BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 1,568
- 1,923
Ile nyuzi ya mukwala na mutale nacoment lakini mods sijui vp unasema KUMRADHI..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtanganyika mwenye majina matatu ya kiarabu? Hata la ukoo? Tanganyika ipi? Awadhi sio jina la jangwani kule?Awadhi sio mzanzibari,awadhi ni mtanganyika.
No ni awadhi juma hajiWamuweke Mahita Jr
Huyu IGP wa sasa ndio alitumika na Magufuli kuframe kesi ya ugaidi ya Mbowe. Na wakaishia kulitia jeshi la polisi aibu, na serekali kwa ujumla kwa kutengeneza ushahidi wa kitoto sana.
Awadh ni Polisi kweli kweliNo ni awadhi juma haji
Awadhi Juma Haji ndo ananukia kwenye udi labda mkuu abadili Kama kwa NCHEMBA
Hapana ame pause tu ila anatokaKwahyo Madelu tunae sana
IGP na Waziri hivi kweli hawamwelewi Rais na 4R zake au wanatumiwa na kuna njama za kumuangusha. Unaona sasa hili la chadema wamemchafua. Mimi ni CCM sijafurahishwa vombo vya dola kuingilia siasa.Igp wa sasa na waziri wake wa mambo ya ndani wamepoa sana, yafaa wabadilishwe.
Kama ni Mzee Ramadhan Nyamka wa Magereza huyo keshastaafu.Cammilius na Ramadhan wamepwaya sana kwenye nafasi zao na utendaji wao ni kama wanapingana na 4R za boss wao.
Wewe ni mtanganyika wa wapi ambaýe hujui kwamba tanganyika majina hayo yamejaa kuliko zanzbar..?Mtanganyika mwenye majina matatu ya kiarabu? Hata la ukoo? Tanganyika ipi? Awadhi sio jina la jangwani kule?
Alitunyoosha sana wakati ule kule zenji alipokuwa mkuu wa polisi wa kule.Awadh ni Polisi kweli kweli
Madereva wa Daladala wanamjua Vizuri
Tuendelee kusubiriNauliza tu maana kuna harufu Fulani kutoka sehemu fulaniii Tukapata kijana akawa IGp
Ni mawazo Yangu tu
Wait it
Upo Pascal Mayalla ?
Britanicca
Hii ni hoja imekaa kipolitoon! Haina mantiki.🙏🙏🙏..Waziri wa Mambo ya ndani.
..IGP.
..DCI.
..Mkurugenzi wa Tiss.
..wanatakiwa kubadilishwa.
..Utekaji wa SATIVA umemchafua Rais Samia.
Suzana Kaganda ni educated and fit for female IGP.😁😁😁😁😁😁😁😁😁.
Na uchaguzi huu sidhani
DCI babu.Kama ni Mzee Ramadhan Nyamka wa Magereza huyo keshastaafu.