Jengo refu zaidi Duniani la Burj Khalifa - Dubai lapambwa kwa picha za Bendera ya Tanzania

Nilikua naangalia Station moja ya nje muda huu [emoji1256] UAE na Tanzania wana mpango wa makusudi kuwaondoa wamasai ngorongoro ili kubinafsisha hiyo hifadhi. Tuendelee kuomba hali siyo nzuri huko mbeleni.
Ni hilo ndiyo lengo kuu, ndiyo maana akina Maulid na genge lake walipewa pesa ndefu kwenda kuwatoa wamasai Ngorogoro ibaki wazi
 
Mbona ni Kama Bendera ya Congo DR sasa
 
Habari njema. Bila ccm isingeweza kutokea hicho. Hapo umasikini kwa kheri Tanzania
 
Kwani lazima kila kitu upinge/ulalamike?
Unajua maana ya kupinga au kulalamika?.Sidhani kama alichotoa huyo bwana ni kupinga au kulalamika.katoa tu mawazo yake mbadala.tujifunze tuheshimu mawazo mbadala kama ambavyo wewe ambaye hutoi mawazo mbadala unaheshimika.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nafikiri kila mtu anashangaa tunavyoshangilia tukio hili kama vile ni very exceptional [emoji2]. Hii nchi sijui wapi tuliingia chaka aisee [emoji55]

Hapo imetumika pesa! Sijui tunashangilia nini [emoji55]
 
Jamaa itakua wamepewa ngorongoro na mkoa mzima wa Arusha ili kufanya hivyo.
 
Well, you must surely be wondering how much it costs to display an ad on the Burj Khalifa - the world's tallest building ever constructed. We will tell you that, to display a three-minute message, once between the time slots of 8 PM - 10 PM, one has to pay over Rs. 50 lakhs on weekdays, and the price increases by Rs. 20 lakhs on the weekends. Further, for two plays of a three-minute message/clip, it costs over Rs. 1 crore and Rs. 2 crores for playing your clips five times a night between 7 PM till midnight. A Dubai- based company manages all these projects and affairs and is known as, Mullen Lowe MENA. The content to go live must be submitted to the company at least a month before as it has to be reviewed by EMAAR, the owners of Burj Khalifa, before putting it out on the big screen.
 
Jamaa itakua wamepewa ngorongoro na mkoa mzima wa Arusha ili kufanya hivyo.
Hapo kuna mastaa wanawekwa siku za birthday zao sasa si aibu hii taifa zima kushangilia namna hii? Tumelogwa? Unfortunately ni pesa yako tu unarushwa pale! Tunarejea kwa kasi kwenye unnecessary issues [emoji58]
 
Nilikua naangalia Station moja ya nje muda huu [emoji1256] UAE na Tanzania wana mpango wa makusudi kuwaondoa wamasai ngorongoro ili kubinafsisha hiyo hifadhi. Tuendelee kuomba hali siyo nzuri huko mbeleni.
Safi sana!..

Si mnapumua nyie?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Jamaa itakua wamepewa ngorongoro na mkoa mzima wa Arusha ili kufanya hivyo.
Sasa hivi mgogoro huo unajadiliwa Aljazera katika Stream.
Marudio ya mjadala huo ni saa 5.30 na jioni saa 11.30. Ni vema tufatilie ulimwengu unatuzungumziaje katika suala hili la Ngorongoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…