Tetesi: Jerry Muro na William Malecela ndani ya mpango wa hatari wa kuidhibiti timu ya Fiesta

Wewe katwa miguu halafu siku ya kupewa tukuambie tuna kitchen party. Acha uzuzu
Acha upuuzi Alikuwa akingoja nini? Kwanini Afanye siku ambayo in tukio lingine? Makonda angejali wasio na Miguu angesimamia Kumpiga Lissu risasi "Miguuni" Usinitie Kinyaa!
 
Vijana wa Dar wanavyoipenda Fiesta huyo bashite andae tu FFU wa kuzuia Fiesta lkn hana ubavu wa kuandaa show ili aipoteze show ya Fiesta SHWAINI...vijana wanavyodunduliza huku kwa ajili ya Fiesta ukawapeleke kwa....
 
Fiesta ni mpango wa kuharibu vijana wetu kwa uchu wa watu wachache kupata fedha.
Kwa nini wasifanye matamasha ya kuhamasisha vijana kusoma na kuwa na tabia njema kwa kulinda tamaduni nzuri za kiafrika kama kama kuwaheshimu wakubwa n.k.
Fiesta ni kati ya matamasha yaliyojaa uovu kwa vijana wetu.
Sijui hata lengo lake lilikua ni nini!?
Ni aina ya ngoma za kizungu.
Bora wangeendeleza ngoma za kizaramo kuliko hizi za kuiga wazungu .

Kama Kuna mpango wa kuizuia basi naunga mkono .
Hongera sana aliyebuni njama hizo.

Vijana hawalali wala kusona kisa wanafanya mazoezi ya kujiandaa na Fiesta.
Ujinga mtupu.
Ndio maana matokeo ya shule za Dar es salaam yanakua mabovu wakati rasilimali zote za kielimu zinapatikana hapo.
 
Kijana endelea kufanya kazi za kumhabudia ruge huu upumbavu ruge aliokutuma mkaukumbatie huko classs ,,kwan lazma watu washiriki fiesta ,je fiesta inatulipa nini si bora miguh ya bure vilema wengi watatembea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabla haujaleta hapa upupu wako utizame mara 10000 ,mjinga usiyependa kutoa ujinga aliyekutuma muambie kafelii
 
Fiesta ni upuuzi gani huo?! Simpendi bashite ila kwa hili namuunga mkono avuruge kabisa hiyo show
 
"XxL zima"-Nash mc

"Ruge manager usiwe kinega"-Nikki Mbishi.

"Kama noma na Iwe noma"- kaka man.

Let a strong man pass.
Mwenye nguvu mpishe.
 
Kipindi mlikuwa pamoja mlikuwa hamsemi haya yote na mikakati miovu mliyopanga,sasa mnataka huruma yetu.Mpambane huko huko.

Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
Hivi redio zetu za bongo mtangazaji wa kipindi ananguvu hivyo ya kumgomea bosi wake nani hasije kwenye kipindi?
Hii habari hata kama ya kweli itakuwa imeongezewa vitu vya uongo ili kuipa uzito.
 
Acha upuuzi Alikuwa akingoja nini? Kwanini Afanye siku ambayo in tukio lingine? Makonda angejali wasio na Miguu angesimamia Kumpiga Lissu risasi "Miguuni" Usinitie Kinyaa!
Utabaki na ujinga huo kichwani ukijifanya unajua sana mambo na unahuruma sana.
Kila mtu afanye kazi yake na kuna siku inakuja IDD na Pasaka zitakuwa siku moja.
 
Utabaki na ujinga huo kichwani ukijifanya unajua sana mambo na unahuruma sana.
Kila mtu afanye kazi yake na kuna siku inakuja IDD na Pasaka zitakuwa siku moja.
Keep on championing The Obvious criminals, it will one day catch-up with you!
 
Hawa jamaa ni vijana badala ya kuwa kitu kimoja, wanashindana,
Kibaya zaidi,wote ni vijana wa mzee..!
 
Nyie wapumbavu mnatuchosha sana na habari zenu hizi za fitna fitna, upuuzi mwingi tu wanaume wengi mtaishia kuolewa. We mleta mada soma upumbavu ulioandika hapa kisha jichunguze matako km yako salama.
Pumbavu sanaa
 
CDM walipotaka kufanya maandamano ya UKUTA wakaambiwa hiyo siku jeshi litakuwa na kampeni ya usafi.
 
Acha upuuzi Alikuwa akingoja nini? Kwanini Afanye siku ambayo in tukio lingine? Makonda angejali wasio na Miguu angesimamia Kumpiga Lissu risasi "Miguuni" Usinitie Kinyaa!

Unajisikia raha kuandika hivi kwa ID.. eeeeh kama mbabe karushe post kwingine watu wakusome na jina lako.. unajua unaandika uongo mtupu.

Update

Huyu ndio yupo majuu.. rudi basi nchini uyaongelee mchana kweupe na yale mengine mengiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…