Je, yawezekana tukapata Mabadiliko ndani ya Jeshi la Polisi?

Je, yawezekana tukapata Mabadiliko ndani ya Jeshi la Polisi?

Awadhi sio mzanzibari,awadhi ni mtanganyika.
No ni awadhi juma haji

Ni bora Mahita arudi.
Huyu Mrangi aliwafanyia ngunguri ACT kule Zanzibar mwaka 2020 kwenye uchafuzi.

Top layer yote ya vyombo vya ulinzi na usalama hua ni ya makada wa CCM na genge la wapigaji.

Hii hata nchi za kimafya na magenge ya wauza unga kule Kolombia walifanikiwa sana kupandikiza wanachama wao kila idara ikawa ni ngumu sana kutokomeza biashara haramu ya madawa ya kulevya. The same applied to CCM. Imeweka watu wake kuwa wakuu wa idara zote na pengine hata vyama vya upinzani vinaongozwa na makada wa CCM maslahi. Wenyeviti wote wa vyama vya upinzani waliwahi kutumika kama watu wa idara ya usalama kulingana na position walizokuwa. Zito Kabwe mfano huyu ni kijana wao siku nyingi kabla ya kujiunga na siasa. Ameanzisha ACT.
Edwin Mtei alikua Governor wa fedha akaanzisha Chadema, Mbowe alikua mtumishi wa benki kuu.
Lisu na Mwabukusi hawajulikani wameibukia wapi ndio maana wanaonekana ni tishio kubwa sana kwa ustawi wa mafisadi.
 
IGP na Waziri hivi kweli hawamwelewi Rais na 4R zake au wanatumiwa na kuna njama za kumuangusha. Unaona sasa hili la chadema wamemchafua. Mimi ni CCM sijafurahishwa vombo vya dola kuingilia siasa.
Hakuna 4r mkuu, ule ni utapeli na kutaka kuhadaa umma kuwa kuna nia njema, lakini mambo ya msingi hayatekelezwi.
 
Ni bora Mahita arudi.
Huyu Mrangi aliwafanyia ngunguri ACT kule Zanzibar mwaka 2020 kwenye uchafuzi.

Top layer yote ya vyombo vya ulinzi na usalama hua ni ya makada wa CCM na genge la wapigaji.

Hii hata nchi za kimafya na magenge ya wauza unga kule Kolombia walifanikiwa sana kupandikiza wanachama wao kila idara ikawa ni ngumu sana kutokomeza biashara haramu ya madawa ya kulevya. The same applied to CCM. Imeweka watu wake kuwa wakuu wa idara zote na pengine hata vyama vya upinzani vinaongozwa na makada wa CCM maslahi. Wenyeviti wote wa vyama vya upinzani waliwahi kutumika kama watu wa idara ya usalama kulingana na position walizokuwa. Zito Kabwe mfano huyu ni kijana wao siku nyingi kabla ya kujiunga na siasa. Ameanzisha ACT.
Edwin Mtei alikua Governor wa fedha akaanzisha Chadema, Mbowe alikua mtumishi wa benki kuu.
Lisu na Mwabukusi hawajulikani wameibukia wapi ndio maana wanaonekana ni tishio kubwa sana kwa ustawi wa mafisadi.

..Mbowe alikuwa mtu mdogo sana BOT.

..miaka hiyo vijana wa Form 6 walikuwa wanaajiriwa ktk taasisi za umma kabla hawajakwenda vyuoni.
 
Back
Top Bottom