Watz wenzangu tuachane na ya Kigali. Hayatuhusu. Kuuwawa kwa mwanasheria wa Tz sio kwamba hatujui tunajua ni serikali ya kigali lakni hatuwezi kwenda vita au kulipiza kisasi juu ya mtu mmoja. Kama mwanasheria yule angetaka ulinzi kuhofia maisha yake,then hapo ingekuwa kitu kingine. Lakini katika public stage its was majambazi wamevamja case closed.
Kuhusu JK au Tanzania kuigopa Rwanda au Kigali huo ni ujinga na uwongo uliotukuka. Tunaheshimiana na kila nchi ipo tayri muda wowote kulinda interest zake. Hakuna anayetaka vita.Zipo habari za chini chini tunasikia kuhusu kagame znatoka ndani ya inner circle yake. Huzo zinafanyiwa kazi. Lazima iweleweke Tanzania haina chuki na watusi wala wahutu. Binafsi ukiniuliza mbaya central africa na east ni kagame and he should be ousted. Tanznaja hatuna papara tunafanya kazi. Nawakilisha[/QUOTE
Nope, it's time to strike back at Kagame regime, is totally inconceivable to see a snake rattling at our own backyard