Jenerali Kayumba Nyamwasa anusurika kifo, Kagame anazidi kumwandama?

Jenerali Kayumba Nyamwasa anusurika kifo, Kagame anazidi kumwandama?

Kaguta
Kayumba ni mwanajeshi mkubwa na mzoefu, Kwa Hali ilivyo anajua maadui wake na hasa wale Ndugu na wafuasi wa marehemu Patrick Nyamwasa amabeya sasa inaonekana aliuliwa na Kundi la Kayumba baada ya kugombania madaraka na Nyamwasa kushinda. Mpaka mauti inamkuta hawakuwa hata wakiongea. My take ni kuwa Kayumba hayupo Salama ndani ya kundi la Nyamwasa. Itakuwa nivigumu Kwa majasusi waliotumwa na serikali ya kagame kummaliza General hatari fugitive wa kijeshi na wamkose kifala hivyo na bado waingie ndani ya nyumba yake na kuharibu vyombo Vya ndani, let's think outside the box. Jamaa Anatengeneza scene ya kuishawishi serikali ya South Africa imwongeze ulinzi hasa board guards maana adui zake hapo wanamsaka kinoma. Labda anafanya mkakati wa hifadhi ya kisiasa marekani mbali kidogo na Africa. Beside that it's very hard for any CDF in any given country in the world to betray your government and live peaceful.
punguza bangi
 
nakuunga mkono , hata KULIPOTOKEA TETESI KWAMBA AMEPINDULIWA , KIGALI NZIMA ILIRIPUKA KWA SHANGWE !

red inakuhusu....mji ulioripuka kwa shangwe ni GOMA-DRC na siyo kigali hujielewi....nenda kigali uone kagame anavopendwa utasikia wanamwita "muzee"
 
Kuua maadui wengi kabla hawajakuua ni ushindi pia sababu hata usipoua kama ni maadui kweli watakuua tu!!!!!!
Neno wengi ni ralative sana,linaelewaka vizuri linapoelezwa in terms of ratios.
Maadui aliojitengenezea Kagame ni wengi na anaendelea kuwatengeneza kila siku ikiwa ni pamoja na aliokuwa nao ndani ya kundi lake la waasi wa RPF. Wapo ndani na nje ya Serikali yake, ndani na nje ya nchi yake, ndani na nje ya bara la Afrika. Hawezi kuwamaliza, ni suala la muda tu kwake yeye kupotea katika ramani ya dunia hii.
 
mh...hujui unachokiomba.....wewe binafsi una chokochoko gani na kagame?au unaombea chokochoko?kuwa makini na mambo mnayoyasoma kwa magazeti...hata mara moja magazeti hayajawahi kupatanisha zaidi yana-amplify migogoro....niulize watu wa mipakani wameshapokea vitisho gani kutoka rwanda?iweje wahuni wachache tena mlilioko dar na miji mingine mseme rwanda haipo katika good terms na tz?ungejua maovu nayoyafanya nyamwasa wala usingemhurumia....fuatilia

unachekesha kweli, kwani iddi amini alikuwa anawatisha Nshomile pale kagera, au Nyerere ikulu Dar? watanzania na wanyarwanda wa kawaida hawana matatizo, tatizo ni kagame na tutsi-extremists wenzie!
 
Kayumba nyamwasa si mtu wa kumuonea huruma kwani na yeye kabla hajatofautiana na kagame, alikuwa ndio kiongozi wa shughuli kama hizi hizi, sasa kibao kimemgeukia.
 
Hiyo ni kawaida ulimwenguni kote, ukiwa mfanyakazi wa idara nyeti ya inteligensia,harafu ukakimbilia ughaibuni,nchi yako lazima ikutafute ili ikuondoe usije ukamwaga siri za nchi hadharani,

Amerika yenyewe ikipata nafasi utasikia Snowden kakutwa amekufa hotelini.kwaiyo mimi wala si mlaumu Kagame,hana jinsi lazime ailinde nchi yake,hao waliovamia nyumbani kwa nyamwasa ni makachero wa Rwanda.Nyamwasa alijua tangu mwanzo suala kama hilo linaweza kutokea,cha kufanya ni kuchukua tahadhari,ikishindikana inabidi abadili identity apotee kabisa

Mkuu hujaona hapo intelijensia ya Nyamwasa ni kali zaidi ya mtusi mwenzako kagame....kitendo cha jamaa kunusa na kupotea ni umashughuli wa inteligensia yake
 
unachekesha kweli, kwani iddi amini alikuwa anawatisha Nshomile pale kagera, au Nyerere ikulu Dar? watanzania na wanyarwanda wa kawaida hawana matatizo, tatizo ni kagame na tutsi-extremists wenzie!

Hili lijamaa linanitia kichefuchefu!!!! Sikiliza njoo kigali basi umuondoe Kagame madarakani. Unasemaje?
 
Hili lijamaa linanitia kichefuchefu!!!! Sikiliza njoo kigali basi umuondoe Kagame madarakani. Unasemaje?

thread unazodaiwa ushahidi unadai eti huna muda, kazi kudakia thread za watu kama demu wa baa, hujaitwa unaitika, pmbvu! lazima nikutie kichefuchefu we si una mapepo?
 
red inakuhusu....mji ulioripuka kwa shangwe ni GOMA-DRC na siyo kigali hujielewi....nenda kigali uone kagame anavopendwa utasikia wanamwita "muzee"

Hii nchi inawahamiaji haramu wengi, jina lako tu laonyesha dhahiri ww si mtanzania, wanaompenda kigali si ma- cockroach(tusi) wenzake
 
kayumba mwenyewe mtutsi ....labda sema ulichokusudia ukianzia hapo....unachokosea ni kusema watutsi wako katika taasis nyeti....kuwa mtusi haikukatazi kuwa mtz.....

Hakuna bana ninyi watusi watu wabaguzi sana bora hata muhutu, mi wote hao nimeishi nao ila ubaguzi wa mtusi wa kipu*mbavu sana,
 
kifo ni lazima utaua wenzio lakini na wewe utakufa tu.
 
ukiona kiongozi anafuatilia sana walio chini yake tena walio nje ya nchi
ujue kuna kitu anaogopa so anachukua tahadhari kujilinda na hii ina
maana something went wrong on his administration.na kupublicize habari kama hivi mpaka unaandika namba ya simu ni kuwatisha ili wajue kuwa anawafuatilia. huo ni uoga wa dictator kagame


Muda Wa PK unahesabika! Hana Muda mrefu!
 
Hakuna bana ninyi watusi watu wabaguzi sana bora hata muhutu, mi wote hao nimeishi nao ila ubaguzi wa mtusi wa kipu*mbavu sana,

mbona kila mtu hudai ameishi na watutsi?siamini kama ubaguzi mnauchukulia kwa individual concern au something to do with tribe....naogopa mtakuwa kama wanawake ambao huchukia wanawake wenzao bila sababu yoyote.....
 
thread unazodaiwa ushahidi unadai eti huna muda, kazi kudakia thread za watu kama demu wa baa, hujaitwa unaitika, pmbvu! lazima nikutie kichefuchefu we si una mapepo?

Nimekuambia hivi wewe si unamchukia kagame? Njoo basi umuondoe madarakani or shut your hole that is spewing sewage here. Dimwit. Nilishakuambia kuwa utakachoambulia kwa kumchukia raisi wetu ni kitu kimoja tu. Vidonda vya tumbo.
 
unachekesha kweli, kwani iddi amini alikuwa anawatisha Nshomile pale kagera, au Nyerere ikulu Dar? watanzania na wanyarwanda wa kawaida hawana matatizo, tatizo ni kagame na tutsi-extremists wenzie!

hujui lolote kumbe wewe ndo viongozi hao wapum++bavu so ungekuwa wewe rais ungepeleka nchi vitani hata kama si kwa maslahi ya nchi na wananchi?idi amini kama sikosei aliclaim sehem ya tz na kuua watu na pia idd amin was a dictator he wasnt a legitimate leader of uganda ndo maana it was easy for mwl to oust the guy....hata hvo inawagarimu watz hadi kesho.....huna akili
 
huyo siku zake zinahesabika maana kwasasa hata kmabodyguard wake ni maadui wake,wale waliobaki wanaomsikiliza kwasasa wameshajua kwamba na siku zao pia zinahesabika.hawaaminiani.baada ya kifo cha Karegeya kwa sasa viongozi wengi wa Rwanda wanaishi kjwa wasiwasi mkubwa sana.

wasaliti wa rwanda hawatakuwa salama hata kidogo.....tengeneza maneno ya kiswahi vyovyote unapenda ila huo ndo ukweli
 
Hii nchi inawahamiaji haramu wengi, jina lako tu laonyesha dhahiri ww si mtanzania, wanaompenda kigali si ma- cockroach(tusi) wenzake

mmh hata ningekuwa naitwa Rwanda haikuondolei tatizo la kukosa info...u are not informed that is very obvious so jina halina maana sana hapa...au unapoza machungu ya kuropoka?
 
mbona kila mtu hudai ameishi na watutsi?siamini kama ubaguzi mnauchukulia kwa individual concern au something to do with tribe....naogopa mtakuwa kama wanawake ambao huchukia wanawake wenzao bila sababu yoyote.....

Jibu hoja, kwanini ninyi watu wabaguzi tofauti na wahutu damn.....mbona hvyo!!!!!
 
Back
Top Bottom