mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 7,013
- 10,000
Anapiga?Jenerali kwa sasa anapiga kwenye mshono tu, hakwepeshi mambo.
Wiki iliyopita alipiga kwenye mshono wa bunge, spika Ndugai akachanganyikiwa na kuanza kupanic tu.
Sasa jana Jenerali amepiga kwenye mshono wa dikteta wa kike, safari hii lazima pachimbike.