Kaganda namuona kama anafanya kazi kitaaluma na kisayansi zaidi badala ya maguvu na akili. She is better than anyone else in the top brass of the police force.Kumbe huyo Kaganda ni mhitimu wa CBE?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaganda namuona kama anafanya kazi kitaaluma na kisayansi zaidi badala ya maguvu na akili. She is better than anyone else in the top brass of the police force.Kumbe huyo Kaganda ni mhitimu wa CBE?
Na mtu wa namna hiyo ndiyo hatakiwi kabisa na CCM.Kaganda namuona kama anafanya kazi kitaaluma na kisayansi zaidi badala ya maguvu na akili. She is better than anyone else in the top brass of the police force.
Rais alisema kuna watu walipinga sana dhana ya 4R ndani ya CCM na Serikali kwa hiyo wako kazini rasmi kivitendo kuziua kwa visingizio mbalimbali,Mama sasa na wewe wachomoe watakuharibia.Tunajua CCM tutashinda uchaguzi kwa urahisi lakini wanachama tunapenda ushinde na 4R zako zikishamiri zimekupatia shahada za heshima nyingi duniani.Cammilius na Ramadhan wamepwaya sana kwenye nafasi zao na utendaji wao ni kama wanapingana na 4R za boss wao.
Kaganda is the best candidate for the post of IGP lakini hafiti kwa matakwa ya CCM.Kiukweli nakuzingatia sana, lets wait and see, mimi IGP wangu ni yule binti Kaganda, kwa wenzetu wa upande wa pii, hakuna, ni wateke sana, wala urojo watatuletea urojo ligeuge urojo urojo na rojo rojo, hili niliwahi lizungumza humu Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?
P
Yuko fit kwa matakwa ya falsafa ya mama ya 4R na maslahi ya nchi kwa upana wake. She acts proffessionally and deligently for all.Kaganda is the best candidate for the post of IGP lakini hafiti kwa matakwa ya CCM.
Huyo kijana anajikomba lkn sioni akipenyaNauliza tu maana kuna harufu Fulani kutoka sehemu fulaniii Tukapata kijana akawa IGp
Ni mawazo Yangu tu
Wait it
Upo Pascal Mayalla ?
Britanicca
Uko sahihi lakini hafiti kwa matakwa ya CCM.Yuko fit kwa matakwa ya falsafa ya mama ya 4R na maslahi ya nchi kwa upana wake. She acts proffessionally and deligently for all.
Vijana wa Chadema ni wapuuzi sana.Bila kumtaja Magufuli hawajisikiiKesi ya Mbowe unamuhusisha Magufuli? Kwa nini mnaogopa kumlaumu mama yenu hata anapokosea? Magufuli alifariki lini na huyo gaidi aliyeachiwa kwa makubaliano ya kuwa chawa wa mama yenu alikamatwa lini? Je magufuli aliwahi kutamka popote kwamba chawa la mama yenu Mbowe ni gaidi? Lakini mama yenu hakuiambia dunia kupitia BBC kwamba chawa ni gaidi?
Nikumbushe, kabla akina yakhe na beberu kuingia Tanganyika, hakukua na KOO? Usiniambie kulikuwa na koo zenye majina kama Juma, Haji etc?Wewe ni mtanganyika wa wapi ambaýe hujui kwamba tanganyika majina hayo yamejaa kuliko zanzbar..?
Mbowe alipew kesi ya ugaidi kipind cha mama. Na sio kipind Ch MagufuliHuyu IGP wa sasa ndio alitumika na Magufuli kuframe kesi ya ugaidi ya Mbowe. Na wakaishia kulitia jeshi la polisi aibu, na serekali kwa ujumla kwa kutengeneza ushahidi wa kitoto sana.
Who is mama! Nawachukia wanaomuita rais wetu mpendwa "mama". Mbona watangulizi wake wote hakuna mliyemuita "baba".Mbowe alipew kesi ya ugaidi kipind cha mama. Na sio kipind Ch Magufuli
Sijui unatoka wapi wewe ambaye hujui haya mambo,kumbe kuna watz hamna exposure na nchi yenu namna hii mpaka jambo la kawaida kama hili mnalishangaa ?Nikumbushe, kabla akina yakhe na beberu kuingia Tanganyika, hakukua na KOO? Usiniambie kulikuwa na koo zenye majina kama Juma, Haji etc?
Hata Zenji kuna akina Duni, Makame, Mbarawa, etc
Surname haiwezi kuwa Hassan, Juma, Abdul... kisha uone ni kweli!
Sema kama hivyo mnavyosema kuwa MJOMBA ake ni ex-slave trader, modern torturer, ni sawa tu jina la mwisho kuwa Jabir, Hussein....
Hata kukamatwa kwa chawa kuu la mama Freeman Mbowe na wenzake huko Mbeya watalazimisha kwamba ni JPMVijana wa Chadema ni wapuuzi sana.Bila kumtaja Magufuli hawajisikii
Benki kuu huwezi kuingia bila kua mtu wa idara.c..Mbowe alikuwa mtu mdogo sana BOT.
..miaka hiyo vijana wa Form 6 walikuwa wanaajiriwa ktk taasisi za umma kabla hawajakwenda vyuoni.
..Mbowe alikuwa mtu mdogo sana BOT.
..miaka hiyo vijana wa Form 6 walikuwa wanaajiriwa ktk taasisi za umma kabla hawajakwenda vyuoni.
Security Guard wa BoT usimchukulie poa 😀Ha ha ha..ila jf watu mna dharau.mbowe kutoka familia ya kitajiri kweli akawe security guard wa BOT?
kwani bavicha ndio tishio la yeye kupata nafasi 2025? awaangilie vizuri kina na ma-rope.Tamaa za boss wao kukitaka tena tena kiti kwa udi na uvumba ndiyo sababu ya 4R kukanyagwa. Yaani ili kurejea tena 2025 hakuna namna, lazima azinajusi 4R. Polisi wasilaumiwe .
Kinachofanywa na polisi ni maelekezo toka kwa bibi mwenyewe
Nadhani elimu inapaswa kuanzia hapa....mambo,kumbe kuna watz hamna exposure na nchi yenu namna hii mpaka jambo la kawaida kama hili mnalishangaa ?
Ulifuatilia ushahidi wa kesi ya Mbowe, tuhuma zake zilikuwa za kipindi gani?Kesi ya Mbowe unamuhusisha Magufuli? Kwa nini mnaogopa kumlaumu mama yenu hata anapokosea? Magufuli alifariki lini na huyo gaidi aliyeachiwa kwa makubaliano ya kuwa chawa wa mama yenu alikamatwa lini? Je magufuli aliwahi kutamka popote kwamba chawa la mama yenu Mbowe ni gaidi? Lakini mama yenu hakuiambia dunia kupitia BBC kwamba chawa ni gaidi?
Kesi yote ushahidi wake ulikuwa kipindi cha magufuli na sio huyo mama.Mbowe alipew kesi ya ugaidi kipind cha mama. Na sio kipind Ch Magufuli