TANZIA Jenerali Tumainiel Kiwelu afariki Dunia, kuzikwa Mbezi Loius Dar

Kama wameifaidi ni kwa kazi kubwa na heshima nyingi waliyoiletea nchi.

Tunaona watu wakifaidi bila kufanya lolote la maana.
Hao sasa ndio Mashujaa wa Afrika walioipambania nchi kikweli kweli siyo jitu linatoka Chato na kuvaa kombati eti shujaa wa Afrika ,ni aibu kumwita mtu shujaa wakati alikuwa tapeli wa kufilisi matajiri,RIP SHUJAA KIWELU.
 
Huyu mzee kwanini wanamzika Dar? kwa nini asipelekwe kwao Moshi? Maana serikali inaweza kugharimia.

Anyway, maybe ni wish yake azikwe Dar. But I find it strange.

Nafsi yake ipumzike alipoandaliwa na mola wake.
Wachaga wengi Siku hizi wanaziikwa kwenye maeneo yao Dar wanaitika wito Wa Waziri Wa Ardhi Lukuvi anasema ardhi Moshi kumejaa makaburi tu hata kufanya maendeleo kunakuwa kugumu kila sehemu makaburi tu na hawataki yahamishwe

Manispaa ya Moshi haiendelei wala kupanuka sababu hiyo kila ukigusa Ardhi unakutana na makaburi na wenyewe hawataki yahame

Kimji cha Moshi kimejibana utafikiri ujiji kwa Zitto Kabwe
 
Kuna nyingine ya Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete na aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ( Poti wangu kabisa kutoka Mkoani Mara ) Jenerali George Waitara ila kwa leo naomba nisitiririke wala kuserereka nayo Kwanza.
Hahah hii nakumbuka sana, George alikataa kabisa kumpigia saluti Luteni kanali ambaye aliamini waliingia jeshini kisiasa wao na kina makamba na wengine akina mkuchika, Lowasa etc. Jamaa aliongezewa muda akakataa katakata😃😃😃 mwaga mastori mzee
 
Hizo ni Story za kwenye Chai sasa,

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Kuna nyingine ya Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete na aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ( Poti wangu kabisa kutoka Mkoani Mara ) Jenerali George Waitara ila kwa leo naomba nisitiririke wala kuserereka nayo Kwanza.
Hivi Waitara yupo wapi? Alibadilisha sana jeshi kutoka jeshi la kizembe la kimazoea very mechanical to jeshi la kisasa ndio aliona Kuna upungufu mkubwa wa viongozi jeshini maana waliobaki ni wale wazee kazi yao kusimulia walivyopigana Vita vya visiwa vya Anjuani na KAR. Wao hata kustaafu walikuwa wanaona sio haki maana wanahisi jeshi ni lao na hawakuwa wameinvest kitu maana wengi walikuwa na vyeo Ila shule hakuna.

Waitara alihakikisha anaanzisha Ile special program ya transit pale kunduchi unavuliwa uraia miezi 3 then monduli kulamba nyota zako fasta. Vijana unakuta kaingia lieutenant au captain Ila miaka kumi na mbili unasikia kalamba ukanali aisee wakati zamani ilikuwa ni ndoto ya maisha only few can survive to that rank.

Waitara alipiga stop kufuga kambini. Aliwaambia iwekwe maeneo maalum sio kila sehemu unakuta mabanda yamejaa mabaya na kuku.

I really would appreciate more about the general na amepotea yupo kimya sana haonekani kama bwana Davis
 
Waitara ndio baba wa Tanapa kuzuia ujangili. Askari wa kweli hawataki vipaza sauti ili wasikike. Huwa wanayofanya yanawaelezea wao ni kina nani
 
Historia ya nchi yetu huwa haiandikwi kabisa. Italeta shida sana mbele ya safari. wanywa kahawa wataanzisha mada zao zisizo na kweli na kuaminisha watu
 

Malima alikuwa mtata sana. Haaaahaaaa
 

Malima alikuwa mtata sana. Haaaahaaaa
Aliondolewa front line wakati wa vita ya Kagera sababu ya utukutu wake huo huo. Alikataa kumwambia Marehemu Sokoine, akiwa waziri wa ulinzi, mipango na namna ya kuvuka na kujenga Daraja lililovunjwa la Kagera. Yeye ndio aliongoza campaign ya kumtoa Nduli Amini ndani ya Tanzania. Kikosi cha kwanza kuvuka ili kujenga daraja la kagera kilikuwa cha makomandoo kadhaa wakiongozwa na "Kabunda", chini yake General Kiwelu. RIP Mwanajeshi.
 
Aliondoa watu kibabe ili kuruhusu mgodi wa kahama ujengwe. Ni kwanini aliondolewa frontline akapewa General Musuguli enzi zile za vita ya Kagera?
Huyu bwana kwa haiba yake, hakufaa kuwa balozi. Bora alibaki hapa kwetu tu.
 

Viongozi wanaoandika vitabu kuhusu maisha yao huwa wanaacha kuyaandika mambo muhimu ambayo hayakuwapendeza ; haya ya marehemu General Kiwelu yalitakiwa yawemo kwenye kitabu cha Alhaj Mwinyi!! Ndio maana Watu wengi wanaamini kuwa maelezo ya kweli ya historia ya viongozi haiandikiwi na wao wenyewe bali huandikwa na watu baki ambao hawatakuwa na ushawishi wa kutoandika mambo ambayo yasingempendeza muhusika!!
Je, hii inaweza kuwa sababu kwanini Mwalimu Nyerere alikataa kuandika kitabu juu ya maisha yake? Je unadhani katika kitabu chake Kikwete atakuwa muwazi na kuandika kuhusika kwake kwenye ufisadi uliotokea under his watch?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…