Jenerali Kayumba Nyamwasa anusurika kifo, Kagame anazidi kumwandama?

Jenerali Kayumba Nyamwasa anusurika kifo, Kagame anazidi kumwandama?

[h=2]Rwandan fugitives relocate to Tanzania[/h]
Renegade army Captains, Charles Sande and Christopher Busigo, who are wanted by the Government of Rwanda on charges of subversion, fled to Tanzania from Uganda where they are coordinating their activities contrary to media reports that they were kidnapped, The New Times has learnt.

A Ugandan newspaper, The Daily Monitor, reported on Saturday, February 8, that the two dissidents had disappeared.
“We are aware of their plans. They are faking kidnap to evade justice,” an official who preferred anonymity was quoted saying.
“We understand that RNC is shifting camp from Uganda to Tanzania, and that the Kayumba Nyamwasa group is using some Ugandan journalists for propaganda purposes,” the source added.
This newspaper has also learnt that Busigo now uses a Tanzanian line; +255712526565 to communicate with his superiors and other people. Efforts to talk to Busigo were futile as by press time he had declined to answer our repeated calls.
Police spokesperson, ACP Damas Gatare, also dismissed the kidnap claims, adding that the police will ensure that all the criminal suspects hiding in and outside the country are arrested and brought to book. Gatare said there have been several cases where criminal suspects faked their kidnap in order to qualify for asylum in other countries.
They include that of terror suspect, Lt. Joel Mutabazi, who is said to have staged his own shooting in Uganda and blamed the Rwandan government.
Others include the vice-president of a faction of PS-Imberakuri, Alexis Bakunzibake, who recently led it into an alliance with the FDLR, a terror group whose members are largely responsible for the 1994 Genocide against the Tutsi. He too faked his kidnap in 2012, only to resurface some months later.
And this month, former communications secretary of the Democratic Green Party of Rwanda, Omar Leo Oustazi, also returned to the country after a year in exile and dismissed reports that he had been kidnapped.
He went on to accuse his former boss, Frank Habineza, of being behind an alleged plot to have him killed and blame it on the government.

No one in Tanzania is taking serious such false and misleading news from fake and discredited papers of Kagame. Go ahead, kill your fellow Rwandans wherever they are!, but STOP mentioning my holy place!
 
Kwa ujinga wako limwili minyama uzembe kama Mkapa unadhani ndio afya bora? muulize Komba mateso ya mwili minyama uzembe akueleze.

poor thinking capacity.
Acha matusi we inaonyesha we ni mnyarwanda rudi sivyo tukikukamata jasho litakutoka
 
You can't be serious?

Wanataka kutuzuga mkuu, we all know what happened, na ni hivi majuzi wauaji waliachiwa huru kwa msamaha, wasemaji wa kaya wakadai ni kaya ilopita ndo ilitoa msamaha na wala siyo current mkulu wa kaya.
 
Hawa jamaa wengi wao wapo pale maporini Biharamulo kusubiri mabasi yatokayo Dar kwenda Burundi na Rwanda.
 
Kwa ujinga wako limwili minyama uzembe kama Mkapa unadhani ndio afya bora? muulize Komba mateso ya mwili minyama uzembe akueleze.

poor thinking capacity.


we mtutsi tulioa sasa utataka kumfananisha Mkapa na dictator Kagame kwa mauaji una Akili vizuri kweli ww? Kuwafananisha ni sawa useme viko sawa Kichuguu na Mlima.
 
Kayumba kajizushia tu! anatafuta attention ya south afrika kwani walikua wamemsahau tangu karegeya alipokufa kayumba alikua kama amesahaulika sasa anataka serikali ya south afrika impe uzito kama ilivyokua ikifanya kwa karegeya.

Allipo uawa
 
Katika kuonyesha Meja Paul Kagame ni kinara wa tasinia ya kijasusi katika Afrika, nyumba ya Gen Kayumba Nyamwasa inayolindwa vikali na polisi ya Afrika kusini ilivamiwa usiku wa kuamkia jana na kuharibu kila kitu. Akihojiwa na BBC Nyamwasa amekiri kutafutwa na watu ambao hawatoki nchi yoyote ispokuwa Rwanda. Amekiri pia kuwa nyumba yake inalindwa na polisi wa A. Kusini na kuwa kilichomwokoa ni kwamba yeye hakuwepo wakati wa uvamizi huo.

My take: Nchi kama South Afrika lazima wawe na mifumo bora ya kiulinzi, inakuwaje Kagame anaweze kupenyeza watu wake na wakaenda kushambulia eneo linalolindwa namna ile?

Kumbuka alisema kwa kinywa chake kwamba wasaliti wa nchi yake hawako salama na kuwa it's a matter of time!

Sisi wenye chokochoko naye tuko salama kiasi gani?
Mkuu pamoja na taarifa za huko A Kusini, hapa kwetu ni breki ya PaKa naye analijua hilo.
No cause for panic!
 
Neno wengi ni ralative sana,linaelewaka vizuri linapoelezwa in terms of ratios.
Maadui aliojitengenezea Kagame ni wengi na anaendelea kuwatengeneza kila siku ikiwa ni pamoja na aliokuwa nao ndani ya kundi lake la waasi wa RPF. Wapo ndani na nje ya Serikali yake, ndani na nje ya nchi yake, ndani na nje ya bara la Afrika. Hawezi kuwamaliza, ni suala la muda tu kwake yeye kupotea katika ramani ya dunia hii.

Kama unaamini ana maadui basi kaa ukijua hili yeye atakuwa analijua vema sana kuliko wewe unavyodhani, sababu uadui huja kwa matendo na sio baraka hiyo hivyo basi anajua alifanya nini, anafanya nini na atafanya nini pia!!!!!!! Hawezi kuwa anasubiri muujiza ili aondokane na historia yake, atakuwa na maamuzi mpaka sasa!!!!!

Kuwamaliza is one thing na kuua wengi kama ana mpango ni suala jingine, unapokuwa nyikani ukaambiwa kuna simba sita na wanakula watu ni bora kuanza kuua kila unayekutana naye ili ku chance kuwamaliza kuliko kukaa tu kusubiri eti sababu wako wengi kuliko wewe!!!!!!!

Kwenye kombat mapigo unayotoa yanaweza kusababisha wengine kujisalimisha, kukimbia, kutangaza nia ya kutoendelea na hata wakatokea wengine kutaka muongee badala ya kupigana!!!!!!
 
Kagame anatakiwa kupinduliwa na kufukuziliwa mbali as soon as possible pamoja na majarbio yake bado ajue kuwa naye siku zinahesabika maana akina Kayumba na Karegeya wana wafuasi ndani ya jeshi la Rwanda

Atakuwa anayajua hayo kabla hata hujafikiria kuandika kumbuka huyu mtu ni nani katika jeshi na anasifika kwa lipi humo katika specialities!!!!!!!!

Kumpindua na kumfukuza yawezekana ni jambo analolifikiria na kulifanyia kazi kuliko hata kupumua, kwa nini unamfikiria kwa mzani wa kiraia!!!??????

Siku zinahesabika ha ha haaaa........he is a soldier he knew of this way back!!!!!!!
 
Guys let's be serious really...u can't reach such positions katika taifa umekula maviapo ya usiri then all of a sudden ukimbilie nje na uendelee kubwabwaja utegemeee utakuwa salama. Hakuna nchi isitokuwa na taarifa za siri ikiwemo mengine ya assassination etc...na hakuna nchi ambayo ingependa taarifa zake za siri zitolewe ovyo tena na ambaye alipewa azitunze. So stop the hype about Kayumba sijui Karegeya wao wenyewe walijua hawawezi kuwa salama. This is universal...mkuu wa usalama wa Tanzania au mkuu wa majeshi hawezi kukimbilia uhamishoni aanze kusema ovyo na ategemee kuwa safe haiwezekani. Wenye kuelewa namaanisha nini najua watanielewa.

Jmali, mokala1989,rushasha & co. (the coalition of dimwits) hawawezi kuelewa analysis nzuri kama hii yako mkuu.
 
Hawa jamaa ni JASUSI la kimataifa, tena baadhi ya mafunzo ameyapatia hapa Tz. Tangu wamuue Prof. Juan Timoth Mwaikuwa aliyekuwa wakili wa utetezi wa baadhi ya watu waliohusishwa na mauaji ya kimbari huko Rwanda, inaonyesha jinsi gani pia wanavyojua kufanikisha shughuli zao za kijasusi kwa ustadi mkubwa. Hawa jamaa waliingia hadi Dar nyumbani kwa huyu Prof (RIP), wakammiminia risasi na wakaondoka bila kushikwa na yeyote.

Aliyemuua prof Juan Timothy Mwaikusa alikuwa Tanzania. Alikamatwa baada ya Siku cha he akiwa mafichoni morogoro. Alishatangulizwa mbele ya haki...... Tanzania si kama SA. Vidole vote vya Paulo vinavyo igusa Tanzania vinakatwa maramoja.
 
hujui lolote kumbe wewe ndo viongozi hao wapum++bavu so ungekuwa wewe rais ungepeleka nchi vitani hata kama si kwa maslahi ya nchi na wananchi?idi amini kama sikosei aliclaim sehem ya tz na kuua watu na pia idd amin was a dictator he wasnt a legitimate leader of uganda ndo maana it was easy for mwl to oust the guy....hata hvo inawagarimu watz hadi kesho.....huna akili

vita ya uganda na tz ina propaganda nyingi sana.. Kiuhalisia sisi ndio tuliochukua ardhi ya uganda. Sasa Amin alitaka kurejeshewa Ardhi yake ndio vita ikaanza...
 
Hawa jamaa ni JASUSI la kimataifa, tena baadhi ya mafunzo ameyapatia hapa Tz. Tangu wamuue Prof. Juan Timoth Mwaikuwa aliyekuwa wakili wa utetezi wa baadhi ya watu waliohusishwa na mauaji ya kimbari huko Rwanda, inaonyesha jinsi gani pia wanavyojua kufanikisha shughuli zao za kijasusi kwa ustadi mkubwa. Hawa jamaa waliingia hadi Dar nyumbani kwa huyu Prof (RIP), wakammiminia risasi na wakaondoka bila kushikwa na yeyote.

inawezekana kabisa taarifa hii ina uhalisia ndani yake maana mpaka sasa haieleweki who is behind the death of Prof Mwaikusa.
Any way R.I.P Mwaikusa.
 
''Sisi wenye chokochoko naye tuko salama kiasi gani?''
Wewe na nani ndugu?!
 
Mkuu aliyekwambia wahutu sio wabaguzi ni nani? Kwani ubaguzi una kabila? Kubali ya kuwa kuna ubaguzi kwa baadhi ya watutsi na wahutu. Tafuta "Hutu Manifesto" uone "upendo" unaohubiriwa humo.

nawewe wale wale wabaguzi akina akayesu, gashagazi, bukeye, gahamanyi, manzi nk
 
Back
Top Bottom