Jenerali Ulimwengu: Rais Samia aelewe kwamba hii nchi ni ngumu

Jenerali Ulimwengu: Rais Samia aelewe kwamba hii nchi ni ngumu

Uhuru kampambania yeye pamoja na figisufigisu za wakoloni kama ilivyo ccm ya leo(MAKABURU WEUSI),kajenga umoja na mshikamano wa Watanzania,leo hii nchi nzima tunaongea lugha moja Kiswahili kwa sababu ya Nyerere,kajenga mashule kibao,kasababisha nchi nyingi kusini mwa Afrika kupata uhuru na mengine mengi,huyo wa Chato kafanya nini kama siyo kulazimisha kuua upinzani Tanzania?
Uhuru gani bwashee?
 
Mwandishi wa habari mbibezi aliyehudumu kuanzia enzi za awamu ya kwanza hadi leo Jenerali Ulimwengu amesema Rais Samia anapaswa kuelewa hii nchi ni ngumu.

Na kwamba hata watu wanaomzunguka wanapaswa kuangaliwa kama ushauri wanaompa ambao kimsingi anaweza kuukubali au kuukataa, je washauri hao wana nia njema?

My take. Ni kweli hii nchi ni ngumu hebu waangalie Gwajimas ( mashemeji)
Ukitaka kujuwa "ugumu wa nchi hii" haikulazimu kwenda mbali na ulipo.

Mimi ninakuangalia mtu kama wewe na michango yako mingi sana humu ndani ya JF, kila siku kujuwa jinsi gani "nchi hii ilivyo ngumu!" Kuna kundi kubwa la watu wa aina yako ndani ya nchi hii wanaofanya nchi iwe ngumu.

Usinilaumu kwamba ninakushambulia, naandika tu ninayoona kuwa ni kweli.
 
Hana vision huyo mama! We need visionary leaders
Naungana na wewe. Mimi Sina hakika kama utamuuliza mama leo hii anaiona Tanzania ikiwa na hali gani baada ya miaka mitano kiuchumi, kijamii, kiutamaduni kisiasa n.k. anakueleza. Hayati Magufuli alituambia alikuwa anaiona Tanzania isiyo na vyama vya upinzani na juhudi zake za kufanikisha hilo tumezishujudia. Alitaka Tanzania yenye maflyover tumeziona juhudi.
Kwa Mama utekelezaji wa mambo mengi aliyoahidi katika hotuba yake bungeni unasuasua. Aliposema anataka kuimarisha demokrasia nilidhani ni pamoja na watu kujieleza na kushiriki shughuli za kisiasa. Yanayotendeka yanapingana na hilo. Alisema anataka kujenga uchumi lakini badala yake anaongeza kodi ambazo zina athari ya kupunguza mzunguko wa pesa na hivyo kudumaza uchumi. Kusema.kweli mimi ni mmoja kati ya watu wasiojua Mama anatupaleka wapi?
 
Mwandishi wa habari mbibezi aliyehudumu kuanzia enzi za awamu ya kwanza hadi leo Jenerali Ulimwengu amesema Rais Samia anapaswa kuelewa hii nchi ni ngumu.

Na kwamba hata watu wanaomzunguka wanapaswa kuangaliwa kama ushauri wanaompa ambao kimsingi anaweza kuukubali au kuukataa, je washauri hao wana nia njema?

My take. Ni kweli hii nchi ni ngumu hebu waangalie Gwajimas ( mashemeji)
Kwani hao washauri wamemlisha limbwata la kitimoto lisilotibika?
 
Naungana na wewe. Mimi Sina hakika kama utamuuliza mama leo hii anaiona Tanzania ikiwa na hali gani baada ya miaka mitano kiuchumi, kijamii, kiutamaduni kisiasa n.k. anakueleza. Hayati Magufuli alituambia alikuwa anaiona Tanzania isiyo na vyama vya upinzani na juhudi zake za kufanikisha hilo tumezishujudia. Alitaka Tanzania yenye maflyover tumeziona juhudi.
Kwa Mama utekelezaji wa mambo mengi aliyoahidi katika hotuba yake bungeni unasuasua. Aliposema anataka kuimarisha demokrasia nilidhani ni pamoja na watu kujieleza na kushiriki shughuli za kisiasa. Yanayotendeka yanapingana na hilo. Alisema anataka kujenga uchumi lakini badala yake anaongeza kodi ambazo zina athari ya kupunguza mzunguko wa pesa na hivyo kudumaza uchumi. Kusema.kweli mimi ni mmoja kati ya watu wasiojua Mama anatupaleka wapi?
Amefeli big time
 
Ukitaka kujuwa "ugumu wa nchi hii" haikulazimu kwenda mbali na ulipo.

Mimi ninakuangalia mtu kama wewe na michango yako mingi sana humu ndani ya JF, kila siku kujuwa jinsi gani "nchi hii ilivyo ngumu!" Kuna kundi kubwa la watu wa aina yako ndani ya nchi hii wanaofanya nchi iwe ngumu.

Usinilaumu kwamba ninakushambulia, naandika tu ninayoona kuwa ni kweli.
Hata mimi kila nikiangalia Ufipa naona jinsi nchi hii ilivyo ngumu!
 
Hayo maoni ya Jenerali Ulimwengu ni matunda ya Rais SSH ambaye mara alipoapishwa aliruhusu uhuru wa maoni (freedom of expression/ speech).
Miaka 5 ya Mwendazake Jenerali hakuwahi kupata fursa ya kuongea kitu kama hicho kwa kuwa matokeo yake alikuwa anayajua.

Kwenye nchi ya watu 60 Milioni huwezi kumridhisha kila mtu hususan wale ambao walikuwa wanafaidi awamu iliyotangulia, vyama vya UPINZANI na wale waliokosa fursa kwa namna moja au nyingine.

Binafsi yangu namuona Rais SSH yuko kwenye right perspective kwa namna aliyoweka vipaumbele vyake especially kujenga uchumi. Yeye achape kazi tu wala asihangaike kuridhisha makundi masilahi.
 
Mwandishi wa habari mbibezi aliyehudumu kuanzia enzi za awamu ya kwanza hadi leo Jenerali Ulimwengu amesema Rais Samia anapaswa kuelewa hii nchi ni ngumu.

Na kwamba hata watu wanaomzunguka wanapaswa kuangaliwa kama ushauri wanaompa ambao kimsingi anaweza kuukubali au kuukataa, je washauri hao wana nia njema?

My take. Ni kweli hii nchi ni ngumu hebu waangalie Gwajimas ( mashemeji)
Hii nchi nyepesi sana. Hata mtoto wa darasa la 4 anaweza akawekwa tu hapo kama kiongozi mkuu lakini wakawa wanaongoza wengine,na wananchi wakatulia tu. Ona hayo matamko ya mawaziri. Lakini bado tu ataendelea kuwa kwenye kazi yake. Kwa nchi zingine matamko kwanza ya kigeugeu. Sijui mitambo imetesitiwa kwangu. Huyu ilikuwa awe ameachia ngazi. Shida iko kwa wananchi tumelala sana. Huku tukichezewa kila aina ya ngoma,tunashangilia tu
 
Ugumu wake ni kuwa watu ni wanafiki sana, watakuchochea uharibu kwa manufaa yao.

Halafu wanakucheka kama sio kufanya mambo utokomee. Aangalie washauri. Aangalie ndani ya mikono yake tupite salama bila kashfa, hasa za wizi wa mali ya umma
 
Kiboko ni Marehenu JPM baaasi wengine wanacheza tu. Ni siku hizi tu, tunajifanya wajanja. Kila mtu utawasikia JPM akikusikia, utakoma. Leo hii tungesia mashirika yote ya Umma wanalipa gawio. Badala ya wananchi kutozwa Tuzo kwenye muamala yao
"kutozawa tuzo" maana yake ni nini!!??
 
Back
Top Bottom