Tetesi: Jerry Muro na William Malecela ndani ya mpango wa hatari wa kuidhibiti timu ya Fiesta

Kazi nzuri sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mkuu MAKONDA, clouds wapuuzi sana. Hata ungesema hakuna tamasha la kueneza ukimwi Dar tungekusapoti. Hawawezi kukuita "KAA" ikapita hivi hivi.
 
Mi nangoja tarehe 9 desember amtoe mke wa majizo lulu kama alivyoahidi.
 
Makonda barikiwa sana. Saidia Miguu kwa hao walemavu!
 
Zima kiki washa mziki....
Zam yenu Clouds ya kujifunza, show mwisho saa sita kwenye ukumbi wa waz, kama vp badilishen ukumbi ili iwe mpaka majogoo...
Clouds media ni KAA asiyejitambua
 
Makonda anatakiwa ajue kina ruge na kusaga ni watoto wa mjini hawezi shindan nao akashinda just a matter of time , siku wakimpatia target yake atajuta ,

Mda huu atawasumbua tu ila mda ukifika atajuta watoto wa mjini huw hawashindwi.
ndo unajidanganya siku hizi hamna cha mtoto wa mjini wala nini....tiket zilipwe kwa kupitia mashine ya malipo ya TRA ili serikal ipate mapato halali.
 
Walibebwa kivip mkuu em fafanua zaidi, hizo fitina ni fitina zipi? Kuwa na mgogoro na wasanii wawili sio kigezo cha kisema hawa jamaa ni wafitini.
Vinega walikua wasanii wawilii tu??? Nimuda wakupeana vijiti
 
Kwa hili la clouds basi ntamsapoti makonda... na nimeshangaa watu wengi wako upande wa makonda pia... basi uenda siku za clouds zina hesabika.
 
Clouds fm wanavuna walichopanda.....
Makonda atakuja kuvuna anayoyapandaa..efm watakuja kuvuna wanayoyapanda.....
Hii ndo dunia..
 
 
Hapo ndo naelewa akili za kibongo zilivyo.........yan badala ya kujadili issues sisi tunajadili events.........si mchezo kuendelea kama nchi kunakazi
 
Nilishawahi kuwaza mambo kama haya kutokea...
Baada ya kubana upinzani sasa wanakuja kwenye hizo mambo...
Mungu tenda wema wako.
 
Sioni tatizo, ukitaka kwenda kwa makonda ruksa, ukitaka kwenda fiesta ruksa. Kelele za nn sasa, kila mmoja anahitaji watu ili kufanikisha shughuli yake, suala la nani asogeze mbele event yake, sidhani kama linamashiko
 
Nawashangaa hawa jamaa wanapata kigugumizi wapi kutangaza kiingilio cha fiesta???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…