweka wakwetu kutokea kizimkazi
Kesi ya Mbowe unamuhusisha Magufuli? Kwa nini mnaogopa kumlaumu mama yenu hata anapokosea? Magufuli alifariki lini na huyo gaidi aliyeachiwa kwa makubaliano ya kuwa chawa wa mama yenu alikamatwa lini? Je magufuli aliwahi kutamka popote kwamba chawa la mama yenu Mbowe ni gaidi? Lakini mama yenu hakuiambia dunia kupitia BBC kwamba chawa ni gaidi?
Nauliza tu maana kuna harufu Fulani kutoka sehemu fulaniii Tukapata kijana akawa IGp
Ni mawazo Yangu tu
Wait it
Upo Pascal Mayalla ?
Britanicca
Hata wakibadilishwa utekaji watu hautakoma kwa sababu tatizo lililopo ni la kimfumo kutokana na uwepo wa Katiba mbovu, Wala siyo suala la vyeo vya watu..Waziri wa Mambo ya ndani.
..IGP.
..DCI.
..Mkurugenzi wa Tiss.
..wanatakiwa kubadilishwa.
..Utekaji wa SATIVA umemchafua Rais Samia.
Hata wakibadilishwa utekaji watu hautakoma kwa sababu tatizo lililopo ni la kimfumo kutokana na uwepo wa Katiba mbovu, Wala siyo suala la vyeo vya watu
Alafu mtu kwenye majina matatu lile la mwisho si lazima liwe la ukoo, kuna watu wametokea kuchukia au kuona majina ya kibantu hayafai matokeo yake hawa wakisajili watoto shule hawayawekiSijui unatoka wapi wewe ambaye hujui haya mambo,kumbe kuna watz hamna exposure na nchi yenu namna hii mpaka jambo la kawaida kama hili mnalishangaa ?
Tembelea mikoa ya tanga,lindi,mtwara,tabora n.k utaona hayo kwamba ni mambo ya kawaida sana.
Mimi mwenyewe baba yangu majina yake yote matatu ni kama haya ya awadhi hakuna jina la ukoo.
Alikuwa Mtei.
Watu wa namna hiyo dawa yao ndogo tu, sema Wananchi wenyewe wa Tanzania wengi wao bado wapo kwenye usingizi wa pono.Awadh ni mtata sana na kwa style ya mama yenu hali inavyozidi kwenda ndio anazidi kupagawa she needs a rude and unreasonable IGP na Awadh huwaga very unreasonable nimemfahamu toka akiwa Oysterbay wakati ana nyota 2 na within 12 years amepanda fasta sana sababu ya unaa wake na kujinafikisha kwa wakubwa kujiweka kifeont akisahau kwamba hizi kazi kuna siku sio nyingi atarudi mtaani. Anyway all the best lakini akiteuliwa mjue tumeumia hanaga akili jamaa.
Inawezekana sana endapo chadema hawataenda mahakamani kwa walichotendwa.Nauliza tu maana kuna harufu Fulani kutoka sehemu fulaniii Tukapata kijana akawa IGp
Ni mawazo Yangu tu
Wait it
Upo Pascal Mayalla ?
Britanicca
Yupo anakaa mbweni kila siku anatujazia mafoleni tu asubuhi na jioni sijui huko dodoma anaenda mda gani??Ngoja tuone...
Hivi IGP wa sasa anaitwa jina gani? yupo kimya sana...
Mabadiliko si wanafanya chichiem..Nauliza tu maana kuna harufu Fulani kutoka sehemu fulaniii Tukapata kijana akawa IGp
Ni mawazo Yangu tu
Wait it
Upo Pascal Mayalla ?
Britanicca
Kaganda wanataka Ila debate kubwaInawezekana sana endapo chadema hawataenda mahakamani kwa walichotendwa.
Huyu Mtoto wa mkulu wanasemaaaa weh kwa nini hawamshitaki anatoa rushwa tuanzie hapo otherwise mateso mengi yapo njiani.
Huyo Hapana majina mawili yaliyo meza kuu ni Kaganda na AwadhiWamuweke Mahita Jr
Mkuu kwa teuzi tengua hizi unadhani hata waziri wa Elimu tunamjua?......Watanzania wengi washaacha kufatilia mambo haya.Ngoja tuone...
Hivi IGP wa sasa anaitwa jina gani? yupo kimya sana...
Huyu Mama ameamua.Kaganda wanataka Ila debate kubwa
ACTJe ndio itafanya Chadema wakitaka kuleta vurugu wasikamatwe?