Tetesi: Jerry Muro na William Malecela ndani ya mpango wa hatari wa kuidhibiti timu ya Fiesta

Mimi nafikiri mleta mada anapima upepo kiuchochezi ili kutaka RC ajibu uongo wake. Vizuri amekaa kimya na hata watajwa pia. Mleta mada unataka kuwapa joto Clouds wewe makusudi ili waongee sanaaa kama Ruge juzi.. Natumaini watayadharau uliyoandika..

RC anapenda wananchi wake na burudani waipate salama pia. Muhimu waandaaji wa events jijini Dar wafate sheria, waombe vibali, waombe usimamizi wa usalama n.k. kuna watu watadanya biashara siku hiyo pia kupata kipato.. hao wenye biashara ndogo ndogo hivyo muache uchochezi mbaya

Events za misaada hiyo hajawahi kuzifanta.. usiku jijini hapa. Na umeandika yote hata picha or kideo cha kuibia hakuna aliyedakua...

Burudani oyeeeee
 
Hivi mnafahamu hawa wavulana watatu ni wapuu.zi sana
 
MIAKA KADHAA NYUMA CLOUDS WALIKUA JEURI SANA SANA SANA
WAULIZE
SUGU
JIDE

MNAKUMBUKA JIDE ALIANZISHA SHOW MOJA CLOUDS WAKAPANGA YAO SIKU HIYOHIYO

WAKAFANYA PROMO SANA
JIDE AKABADILI
NAO WAKABADILI

JIDE AKAPANGA SIKU NYINGINE
CLOUDS WAKAPANGA SIKU HIYOHIYO

HUKU JAYDEE VS MWANAFA WA CLOUDS
NA WAKADANGANYA RAIA ANGELETWA MSANII KUTOKA NJE
HAIKUA HIVYO

WAHENGA WAKIZUNGU WANASEMA
'WHATS GOING AROUND COMES AROUND '

walikua KAA sasa wanawaona wenzao ndio KAA
 
hatar sn... fiesta hii mwisho saa6 usku
 
clouds nao walikuwa na michezo iyo iyo zamani yanawakuta nao sasa
 
hakunaga kitu iliniuma km clouds fm walipoamua kumtumia FA ili kumfelisha Jide,, yan ikiwezekana hiyo Fiesta izuiliwe kabisaaaa
 
Huyu leaker ni mmoja ya watu walio ktk team ya Mkulu ameamua kuvujisha information kwa masilahi yake mapans ameamua kuwa Whilst blower kwa wenzie, Anyway tunafahamu mikakati kibao ya RC ambayo inatumia pesa ndefu nje na Bajeti anayopewa, Kupenda Sifa ni Ujinga kwa kweli
 
Nachojua vita na mtoto wa mjini haijawahi kumuacha mtu salama, let's wait and see, time will tell.
 
Fiesta ili iweje, ama ngono na pombe? nyambafu kabisa. Tena ifutiliwe mbali nchi nzima
 
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Hivi kwanini alisema hivyo? Usiwe kama KAA.
Mkuu.. tips za boss wa jiji la wazaramo ndiyo zimemfanya Mr Strategy wa CMG aanzishe hako ka kampeni..

Competition from EFM plus alllies from maliyamungu inawafanya CMG {Clouds Media Group} waweweseke!
 
Kazi kweli kweli kikao wakae kwa siri kumbe wengine wanawasanifu tu kuja kuvujisha siri. Binadamu watu wabaya sana
 
Kushindana na clouds fm ni sawa na kupigwa kwenzi jiwe?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] acha kujidanganya hao clouds fm walibebwa sana kipind cha kikwete na kujikuta wao ni miungu watu . full kuwafanyia vitina wasani na kiukwel clouds ni wanafiki wa kiwango cha PhD . sasa hiv ni lazima washushwe ili mwingine apande kipind hiki utawala huu . naona E fm wataendelea kupanda kama kawaida mwanzo mwisho

Binafsi nasema hiv acha wanyoshwe wapuzi hao

Safi sana makonda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…