Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni hilo ndiyo lengo kuu, ndiyo maana akina Maulid na genge lake walipewa pesa ndefu kwenda kuwatoa wamasai Ngorogoro ibaki waziNilikua naangalia Station moja ya nje muda huu [emoji1256] UAE na Tanzania wana mpango wa makusudi kuwaondoa wamasai ngorongoro ili kubinafsisha hiyo hifadhi. Tuendelee kuomba hali siyo nzuri huko mbeleni.
Tunatangaza nchi na kuifungua.Inatusaidia nini hasa?
Tumepigwa $68,000 kwa dakika 3Kuna hela serikali imelipa au ni bure?
Babu hivi unaifuatilia dubai expo?Mislocation of fund
Mbona ni Kama Bendera ya Congo DR sasaJengo refu zaidi Duniani la Burj Khalifa pale Dubai muda huu limenakshiwa kwa Bendera ya Tanzania mwanzo mpaka mwisho lote. Dunia nzima sasa inatazama maajabu haya kwenye Jengo hilo refu zaidi Duniani huku Utalii wa Taifa letu ukizidi kutangazwa. Yote hii ni matunda ya ziara ya siku 3 ya Rais Samia Suluhu Hassan Dubai na heshima inayopewa Taifa letu baada ya ziara hiyo iliyokuwa na mafanikio makubwa sana ya Kiuchumi na Uwekezaji.
Hiyo ni pamoja na mafanikio mengine makubwa ya ziara hiyo ambayo ni Kusainiwa kwa Hati 36 za Makubaliano ya Ushirikiano kwenye sekta mbalimbali yenye thamani ya Shilingi Trilioni 17.1 ambayo itatoa ajira 204,575 kwa Watanzania. Ziara ya Rais Samia Dubai imetulipa kwelikweli. Kazi Iendelee.
Bwanku M Bwanku
bwanku55@gmail.com
View attachment 2134475
View attachment 2134476
View attachment 2134477
Nyinyi ndio mkiona matangazo ya VISIT RWANDA kwenye viwanja huko Ulaya mnapongeza huku mkilaumu Tz haijitangazi,leo pia tunalalamikia nchi kujitangaza.Mislocation of fund
Ukitaka kumkamata kuku kiulaini muwekee mcheleLengo refu zaidi duniani linalofahamika kwa jina la #Burj Khalifa lililopo #Dubai, likiwa limenakshiwa na rangi ya bendera ya Tanzania, jana Februari 28, 2022.
View attachment 2134709
Nchi inapelekwa mnadani tenaSisi wakulima tunahusika kweli hapo?? Mtiririko wa tozo!
Unajua maana ya kupinga au kulalamika?.Sidhani kama alichotoa huyo bwana ni kupinga au kulalamika.katoa tu mawazo yake mbadala.tujifunze tuheshimu mawazo mbadala kama ambavyo wewe ambaye hutoi mawazo mbadala unaheshimika.Kwani lazima kila kitu upinge/ulalamike?
Nchi huliwa na wenye menoWacha pesa itumike hapo kuna mtu kapata 10% yake kama sio kigogo basi mke wa kigogo au mke wa kigogo, mtoto wa kigogo au ndugu wa karibu wa kigogo
Well, you must surely be wondering how much it costs to display an ad on the Burj Khalifa - the world's tallest building ever constructed. We will tell you that, to display a three-minute message, once between the time slots of 8 PM - 10 PM, one has to pay over Rs. 50 lakhs on weekdays, and the price increases by Rs. 20 lakhs on the weekends. Further, for two plays of a three-minute message/clip, it costs over Rs. 1 crore and Rs. 2 crores for playing your clips five times a night between 7 PM till midnight. A Dubai- based company manages all these projects and affairs and is known as, Mullen Lowe MENA. The content to go live must be submitted to the company at least a month before as it has to be reviewed by EMAAR, the owners of Burj Khalifa, before putting it out on the big screen.Jamani chunguzeni. Kama huu ni ukweli basi nchi hii imejaa wapuuzi wenye mamlaka kupita wakati mwingine wowote. Jee kama tukio hilo lilifanyika kwa nusu siku ni kiasi gani nchi imelipa? Na faida gani imepata kwa rangi ya bendera kuonekana hapo? Ujinga mtupu.
Kiasi hicho kikitumika vizuri kinaweza kufanya mambo mangapi ya maana?
Bado mavuvuzela ya mbogamboga yanashangilia!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu bila shaka baada ya hapo ukaingiza milioni kadhaa kutokana na kitendo hichoIlibidi nioneshe wananGu wote kila moja alifurahi tena nilimpamba rais mpaka nilipaliwa na mate
Hapo kuna mastaa wanawekwa siku za birthday zao sasa si aibu hii taifa zima kushangilia namna hii? Tumelogwa? Unfortunately ni pesa yako tu unarushwa pale! Tunarejea kwa kasi kwenye unnecessary issues [emoji58]Jamaa itakua wamepewa ngorongoro na mkoa mzima wa Arusha ili kufanya hivyo.
Safi sana!..Nilikua naangalia Station moja ya nje muda huu [emoji1256] UAE na Tanzania wana mpango wa makusudi kuwaondoa wamasai ngorongoro ili kubinafsisha hiyo hifadhi. Tuendelee kuomba hali siyo nzuri huko mbeleni.
Sasa hivi mgogoro huo unajadiliwa Aljazera katika Stream.Jamaa itakua wamepewa ngorongoro na mkoa mzima wa Arusha ili kufanya hivyo.