Jerusalem: Sababu tatu za kuzuka kwa ghasia kati ya Wapalestina na Wayahudi

Hakuna mwenye kwao pale Ata wayahudi ni wavamizi tena wazoefu

Ni kweli kabisa ni Wavamizi ila walipewa baraka na Mungu wakitokea Utumwani Misri

The biggest mistake the Israelites did was to let live some of the occupants of that Land ( Philistines)

The decision was contrary to God's who categorically instructed them to wipe out all Them

The israelites are now paying the price
 
Ndio maana vita ilikuwa kali ,ni ngumu kwa wenyeji wenye akili timamu kukubali madai ya mtu alietoka mbali akidai eti nchi hii nimepewa na Mungu kwa hiyo ni yangu, wakati nyinyi ndio mmeijenga ile nchi , ni ngumu sanaaaa
 
Lipumba hela aliyopewa kuihujumu CUF imeisha hivi sasa analialia tu wamwongezee,na aliyemuingiza chaka hivi sasa yuko motoni
Wewe ndio unajua binadamu wenzako wa kukaa motoni je wewe utakuwa wapi ukifa usifurahie vifo vya wenzako mpuuzi wewe
 
Usihame MADA unafeli jikite kwenye mada
 
Lipumba hela aliyopewa kuihujumu CUF imeisha hivi sasa analialia tu wamwongezee,na aliyemuingiza chaka hivi sasa yuko motoni
walikuwa wanagawaniana hela za hazina pale magomeni NMB, wakimwacha Maalimu anahangaika na mikesi mahakamani - huyu mzee huyu si wa kawaida.
 
Wayahudi ndiyo hao wana wa Islael ambao walikuwa utumwani Misri miaka mingi... na Waparestina ndiyo hao wafilisti - Kosa walilofanya Wayahudi toka kale ni kutowapiga wafilisti wote na kuwaua hili ndiyo tatizo hadi leo.
 


Usihame MADA unafeli jikite kwenye mada
EINSTEIN112 wewe hukuwaona hao juu hapo walivyochangia mpaka uone mimi niko nje ya mada
 
Waisraeli wapi unao wazungumzia wewe ?

Na wamekwa lini na nani ?
 
Duh. So wao waliomuua yeah Kristi kwa majivuno?
 
Unaijua saudia wewe kuhusu swala la uchumi? Wanaishi vibaya ? Hii miujiza!
Kombe la dunia kila mwaka angechukua Us koz Ni nchi inayoipenda Israel kuliko nchi yoyote y dunia
 
Ila mi huwa nafikiri tofauti kidogo wakuu. Hivi mungu aliamuaje viumbe wake wengine (wafilist) wauawe na waisrael? Ila waisrael wakafanya fair kuto_wipe out wafilist. Na leo ndo wasumbufu?
He mungu ana upendeleo?
Kwanini awapendelee?
Wakristo wanamwamini yesu Kama mwokozi lakini nilichokijua Jana kumbe yeah aliuawa na waisrael?
Ni ajabu kwangu (sijui wengine?) Mtu aliekuulia mwokozi wako bado unampenda eti Ni mteule
 
Maswali mazuri mkuu!

Ukipata wasaa Fanya utafiti kuhusu Abraham. Baba wa Imani huyu. Ukiweza kitafiti kuhusu wazazi wake itakuwa umeuchinja. Kisha tafiti uhusiano wa Abraham, Luti na kutekekezwa kwa Sodoma na Gomora. Ukipata hizi nondo utakuwa na majibu mazuri ya uhakika.
 
Narudia Tena Hawa waisraeli wa Sasa sio wale wa kwenye biblia Hawa wanaitwa Ashkenazi Jews ..Hawa ni wazungu kutoka urusi wanajiita Jews kwa walikuwa converted to Judaism religion ndio wakajiita Jews ..real Jews wa kwenye Bible ambacho ni kizazi Cha yesu wako Ethiopia
 
Na ndio maana hata Yale makabila 12 yamepotea hayapo...Kama Hawa wangekuwa real Jews Yale makabila yangekuwepo mpaka leo...
 

Mfia dini kazini bila Shaka Ni mfuasi wa mwakasege
 
Silly, rude and absolutely rubbish..
 
Sawa kabisa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…