UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Ni kweli nchi hii ni ngumu. Jenerali alipewa ukuu wa wilaya ukamshinda, akabwaga manyanga na kurudi kwenye upigaji porojo. Kupiga porojo kwenye vyombo vya habari siyo sawa na kuongoza kwenye field.