DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
DuuWew ni mpumbavu Kwahiyo kiongozi katika nchi hii ni Gaidi Mbowe
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuuWew ni mpumbavu Kwahiyo kiongozi katika nchi hii ni Gaidi Mbowe
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Magufuli alikuwa na vision mkasema ni mkali sana na mbishi.Hana vision huyo mama! We need visionary leaders
Mtanzania mwepesi kulaumu lakini mwambie aje na wazo jipya lenye kujenga nchi ndio utakapojikuta unachekea chooni.Wewe umeifanyia nini nchi yako kwa nafasi yako, the president is not there to make miracles. Toa vision yako rais sio malaika ni mwanadam anajifunza
hii nchi ngumu sanaMwandishi wa habari mbibezi aliyehudumu kuanzia enzi za awamu ya kwanza hadi leo Jenerali Ulimwengu amesema Rais Samia anapaswa kuelewa hii nchi ni ngumu.
Na kwamba hata watu wanaomzunguka wanapaswa kuangaliwa kama ushauri wanaompa ambao kimsingi anaweza kuukubali au kuukataa, je washauri hao wana nia njema?
My take. Ni kweli hii nchi ni ngumu hebu waangalie Gwajimas ( mashemeji)
Acha uongo alikuwa na vision gani huyo shujaa wenu?!Magufuli alikuwa na vision mkasema ni mkali sana na mbishi.
Kiongozi uliyenaye kichwani sio lazima afanane na yule halisi aliyepo mtaani.
!!!!?????!!!!!!????????Visionary Leader departed on 26.03.2021
Sijawahi kumkubali huyu mama wala sijawahi kumchukia Magufuli! He was a hero indeed hii sampuli ya Magu itachukua muda mrefu sana kupatikana yani wacha tutopee kwenye giza la umasikini kwa sasa maana ni tozo mpaka za luku ila umeme unakatika mara 62 kwa siku!Magufuli alikuwa na vision mkasema ni mkali sana na mbishi.
Kiongozi uliyenaye kichwani sio lazima afanane na yule halisi aliyepo mtaani.
Usintafutie Ban ya alfajiri aisee!Acha uongo alikuwa na vision gani huyo shujaa wenu?!
Indeed, raisi hana dira inayomuongoza ni hatariLike The Late JPM!
Anafanya nini hapo?Tuko naye hapa Lilongwe hana habari ahahahahaha
Mlitaka awaache wanae Maskini kama ilivyo kwa Nyerere ambaye mnamcheka kila uchao😅😅😅 pumbavu zenyu!Shujaa wa Afrika ni Nyerere na siyo takataka iliyokuta kila kitu kipo ikaanza kujenga kwao.
Kweli kabisa.Ni kweli nchi hii ni ngumu. Jenerali alipewa ukuu wa wilaya ukamshinda, akabwaga manyanga na kurudi kwenye upigaji porojo. Kupiga porojo kwenye vyombo vya habari siyo sawa na kuongoza kwenye field.
Kingereza ni lugha tu. Bibi mzaa Baba alikifahamu kile cha kwenye biblia. Na alisoma, alihishia la Nne tu. Ulimwengu J amesoma lugha alizaliwa na lughaExactly, Jenerali yuko overrated sana. Anachojua ni kuandika riwaya tu za Kiingereza na Kiswahili.
Muache autumie uhuru wa mawazo ambao Rais SSH ameufungulia baada ya Mwendazake kuubinya kwa miaka 5
Fantastic point but remember when you selected to the President,you are the president of all and not a certain group.Rais wa kuwabagua watu kwa misingi ya chama,kabila,ukanda,huyo hafai.Mlitaka awaache wanae Maskini kama ilivyo kwa Nyerere ambaye mnamcheka kila uchao😅😅😅 pumbavu zenyu!
.... na ana uwezo wa hali ya juu ya kutoa ushauri na hata kutawala nchi.......This is bongo .....nchi ambayo kila mtu ni mwandishi wa habar...
Sungura alipokosa zabibu alisema sizitaki mbichi hizi.Exactly, Jenerali yuko overrated sana. Anachojua ni kuandika riwaya tu za Kiingereza na Kiswahili.
Muache autumie uhuru wa mawazo ambao Rais SSH ameufungulia baada ya Mwendazake kuubinya kwa miaka 5
Jamaa alitisha sana kimaendeleo kati ya marais nchi hiii,wahuni wanachekelea kwa kifo chake maana kibano hakikuwa cha kawaida leo wamerudi na nguvu zoteYule ndio hamna kitu zaidi kupachikwa unyonge mkajiona anawapenda