TANZIA Jecha Salim Jecha afariki dunia akipatiwa matibabu hospitali ya Jeshi Lugalo

Unamlaumu tu bure, yeye binafsi asingeweza kufanya vile bila kushurutishwa/kuagizwa na wenye nchi.
Mtu yeyote anaponiambia habari za kushurutishwa au kuagizwa kutenda mambo kinyume na sheria za nchi huwa namuuliza kama anamfahamu Prof. Mussa Assad.

Kwa mtu muadilifu( ambao kwa Tanzania ya leo ni watu wachache sana) ni bora umtoe uhai wake lakini sio kumtoa kwenye misingi yake ya uadilifu.

Tusitetee wahuni kwa mwavuli wa kushurutishwa au kuagizwa.

 
Kwa maamuzi yake ya kipumbavu na ubinafsi alisababisha watu kupoteza maisha na wengine kuhama nchi kuwa wakimbizi, watetezi wake wanasema bila yeye nchi ingerudi kwa extremist ambao wangeirudisha nchi kwa sultani
 
Leo la muungano lilikuwa ni hatari ya visiwa vya zenj kuwa islamic state.Ndo maana Tanganyika wakaogopa na ikabidi waungane na Zanzibar. Sasa kwa sasa ili muungano uendelee kuwepo inabidi chama tawala (Afro Shiraz + TANU) kiendelee kubaki madarakani.
 
Kaka,alichowafanyiwa Wanzanzibar ni dhulma lakini
Na huyo Mungu anachukua dhulma na atalipwa Kwa ubaya wake

Wala usimlaumu Huyu kaka aliyeandika Jecha aliringia kibri Cha madaraka na pumzi ,Leo amekufa akakutane na mola wake na dhulma aliyoifanya ikalipwe vzr
Yaani kumuombea maghfra Jecha labda kwanza arudishe Kila alichokifanya kwanza ndo asamehewe...

Na huwezi mtoa mtu ktk uislam Kwa hiloo unless kama ni mushriki huyo mtu
 
Punguza maswali ya kijinga. Ingekuwa hivyo, mtume angekuwa hai mpaka Leo. Watu wanaongelea ujinga alioufanya huyo Jecha Zanzibar. Watu wameshakabidhiwa vyeti vya ushindi yeye anaamka na kufuta matokeo. Very stupid
Hapana yule baba hapana kiukweli wengi tumefarijika na Hili la yeye kupumzika Kwa amani ...dhulma alofanya daahhh
 
Kwanini hakupelekwa DP World!,ohhh sorry nilimaanisha Dubai,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…