Jenerali Ulimwengu: Rais Samia aelewe kwamba hii nchi ni ngumu

Jenerali Ulimwengu: Rais Samia aelewe kwamba hii nchi ni ngumu

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716


Mwandishi wa habari mbobezi aliyehudumu kuanzia enzi za awamu ya kwanza hadi leo Jenerali Ulimwengu amesema Rais Samia anapaswa kuelewa hii nchi ni ngumu.

Na kwamba hata watu wanaomzunguka wanapaswa kuangaliwa kama ushauri wanaompa ambao kimsingi anaweza kuukubali au kuukataa, je washauri hao wana nia njema?

My take:

Ni kweli hii nchi ni ngumu hebu waangalie Gwajimas (mashemeji)
 
Anasema ukweli.

Mama Samia amezungukwa na wapigaji na mamluki hiyo iko wazi.

Kitendo cha kuwaondoa viongozi waloteuliwa na mtangulizi wake (kwa ushauri wa walomzunguka wenye malengo yao) kwanza ni kuidhalilisha taasisi ya uraisi na pia kumshalilisha yule aliefanya teuzi hizo ambae kwa bahati mbaya kwa sasa ni marehemu.

Kwa mfano kwanini raisi Samia (huku akifahamu) kwamba kumtoa DC wa Chalinze ni hujuma kwanini awasikilize walomzunguka ambao ushauri wao huo ni wa kuwafunisha wao na genge lao la mafisadi?

Tunafahamu Chalinze kuna mahoteli ambayo yanaingiza dola za kimarekani na zinamilikiwa na nani.

Unafiki, uzandiki, hujuma kwa taifa na kila aina dhuluma ndizo sifa za baadhi ya watanzania waso na nia njema na taifa hili.

Hii nchi ni ngumu sana Jenerali Ulimwengu yuko sahihi kwa asilimia 101.
 
Katiba pia ni muhimu ila kiongozi asiye na maono hata mkimpa katiba mpya bado atazingua tu
Hakuna maono bila katiba mkuu, mana maono yamtu mmoja yalikuwa yana maana miaka 70 iliyopita

Ukija namaono yako binafsi zama hizi na katiba yetu hii utaua kila mtu na pengine kabla hujaaza kuua utakufa wewe

Mwarobaini wayote new katiba needed
 
Hakuna maono bila katiba mkuu, mana maono yamtu mmoja yalikuwa yana maana miaka 70 iliyopita

Ukija namaono yako binafsi zama hizi na katiba yetu hii utaua kila mtu na pengine kabla hujaaza kuua utakufa wewe

Mwarobaini wayote new katiba needed
Na hio katiba itakuwa ni ya kufukuza maraisi kila uchwao ama sio? Huyu mpole sana hatumtaki...,mna cast vote atoke!!! Huyu mkali sanaaa mna cast vote atoke madarakani!?

Kwa akili za watanzania hiki ndio kitakuwa kinaendelea
 
Ngoja tuone miaka mitano hata kama lami ya mtaani kwenu itajengwa! Yani nchi imerudi kuwa shamba la bibi in full na sahizi watu watajichotea hela mpaka sio vizuri yani😂

Subirieni kusikia matrilion ya tozo wamegawana wahuni wachache
Tuambie wapi pesa imechotwa. .. !?
Nami nikwambie enzi za shujaa wenu pesa ilivyochotwa nakudhibitishwa na CAG 1.5trilion umewahi kusikia..
Au unataka uniletee stori za kijiweni hapo uswaz kwako
 
Back
Top Bottom