Waziri wa fedha alikuwa nani!
..inawezekana alikuwa Mtei, Jamal, Msuya,au Bomani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri wa fedha alikuwa nani!
Nitakusomea Novina mkuu , unataka nile wapi?Nauliza tu maana kuna harufu Fulani kutoka sehemu fulaniii Tukapata kijana akawa IGp
Ni mawazo Yangu tu
Wait it
Upo Pascal Mayalla ?
Britanicca
Hakuna 4r mkuu, ule ni utapeli na kutaka kuhadaa umma kuwa kuna nia njema, lakini mambo ya msingi hayatekelezwi.
Mkuu unanitoaje na vocha.britanicca hii habari hata siyo nzuri kwangu 😥😥😥😥 kichaa anachekesha akiwa hatoki kwenu. My bro Mungu amvushe 🙏 anakaribia kustaafu pia.
Ramadhani kingai DCI sio nyamka mkuu vpKama ni Mzee Ramadhan Nyamka wa Magereza huyo keshastaafu.
Why mwalimu ahusike, unataka kusemaje?Mbowe aliingizwa BoT na Mtei kimemo kilitoka Kwa Mwalimu 🐼
Kiukweli nakuzingatia sana, lets wait and see, mimi IGP wangu ni yule binti Kaganda, kwa wenzetu wa upande wa pii, hakuna, ni wateke sana, wala urojo watatuletea urojo ligeuge urojo urojo na rojo rojo, hili niliwahi lizungumza humu Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?Nauliza tu maana kuna harufu Fulani kutoka sehemu fulaniii Tukapata kijana akawa IGp
Ni mawazo Yangu tu
Wait it
Upo Pascal Mayalla ?
Britanicca
Awadh huyu ni yule alikuwa traffic akisimamisha daladala American Chips na kukusanya maokoto au mwingine?Awadhi Juma Haji ndo ananukia kwenye udi labda mkuu abadili Kama kwa NCHEMBA
Wewe unashindwa nini kuogea chumvi ya mawe?Kiukweli nakuzingatia sana, lets wait and see, mimi IGP wangu ni yule binti Kaganda, kwa wenzetu wa upande wa pii, hakuna, ni wateke sana, wala urojo watatuletea urojo ligeuge urojo urojo na rojo rojo, hili niliwahi lizungumza humu Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?
P
Kwa rushwa,alikuwa anapokea sana rushwa akiwa ZTO DSMAwadh ni Polisi kweli kweli
Madereva wa Daladala wanamjua Vizuri
Tukio la Sativa liliondoa mashaka kwa waliokuwa nayo. Kibaya zaidi ''damage control' ilikuwa mbaya kuliko tukio.Waliomshauri walimharibia sana...uko sahihi.
..Sirro, Wambura, na Kingai.
..Lakini tukio la kutekwa Sativa limeacha ushahidi usio na shaka kwamba " wasiojulikana " ni genge la serikali.
..Hata Polisi ktk kituo alichoshikiliwa Sativa walikuwa wanamuuliza Sativa amefanya kosa gani.
..Polisi walioko vituoni inaelekea wanajua wahanga wanaoshikiliwa na " wasiojulikana " hatima yao huwa ni mbaya.
Tamaa za boss wao kukitaka tena kiti kwa udi na uvumba ndiyo sababu ya 4R kukanyagwa. Yaani ili kurejea tena 2025 hakuna namna, lazima azinajisi 4R. Polisi wasilaumiwe .Cammilius na Ramadhan wamepwaya sana kwenye nafasi zao na utendaji wao ni kama wanapingana na 4R za boss wao.
Yani mtu mmoja ndio amchafue Raisi tena wa nchi ya Africa?huyo Sativa kwanza nobody knows him huku mitaani zaidi ya humu mitandaoni....Waziri wa Mambo ya ndani.
..IGP.
..DCI.
..Mkurugenzi wa Tiss.
..wanatakiwa kubadilishwa.
..Utekaji wa SATIVA umemchafua Rais Samia.
Kwani mbowe ile kesi alishinda au Daktari Samia aliamua kumsamehe tu?Huyu IGP wa sasa ndio alitumika na Magufuli kuframe kesi ya ugaidi ya Mbowe. Na wakaishia kulitia jeshi la polisi aibu, na serekali kwa ujumla kwa kutengeneza ushahidi wa kitoto sana.
Amefanya kosa gani?Hapana ame pause tu ila anatoka
Yani mtu mmoja ndio amchafue Raisi tena wa nchi ya Africa?huyo Sativa kwanza nobody knows him huku mitaani zaidi ya humu mitandaoni..
Kumbe huyo Kaganda ni mhitimu wa CBE?CBE enzi hizo Cresentius Magori wa Simba akiwa Mwalimu wa Marketing Management 😀😀
Ha ha ha..ila jf watu mna dharau.mbowe kutoka familia ya kitajiri kweli akawe security guard wa BOT?Alikuwa Security Guard
Kesi ya Mbowe unamuhusisha Magufuli? Kwa nini mnaogopa kumlaumu mama yenu hata anapokosea? Magufuli alifariki lini na huyo gaidi aliyeachiwa kwa makubaliano ya kuwa chawa wa mama yenu alikamatwa lini? Je magufuli aliwahi kutamka popote kwamba chawa la mama yenu Mbowe ni gaidi? Lakini mama yenu hakuiambia dunia kupitia BBC kwamba chawa ni gaidi?Huyu IGP wa sasa ndio alitumika na Magufuli kuframe kesi ya ugaidi ya Mbowe. Na wakaishia kulitia jeshi la polisi aibu, na serekali kwa ujumla kwa kutengeneza ushahidi wa kitoto sana.
Alikuwa Mtei...inawezekana alikuwa Mtei, Jamal, Msuya,au Bomani.