Wewe umeifanyia nini nchi yako kwa nafasi yako, the president is not there to make miracles. Toa vision yako rais sio malaika ni mwanadam anajifunza⌚💯 hajui anafanya nn atapata anguko la karne.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeifanyia nini nchi yako kwa nafasi yako, the president is not there to make miracles. Toa vision yako rais sio malaika ni mwanadam anajifunza⌚💯 hajui anafanya nn atapata anguko la karne.
Huyu alikuwa tatizo mara mbili.Visionary Leader departed on 26.03.2021
Ataondolewa kwa mujibu wa KatibaKatiba pia ni muhimu ila kiongozi asiye na maono hata mkimpa katiba mpya bado atazingua tu
Visionary leader or silent killer + ee
Wewe una vision gani?, ulishawahi kufanya publication yoyote kwa manufaa ya umma au uswahili tu. Rais ni taasisi ndio maana ana delegate power kwa watu mbalimbali.Visionary leader or silent killer + ego
Mtaondoa wangapiAtaondolewa kwa mujibu wa Katiba
Aliiweza kwa lipi toa data ueleweke coz duniani kote walipo binadamu huwa kuna diversities kwenye leadership transition. Mwamba wa chato alifanya watu kuwa submissive kwa baya au jema ndio unataka mama awe hivyo?Hii nchi aliiweza shujaa wa Afrika pekee, hawa wengine wanajikosha tu.
Kwani hio 1.5T uliiona wakichukua na je ilichukuliwa baada ya muda gani! Tulia miaka mitano ya bi. Mkora iishe uone kaziTuambie wapi pesa imechotwa. .. !?
Nami nikwambie enzi za shujaa wenu pesa ilivyochotwa nakudhibitishwa na CAG 1.5trilion umewahi kusikia..
Au unataka uniletee stori za kijiweni hapo uswaz kwako
Anashauriwa na Mstaafu Mmoja aliyeharibu Misingi ya Kimaadili, Kijamii na Kiuchumi ya nchi hii huku Ufisadi na Dawa za Kulenya zikishamiri ndiyo leo mnataka Rais Samia afanikiwe?Mwandishi wa habari mbibezi aliyehudumu kuanzia enzi za awamu ya kwanza hadi leo Jenerali Ulimwengu amesema Rais Samia anapaswa kuelewa hii nchi ni ngumu.
Na kwamba hata watu wanaomzunguka wanapaswa kuangaliwa kama ushauri wanaompa ambao kimsingi anaweza kuukubali au kuukataa, je washauri hao wana nia njema?
My take. Ni kweli hii nchi ni ngumu hebu waangalie Gwajimas ( mashemeji)
Hizi feelings za ubaguzi wakaulumiwa Nani?
Huyo naye walewale . Mtu mbinafsi sanaVisionary Leader departed on 26.03.2021
Ule ndio ulikuwa mpango kazi wake! Huyu bibi Mkora atuoneshe mpango kazi wake au yeye dira ya kazi ni kupanda bombadia na kushinda nchi jirani kadri awezavyo!?Aliiweza kwa lipi toa data ueleweke coz duniani kote walipo binadamu huwa kuna diversities kwenye leadership transition. Mwamba wa chato alifanya watu kuwa submissive kwa baya au jema ndio unataka mama awe hivyo?
Katiba kwanza.Katiba pia ni muhimu ila kiongozi asiye na maono hata mkimpa katiba mpya bado atazingua tu
Ubinafsi upi sasa, raisi anakuwaje hana dira? Hana plans zinazoonekana yeye anakula boeing tu kila kukicha kuna mangapi ya kufanya nchini?Huyo naye walewale . Mtu mbinafsi sana
Hio katiba ni sawa ili mkumbuke huyo mutakaemuingiza hio katika anaweza akaigeuza on his favour sasa sijui mtafanyaje maana jeshi liko submissive kwa yeyote aliyeko madarakani hata kama kilaza😂Katiba kwanza.
Bila katiba Trump angewazinguwa wa America
Mwandishi wa habari mbibezi aliyehudumu kuanzia enzi za awamu ya kwanza hadi leo Jenerali Ulimwengu amesema Rais Samia anapaswa kuelewa hii nchi ni ngumu.
Na kwamba hata watu wanaomzunguka wanapaswa kuangaliwa kama ushauri wanaompa ambao kimsingi anaweza kuukubali au kuukataa, je washauri hao wana nia njema?
My take. Ni kweli hii nchi ni ngumu hebu waangalie Gwajimas ( mashemeji)
Hiyo 1.5trilion ilichukuliwa na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali amesema..Kwani hio 1.5T uliiona wakichukua na je ilichukuliwa baada ya muda gani! Tulia miaka mitano ya bi. Mkora iishe uone kazi
Fact angalia alivyotuacha Mwendazake jinsi watu walivyokuwa ndumilakuwiliUgumu wake ni kuwa watu ni wanafiki sana, watakuchochea uharibu kwa manufaa yao.
Kwani huyu wa sasa amemaliza hata term 1! Subiria ufisadi wa kutishaHiyo 1.5trilion ilichukuliwa na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali amesema..
Sasa ww nionyeshe za sasahv unazosema zinachotwa...
SHUJAA ALIKUWA FISADI HAIJAWAHI TOKEA YANGU TZ IPATE UHURU