NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Ok namuona kiongozi wa malaika hapoTeam imekamilika huko,mkapa,jpm,maalim seif,nyerere,Membe,sitta aiseh uongozijarabu kabisa huko kwao!!
RIP mtumishi mwaminifu wa jamhuri YETU!!!
Unamaanisha nini Mkuu!!?Anaenda kuzikwa nchi jirani
Jecha alitangaza kufutwa kwa Uchaguzi yeye kama yeye hana ubavu wa kufuta sema ndio raha ya Siasa …alieyafuta ni Mzee Mjanja mjanja wa Mjini anaejua kusimama eneo salama wakati wote wa vimbungaAache uzembe na yeye. Kama aliweza kufuta uchaguzi na watu wakapoteza maisha bila sababu inakuwaje akashindwa kufuta/kukata hicho kifo?
Si amefia Tanganyika anaenda kuzikwa nchi jirani ya Zanzibar yenye rais na jeshi lake na bendera yakeUnamaanisha nini Mkuu!!?
Nchi jirani!!?
Unamaanisha nini AISEH!!?
Upo sahihi kabisa.Mnamuonea tu Jecha. Tatizo ni Kikwete na Mkapa. Kikwete alihairisha hadi Safari navkuwahi Zanzibar pamoja na Mkapa. Na kumuonya Jecha asitangaze. Dkt Sheni alishakubali kumkabidhi maalim lakini mkapa na Kikwete wakamuambia haiwezekani aache upuz.
Ni Kikwete na Mkapa ndo walifuta hule uchaguz.
Hapo naweza kuungana na wewe hapo ni nadhariaMnamuonea tu Jecha. Tatizo ni Kikwete na Mkapa. Kikwete alihairisha hadi Safari navkuwahi Zanzibar pamoja na Mkapa. Na kumuonya Jecha asitangaze. Dkt Sheni alishakubali kumkabidhi maalim lakini mkapa na Kikwete wakamuambia haiwezekani aache upuz.
Ni Kikwete na Mkapa ndo walifuta hule uchaguz.
Hebu tuwekee ile picha ya Jecha kwenye mavazi ya kijani akiwa mgombea wa chama twawalaWatawala hukisahau Kifo
Sasa uso kwa uso na maalim Seif!
Wewe siyo wa kusema hivyo jameni. Kumbuka yule kipenzi chako ndiye aliinjinia yote haya aliyofanya JechaKumbe Na wao wanakufa,hahhaahha halafu kafia Tanganyika. Haya kashindwa kufuta kifo chake?Rot in hell wewe kibabu Jecha.
Halafu kafia ughaibuni...Jecha banaAnaenda kuzikwa nchi jirani
Looooooooooooo! Alievujishiwa jamani nyeti atabugia bia mpaka azame kwenye chupa.Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) aliyefuta uchaguzi 2015 na kupata umaarufu mkubwa, Jecha Salim Jecha leo amefariki Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam na mwili wake utapelekwa Zanzibar kwa maziko.
Jecha Salim Jecha alipata umaarufu mwaka 2015 baada ya kufuta matokeo ya uchaguzi Zanzibar. Zaidi soma Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) yafuta Matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu
Aprili 17, 2018 Salim Jecha Salim aling'atuka rasmi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC) baada ya kuhudumu katika nafasi hiyo kuanzia Mei 4, 2013. Zaidi soma Hatimaye 'mtemi' Jecha Salim Jecha ang'atuka
Mwaka 2020, Jecha Salim Jecha alichukua fomu ya kuwania Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi(CCM), jambo ambalo lilizua utata ukizingatia mwaka 2015 alikuwa ni Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar yenye dhamana ya kusimamia chaguzi zote kisiwani humo. Zaidi soma Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC), Jecha Salim Jecha achukua fomu ya urais Zanzibar
Mola amsamehe makosa yake alipoteleza.
View attachment 2691725
Picha maarufu ya Jecha Salim Jecha enzi za uhai wake
Huyu aliharibu sana,bila huyu leo tungekuwa na Tanganyika yetu.Believe me kule CUF ingeshinda 2015,muungano tungekuwa tushausahau.Wewe siyo wa kusema hivyo jameni. Kumbuka yule kipenzi chako ndiye aliinjinia yote haya aliyofanya Jecha