TANZIA Jecha Salim Jecha afariki dunia akipatiwa matibabu hospitali ya Jeshi Lugalo

إنا لله و إنا إليه راجعون
 
Hao waliopoteza maisha kama ni watoto wadogo kweli ni tatizo.
Ama kama watu wazima ni mihemuko Yao ya kisiasa na ushabiki usiokuwa na maana.
Any way kwenye ushabiki hata kwenye mpira watu wanakufaga!! Mimi siwezi kupoteza maisha kwaajili ya kumshabikia Zito,Mbowe au Lipumba huo ni ulimbukeni. Hawa wanasiasa Huwa wanatafuta riziki zao kwenye siasa lakini hapohapo wanawafanya walalahoi ndio ngazi na madaraja ya kuwafikisha kwenye shine zao! SIWAPENDI WANASIASA.
 
Alichelewa Sana, ikiwezekana afe tena.
 
Unaandika upumbavu halafu unasema eti "wabillaahil tawfiyq.??!!"
Unataja jina la Allaah baada ya kuandika maneno ya jeuri na uadui kwa muislamu mwenzio aliyekufa au wewe ni kafiri?!
Wewe muislamu kweli kuendeleza maneno ya visasi na marehemu.
Kama wewe siyo mtoto una uhakika hujawahifanya dhambi hapa duniani ? Sisi sote ni watenda dhambi, na sisi sote tunahitaji msamaha wa mola wetu.
Sera ya uislamu kwa waislamu wenzetu waliotangulia ni kusema:
ربنا اغفر لنا ولإخواننا الذين سبقونا بالإيمان ولا تجعل في قلوبنا غلا للذين آمنوا ربنا إنك رووف رحيم.
 
Madaraka hulevya, Ila Mungu akiweka usawa kwenye kifo, hata uwe nani, lakini hatujifunzi, Kuna dhuluma nyingine ilifanywa 2020 ya kupita bila kupingwa na kutengeneza bunge la Chama KIMOJA, lakini hatujifunzi.
 
Malipo ni hapa hapa akamsalimie Maalimu Seif atamkuta amemwandalia sehemu ya kujutia.
Mimi nadhani nyinyi ni katika wale wanaoamini kwamba WABAYA HAWAFI kwahiyo kwakuwa mnaamini nyinyi hamna dhambi mnadhani mtaishi milele hamtakufa!. Ingekuwa watu wanakufa kwa kulipwa mabaya waliyoyafanya nadhani kwa mtazamo wenu kuwa Jecha alikuwa mtu mbaya basi kwanini asingekufa yeye kwanza maalim seif akabakia?!
 
Yeye alipokuwa anadhulum alidhani ataishi milele, usituingize kwenye dhambi zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…