Je, yawezekana tukapata Mabadiliko ndani ya Jeshi la Polisi?

Je, yawezekana tukapata Mabadiliko ndani ya Jeshi la Polisi?

Cammilius na Ramadhan wamepwaya sana kwenye nafasi zao na utendaji wao ni kama wanapingana na 4R za boss wao.
Rais alisema kuna watu walipinga sana dhana ya 4R ndani ya CCM na Serikali kwa hiyo wako kazini rasmi kivitendo kuziua kwa visingizio mbalimbali,Mama sasa na wewe wachomoe watakuharibia.Tunajua CCM tutashinda uchaguzi kwa urahisi lakini wanachama tunapenda ushinde na 4R zako zikishamiri zimekupatia shahada za heshima nyingi duniani.
 
Kesi ya Mbowe unamuhusisha Magufuli? Kwa nini mnaogopa kumlaumu mama yenu hata anapokosea? Magufuli alifariki lini na huyo gaidi aliyeachiwa kwa makubaliano ya kuwa chawa wa mama yenu alikamatwa lini? Je magufuli aliwahi kutamka popote kwamba chawa la mama yenu Mbowe ni gaidi? Lakini mama yenu hakuiambia dunia kupitia BBC kwamba chawa ni gaidi?
Vijana wa Chadema ni wapuuzi sana.Bila kumtaja Magufuli hawajisikii
 
Wewe ni mtanganyika wa wapi ambaýe hujui kwamba tanganyika majina hayo yamejaa kuliko zanzbar..?
Nikumbushe, kabla akina yakhe na beberu kuingia Tanganyika, hakukua na KOO? Usiniambie kulikuwa na koo zenye majina kama Juma, Haji etc?

Hata Zenji kuna akina Duni, Makame, Mbarawa, etc

Surname haiwezi kuwa Hassan, Juma, Abdul... kisha uone ni kweli!

Sema kama hivyo mnavyosema kuwa MJOMBA ake ni ex-slave trader, modern torturer, ni sawa tu jina la mwisho kuwa Jabir, Hussein....
 
Huyu IGP wa sasa ndio alitumika na Magufuli kuframe kesi ya ugaidi ya Mbowe. Na wakaishia kulitia jeshi la polisi aibu, na serekali kwa ujumla kwa kutengeneza ushahidi wa kitoto sana.
Mbowe alipew kesi ya ugaidi kipind cha mama. Na sio kipind Ch Magufuli
 
Nikumbushe, kabla akina yakhe na beberu kuingia Tanganyika, hakukua na KOO? Usiniambie kulikuwa na koo zenye majina kama Juma, Haji etc?

Hata Zenji kuna akina Duni, Makame, Mbarawa, etc

Surname haiwezi kuwa Hassan, Juma, Abdul... kisha uone ni kweli!

Sema kama hivyo mnavyosema kuwa MJOMBA ake ni ex-slave trader, modern torturer, ni sawa tu jina la mwisho kuwa Jabir, Hussein....
Sijui unatoka wapi wewe ambaye hujui haya mambo,kumbe kuna watz hamna exposure na nchi yenu namna hii mpaka jambo la kawaida kama hili mnalishangaa ?

Tembelea mikoa ya tanga,lindi,mtwara,tabora n.k utaona hayo kwamba ni mambo ya kawaida sana.

Mimi mwenyewe baba yangu majina yake yote matatu ni kama haya ya awadhi hakuna jina la ukoo.
 
c..Mbowe alikuwa mtu mdogo sana BOT.

..miaka hiyo vijana wa Form 6 walikuwa wanaajiriwa ktk taasisi za umma kabla hawajakwenda vyuoni.
Benki kuu huwezi kuingia bila kua mtu wa idara.
Benki kuu ni kitovu cha usalama wa nchi kiuchumi( Economic Inteligence)
..Mbowe alikuwa mtu mdogo sana BOT.

..miaka hiyo vijana wa Form 6 walikuwa wanaajiriwa ktk taasisi za umma kabla hawajakwenda vyuoni.
 
kwani Ba
Tamaa za boss wao kukitaka tena tena kiti kwa udi na uvumba ndiyo sababu ya 4R kukanyagwa. Yaani ili kurejea tena 2025 hakuna namna, lazima azinajusi 4R. Polisi wasilaumiwe .

Kinachofanywa na polisi ni maelekezo toka kwa bibi mwenyewe
kwani bavicha ndio tishio la yeye kupata nafasi 2025? awaangilie vizuri kina na ma-rope.

hajawatuma!
 
mambo,kumbe kuna watz hamna exposure na nchi yenu namna hii mpaka jambo la kawaida kama hili mnalishangaa ?
Nadhani elimu inapaswa kuanzia hapa....

Ukijua asili, utaelewa kuwa John, Juma si yetu, kama hivyo ndivyo, basi hakuna uwezekano wa John au Juma kuwa SURNAME kwenye jamii ya kitanganyika, asilani abadani! Ukoo ulianza na Juma au John? Ulisikia wapi?
- Labda kama ni mtoto wa mtaani au aliyeokotwa, akaanzisha koo yake.

Mwisho, hata hiyo maana ya exposure sidhani kama umeielewa!
 
Kesi ya Mbowe unamuhusisha Magufuli? Kwa nini mnaogopa kumlaumu mama yenu hata anapokosea? Magufuli alifariki lini na huyo gaidi aliyeachiwa kwa makubaliano ya kuwa chawa wa mama yenu alikamatwa lini? Je magufuli aliwahi kutamka popote kwamba chawa la mama yenu Mbowe ni gaidi? Lakini mama yenu hakuiambia dunia kupitia BBC kwamba chawa ni gaidi?
Ulifuatilia ushahidi wa kesi ya Mbowe, tuhuma zake zilikuwa za kipindi gani?
 
Back
Top Bottom