Jenerali Ulimwengu: Rais Samia aelewe kwamba hii nchi ni ngumu

Jenerali Ulimwengu: Rais Samia aelewe kwamba hii nchi ni ngumu

Jamaa alitisha sana kimaendeleo kati ya marais nchi hiii,wahuni wanachekelea kwa kifo chake maana kibano hakikuwa cha kawaida leo wamerudi na nguvu zote
hakuna kinachoendelea tumerudi tulikokuwa.
Hivi huko shuleni ulienda somea ujinga!?
 
Mwandishi wa habari mbobezi aliyehudumu kuanzia enzi za awamu ya kwanza hadi leo Jenerali Ulimwengu amesema Rais Samia anapaswa kuelewa hii nchi ni ngumu.

Na kwamba hata watu wanaomzunguka wanapaswa kuangaliwa kama ushauri wanaompa ambao kimsingi anaweza kuukubali au kuukataa, je washauri hao wana nia njema?

My take. Ni kweli hii nchi ni ngumu hebu waangalie Gwajimas ( mashemeji)
Ugumu upo katika kazi ya uraisi kwa yeyote atakayechaguliwa wakati wowote. Ila, ugumu wa kazi ya Samia Suluhu unachangiwa na:
1. Kutojiandaa kuchukuwa nafasi hiyo kubwa
2. Watu kutaka kujaribu kama anaweza
3. Mategemeo makubwa kwa watu, katika demokrasia, uchumi , na uhuru wa habari, ukizingatia style aliyoingia nayo, kama kupooza mambo hivi.
4. Yeye alikuwa mwenyekiti wa Bunge la katiba na hiyo imemuongezea mzigo mkubwa kuwa ndiye mtu sahihi wa kuendelea na mchakato wa kuitafuta katiba mpya
5. Janga la korona - ambalo limepunguza ukuaji wa uchumi kufuatia kuanguka kwa sekta za utalii, mauzo ya nje, na uwekezaji wa mitaji
 
Urais ni mgumu sana hata kama ni wa zanzibar ilimradi kama mtawala una akili na unafikiria mambo ya msingi kwa nchi yako, lakini kama unakaa na ku enjoy as if umepata bahati kuliko watu wote kukaa kwenye the first office unabahati mbaya sana. Mliona Obama wakati anamaliza muda wake alivyozeeka ni kwasababu anafikiria sio urais wa nchi zetu hizi siku mbili mtu ana kitambi stupid
 
Bwana Jenerali kamuita Samia Suluhu Hassan Mgya akimaanisha haijui nchi hii -Tanzania
sioni kwa namna yoyote anavyoweza kumzidi Samia kuhusu kuijua nchi hii

 
Vipi Mzee Jenerali, unataka uteuliwe kama mshauri?

Maana kila utawala unaoingia madarakani ni shida kwako.
 
Chifu Hangaya

Screenshot_20211117-121535.png


Screenshot_20211117-121535.png
 
Uzi tayari? Hebu sasa tueleze namna ambavyo SSH anamzidi Jenerali au namna wako sawa.
Jinsia
Jenearali ME
Samia-KE
utawala
Jenerali- mkuu wa wilaya, Mkurugenzi wa utamatudini wizarani
kuchaguliwa
Jenarali- hajawahi kuchaguliwa kwa kura
Samia- mbuge, mgombea urais mweza
 
Bwana Jenerali kamuita Samia Suluhu Hassan Mgya akimaanisha haijui nchi hii -Tanzania
sioni kwa namna yoyote anavyoweza kumzidi Samia kuhusu kuijua nchi hii
Lakini si ameongea ukweli? au sijaelewa? Nimeuliza tu
 
Bwana Jenerali kamuita Samia Suluhu Hassan Mgya akimaanisha haijui nchi hii -Tanzania
sioni kwa namna yoyote anavyoweza kumzidi Samia kuhusu kuijua nchi hii

Huyu jamaa,kufilisika kwake ndio kunamsumbua sana,ni kwa vipi unaweza kusema kuwa samia haijui nchi hii,amekuwa waziri kwa serikali ya zanzibar,amekuwa waziri wa hamhuri ya muungano,amekuwa makamu wa rais wa nchi,amekuwa mjumbe wa kamati kuu ya ccm miaka 19,ameitembelea nchi hii kika sehemu,leo henerali anasema eti samia haijui nchi?
Yeye ana historia ipi ya kumshinda samia?
Kuwa mwandishi wa habari,kuwa msaidizi wa samora machel,kuwa kiongozi wa umoja wa vihana afrika?
Nonsense
 
Bwana Jenerali kamuita Samia Suluhu Hassan Mgya akimaanisha haijui nchi hii -Tanzania
sioni kwa namna yoyote anavyoweza kumzidi Samia kuhusu kuijua nchi hii


wanaoijua nchi hii wametufikisha wapi?
 
Back
Top Bottom