Chuki zenu tu hakuna upigaji wowote ulioganyika wakati wa magu lbd wahuni hawakupata nafasi leo ndiyo wapata kusema. tumemsikia zungu wa nini sijui, akisema magu ni mwongo miaka yote yupo kapata nakauwaziri lkn hakushauri umuhimu wa mradi wa bagamoyo,mkijaza wahuni dizaini hii kwenye kada ya uongozi maendeleo msahau.Usitufanye watanzania wajinga.
Huu ni wizi wa mchana wa rasilmali za nchi.
Waziri mkuu yuko huko , hebu mwiteni aweke jiwe la msingi na tuone atakavyo mung'unya maneno kwa wizi huu.
Unazijua ofisi za TANESCO MWANXA?Tanesco mkoa wa Chato, take note please
MWANXA ndo wapi?Unazijua ofisi za TANESCO MWANXA?
1.5trln aliyichota Magu haijapata maelezo kiserikali.Chuki zenu tu hakuna upigaji wowote ulioganyika wakati wa magu lbd wahuni hawakupata nafasi leo ndiyo wapata kusema. tumemsikia zungu wa nini sijui, akisema magu ni mwongo miaka yote yupo kapata nakauwaziri lkn hakushauri umuhimu wa mradi wa bagamoyo,mkijaza wahuni dizaini hii kwenye kada ya uongozi maendeleo msahau.
Wakati geita tanesco hawana Jengo sana sana kazi yao kuhamahama kwenye nyumba za watu.View attachment 1944399
Jengo la TANESCO Chato, wilaya yenye wakazi 28,000 tu, ni kubwa kubwa kupitiliza.
Wilaya ya Temeke ina wakazi milioni moja na nusu, lakini hakuna jengo la kutisha na huduma inaendelea.
Hizo ndio zilikuwa sera za upendeleo maalum Chato, alizoanzishwa na Mwendazake na henchman Kalemani.
Kwa hili kwa kweli Kalemani ashitakiwe kwa uhujumu uchumi na matumizi mabaya ya madaraka.
Jengo lishakamilika tayari picha za zaman izoNdio limeishia hapo au litaendelea kujengwa.....
nakazia..... by october itasomeka hivyo (pia sio lazima)Tanesco mkoa wa Chato, take note please
Acha ushamba wewe.Mmh waafrica tunashida kweli hivi kua na maofisi mazuri,mahospitali makubwa n.k Kuna tegemea idadi ya watu wanaopatikana eneo husika?
Chato unaweza kuwa Mkoa Mpya na tusubiri October 14,2021View attachment 1944399
Jengo la TANESCO Chato, wilaya yenye wakazi 28,000 tu, ni kubwa kubwa kupitiliza.
Wilaya ya Temeke ina wakazi milioni moja na nusu, lakini hakuna jengo la kutisha na huduma inaendelea.
Hizo ndio zilikuwa sera za upendeleo maalum Chato, alizoanzishwa na Mwendazake na henchman Kalemani.
Kwa hili kwa kweli Kalemani ashitakiwe kwa uhujumu uchumi na matumizi mabaya ya madaraka.
YALIYOJIRI
Waziri Mkuu amekataa kupokea jengo la TANESCO huko Kyerwa, Kagera.
Waziri Mkuu kwa maslahi ya Tsifa tembelea jengo la Chato.
Na mkoa wa Lupaso lini?Chato unaweza kuwa Mkoa Mpya na tusubiri October 14,2021
Ukiwa na Rais masikini, mwenye roho ya uchoyo kama tabia, haya ndiyo tunashuhudia kwa mshangao!Tatizo la mleta post kuishi Dar na kudhani Dar es Salaam kila kitu kijengwe huko, Magufuli amefungua nchi hata Dodoma watu walitaka wssihamie,
Magifuli tutakukumbuka
Hata ule uwanja wa ndege mkuu??Nilipendekeza lolote lililojengwa kwa upendeleo libomolewe
Huna akiliKwani jengo ndio linazalisha umeme?
Wivu tu.
Tatizo lenu mliofaidika na wizi huu wa kuaminiwa ni kujiona wajaaanja kupindukia.Sijawahi kuwaelewa hawa watanzania....mtu akijenga kwao si ni ndani ya Tanzania ambako na wewe kesho na kesho kutwa utaenda kufanya kazi huko au project yako kwa ufanisi.
Sasa hao viongozi mafisadi wanaopiga hela,na kwao bado kubovu ushawahi jiuliza pesa zao wanajenga wapi??
🖕Huna akili