Kule mwanza waliambiwa msiwabomolee hawa ndio walionipa kura , kimara mbezi watu wamebomolewa nje ya utaratibu kabisa , mita mia kutoka barabara kuu na hawakupewa hata mia, tena kukiwa na stop order ya mahakama,na jengo nalo limevunjwa pasipo sababu ya msingi yeyote, sheria hua zinatumika baadhi ya sehem alafu sehem nyingine hazitumiki? ,Kisheria ilikuwa sahihi kulibomoa au alivunja sheria?
We nae hata hujui chochote , zile nyumba zimebomolewa huku kukiwa na stop order ya mahakamaKwani Kuna ambaye alionewa huko kimara , kama yupo aende mahakamani kudai haki yake. Mimi nachojua ni kwamba wa kimara walienda mahakamani kupinga wakashindwa.
Kisheria, hili linaweza kudhibitiwa?Kule mwanza waliambiwa msiwabomolee hawa ndio walionipa kura , kimara mbezi watu wamebomolewa nje ya utaratibu kabisa , mita mia kutoka barabara kuu na hawakupewa hata mia, tena kukiwa na stop order ya mahakama,na jengo nalo limevunjwa pasipo sababu ya msingi yeyote, sheria hua zinatumika baadhi ya sehem alafu sehem nyingine hazitumiki? ,
Ubaguzi sio kitu kizuri kabisa
Ndio tatizo LA kuamini waganga, Walipanga mipango ovu na wenzake akina bashiru,polepole, Mungu kaingilia kati ili kutunusuru watanzaniaAlishauriwa na mganga wake akilibomoa ataishi miaka mingi sana.
We si mwenyekiti mkoa wa mwanza alishasema jibwana alikua na kadi ya milembeMpaka leo sielewi kwa nini hili jengo lilibomolewa.
Nimefika hata nchi za nje, barabara inakatiza hadi katikati ya jengo, na jengo hili hata kwa barabara iliyopo Ubungo haijafikia liliko jengo lililobomolewa.
Kama si uhujumu sijui?
Mi nachokoza tu, wataalam tuambieni!
View attachment 1991013
Jengo ni mali ya shirika hivyo kila mtanzania linamuhusu na ndio alilibomoa kwa makusudi kwa lengo la kutaka kuonesha yeye akitaka jambo lake hakuna wa kumzuia kwa sababu alikuwa akiamini yeye ni zaidi kuliko binadamu yeyote.Unajadili upumbavu huna maana! Wewe linakuhusu nini hilo jengo unataka kusema alilibomoa tu kwa kaksudi! Au unaofisi yako humo jengoni?
Eeh kwa wamachinga serikali inatekeleza sheria ila kwa ghorofa hilo huoni sababu kwa nini lilivunjwa😅?Alafu utaanzisha uzi mwingine ukisisitiza Serikali kufuata sheria za nchi!
Hakuna mahali nimekuambia hicho ulichoniuliza.Unaweza kuniambia nateseka kivipi!!!??
Wewe utakuwa kichaa sio bure.Ukiitwa taahi.ra jitafakari sana, maandiko yanasema ficha upumbafu wako usiifiche hekima yako, hakuna kipya uloandika hapo, nifatilie huko nyuma utajua unaargue na nani, hayo tulishiriki huko nyuma kuwaambia myaandike, waziri anauza nyumba? lakini waziri mkuu alikuwa nani vile? vipi kuhusu mchakato mzima bungeni? unajua hao unaoandika kwa niaba yao hapa walochukuwa by then ukilinganisha ni hizo nyumba mbili unazodai za JPM?
Unamfahamu mnufaika wa hiyo unayoiita boti ambayo JPM baada ya kuwa Rais akaitaifisha na kuigawa Jeshini? alisema acheni wazee wapumzike, anzeni kuyaamsha mtafurahi.
Tunaanzaje kusahau?Jinga sana lile zee!Let him rot in hell!I pray for him.Tusahau yaliyopita tujenge taifa.
Jamaa alikuwa mshamba na limbukeni wa madaraka.Alitaka kulibomoa alipokuwa waziri, JK na Pinda wakamzuia! Alipopata Uboss akabomoa makusudi ili kuwaonesha yeye ni nani!! Kati ya dhambi CCM hawatakuja kusamehewa ni kutuletea yule jamaa awe Rais wetu
Namfungulia kesi ya uhujumu uchumi hata kama yuko futi 6 chini ya ardhi! Hatuwezi kukubali wendawazimu kama huu.Mnajifanya mnataka kupoteza legacy.......
ushuzi kweli huu....
Kweli tumepita mapito ya mwenda wazimu!We si mwenyekiti mkoa wa mwanza alishasema jibwana alikua na kadi ya milembe
Kuna haja Bunge kuangalia vipengele ambavyo rais anaweza kushiyakiwa kwa uhujumu uchimi.Namfungulia kesi ya uhujumu uchumi hata kama yuko futi 6 chini ya ardhi! Hatuwezi kukubali wendawazimu kama huu.
Ukifanya mazuri mengi lakini ukiua mara moja tu, mkono wa sheria uko juu yako.Kimsingi hakuna rais aliyeijenga hii nchi Kama Magufuli hata Nyerere alikuwa na maono lkn uchumi ulimbana Magu kajenga nchi bwana hajapata kutokea mwingine,tusifu tu lkn hata tunaowasifu wanaujua ukweli.
Wale vizuri Bila bughudhaHuyo jamaa alikuwa anajali sheria? Yeye alikuwa ni kanyaga twende! Unajua huku chini tunalalamika sana kuhusu jamaa, ila chamoto walikuwa wanakiona akina Majaliwa na mawaziri wake, jamaa alikuwa hana staha kabisa, anatukana kila mtu!! Leo hii unapomsikia Majaliwa anakomaa Samia aendelee hadi 2030 ni kwamba haamini hii ahueni aliyopata, and hataki kusikia or kuona mambo waliyopitia yanajirudia 2025! Na 2030 watafanya kila aina ya figisu asiingie tena mtu wa type ya Marehemu