Jenerali Ulimwengu: Rais Samia aelewe kwamba hii nchi ni ngumu

Jenerali Ulimwengu: Rais Samia aelewe kwamba hii nchi ni ngumu

Huyu jamaa,kufilisika kwake ndio kunamsumbua sana,ni kwa vipi unaweza kusema kuwa samia haijui nchi hii,amekuwa waziri kwa serikali ya zanzibar,amekuwa waziri wa hamhuri ya muungano,amekuwa makamu wa rais wa nchi,amekuwa mjumbe wa kamati kuu ya ccm miaka 19,ameitembelea nchi hii kika sehemu,leo henerali anasema eti samia haijui nchi?
Yeye ana historia ipi ya kumshinda samia?
Kuwa mwandishi wa habari,kuwa msaidizi wa samora machel,kuwa kiongozi wa umoja wa vihana afrika?
Nonsense
Nadhani ulimi wa general uliteleza. Hayo ndio matokea ya kuachia jazba iongoze akili.
 
Hana njaa Kama zenu Mataga,anaweza akawafuga ukoo wenu wote.
 
Huyu jamaa,kufilisika kwake ndio kunamsumbua sana,ni kwa vipi unaweza kusema kuwa samia haijui nchi hii,amekuwa waziri kwa serikali ya zanzibar,amekuwa waziri wa hamhuri ya muungano,amekuwa makamu wa rais wa nchi,amekuwa mjumbe wa kamati kuu ya ccm miaka 19,ameitembelea nchi hii kika sehemu,leo henerali anasema eti samia haijui nchi?
Yeye ana historia ipi ya kumshinda samia?
Kuwa mwandishi wa habari,kuwa msaidizi wa samora machel,kuwa kiongozi wa umoja wa vihana afrika?
Nonsense
Mkuu ni Lugha gani umeandika hii?
vihana,hamhuri nk?
 
Teteeni familia zenu na maisha yenu. Mnajikomba kwa Samia Samia, vitu vingine ata havina maana. Mzee kasema anamuomba aielewe nchi hii nchi ni ngum. Sasa hapo katukana nn au kavunja sheria zipi?
Humu wengi vilaza kuelewa hoja ya ulimwengu ni ngumu sana.
 
Vipi Mzee Jenerali, unataka uteuliwe kama mshauri?

Maana kila utawala unaoingia madarakani ni shida kwako.
Kuna watu walizaliwa kupinga tu kila jambo la wengine.

Sasa huyu nenda kwenye kaya yake uone anavyoiburuza na hataki apingwe.

HUYU BWANA NI MFANO HALISI WA SHETANI.
 
Huyu jamaa,kufilisika kwake ndio kunamsumbua sana,ni kwa vipi unaweza kusema kuwa samia haijui nchi hii,amekuwa waziri kwa serikali ya zanzibar,amekuwa waziri wa hamhuri ya muungano,amekuwa makamu wa rais wa nchi,amekuwa mjumbe wa kamati kuu ya ccm miaka 19,ameitembelea nchi hii kika sehemu,leo henerali anasema eti samia haijui nchi?
Yeye ana historia ipi ya kumshinda samia?
Kuwa mwandishi wa habari,kuwa msaidizi wa samora machel,kuwa kiongozi wa umoja wa vihana afrika?
Nonsense
Njaa itawaua mpaka mnapofuka macho hamtaki hata kuona ukweli? Samia haijui Tanganyika pengine huko Zenj; muulize amewahi kufika Busokelo au anajua hiyo sehemu iko wapi?
MUGY ni neno lenye maana ya kuwa mgeni ; likitumika sana kwa wanafunzi wanaoingia secondary za Mbweni kuanza darasa la Tisa enzi hizo!! Sasa Samia sio mgeni kwenye wadhifa alio nao?
 
Jenerali kwa sasa anapiga kwenye mshono tu, hakwepeshi mambo.
Wiki iliyopita alipiga kwenye mshono wa bunge, spika Ndugai akachanganyikiwa na kuanza kupanic tu.

Sasa jana Jenerali amepiga kwenye mshono wa dikteta wa kike, safari hii lazima pachimbike.
 
hii ni dharau kwa mamlaka, kuna kipindi kuna vitu tunashabikia kwa sababu tu labda ya ushabiki....lakini kiuhalisia tunampa kichwa Ulimwengu ambaye sijui yeye ameifanyia nini hii nchi mpaka tumsikilize...

Kuna wakati watanzania tuwe makini na wajuaji ambao hujiona wao ni bora kuliko wenzao na kila kizuri kilicho cha wenzao kilistahili kuwa chao.... huyu kwa sasa niwakumpuuza tu yeye ndio genius wengine wote vilaza...hahahaha
Tatizo lenu mmezoea kuwalamba matako viongozi,mkiambiwa ukweli mnahisi ni dharau,tutachelewa sana kupata maendeleo kwa kuwa na watu wenye mawazo mfuu kama wewe,kwani ukiwa rais au waziri unakuwa umekamilika hutakiwi kukosolewa?
 
MGYA ndio nini?
Ni chura mdogo/mchanga ambae baada ya kuanguliwa, bado hajakatika mkia. Kwa kimombo anaitwa 'tadpole'

OIP.CUzvwsXp_F7sum0dTaIq7AHaHk
 
Mimi ni msomaji mzuri wa vitabu na majarida ya zamani,magazeti nk . Sijawahi kusoma au kusikia cha maana alichofanya Jenerali Ulimwengu zaidi ya kuwa mkosoaji wa kila serikali hasa zile zinazoheshimu demokrasia ya uhuru wa maoni.

Anafaa kupumzika alee wajukuu.
 
Huyu na kundi lake wanaishi kwa hela za mabeberu kwa kuendesha campeni za aina hii za kuwagawa watu na kuwakeep bussy . Hii ni kwa sababu ya kuwafanya mabeberu waweze kuendelea kuchota uchumi kirahisi
Weka japo ka ushahidi basi, video/picha/document. Kama wapata ugumu kupangua hoja zake ingefaa kuachana na porojo.
Sio busara kuwa kama polisi wa tz.
 
Huyu na kundi lake wanaishi kwa hela za mabeberu kwa kuendesha campeni za aina hii za kuwagawa watu na kuwakeep bussy . Hii ni kwa sababu ya kuwafanya mabeberu waweze kuendelea kuchota uchumi kirahisi
Weka japo ka ushahidi basi, video/picha/document. Kama wapata ugumu kupangua hoja zake ingefaa kuachana na porojo.
Sio busara kuwa kama polisi wa tz.
 
Rais na makamu wa Rais ana tools nyingi sana za kuijua nchi kuliko anavyotaka kutu
Tatizo lenu mmezoea kuwalamba matako viongozi,mkiambiwa ukweli mnahisi ni dharau,tutachelewa sana kupata maendeleo kwa kuwa na watu wenye mawazo mfuu kama wewe,kwani ukiwa rais au waziri unakuwa umekamilika hutakiwi kukosolewa?

sasa hapo ameongea nini cha maana cha yeye kusikilizwa...?.
 
Back
Top Bottom