Narudia Tena Hawa waisraeli wa Sasa sio wale wa kwenye biblia Hawa wanaitwa Ashkenazi Jews ..Hawa ni wazungu kutoka urusi wanajiita Jews kwa walikuwa converted to Judaism religion ndio wakajiita Jews ..real Jews wa kwenye Bible ambacho ni kizazi Cha yesu wako Ethiopia
Waisraeli walitapakaa katika sehemu kubwa ya Bara arabu, Afghanistani (pashtun), Bara hindi (India, Pakistani, Bangladesh, na Kashmir), Ulaya Russia, Ukraine, Germany, France, Uk, Turkey nk, Africa; Ethiopia, SA, Egypt , Latin America; Argentina, Brazil, Canada, the US nk.
Hao waisraeli wa ulaya ndio Ashkenzai na ndio hao wanaotetea itikadi ya Zionism na ndio hao waliokuwa wakorofi sana, Waisreali wengine wako poa, kipindi Yesu "anapaa" (ukweli ni kwamba alihama yeye na mama yake pamoja na Mariam Magdalena na akaelekea Kashmiri kwenda kuwafundisha Injili Waisraeli wa huko na akafia huko, Angalia Rozabal Shrine).
Yesu alipoondoka aliacha Palestina Makabila 2 ya Wana waisraeli Yudea na Benjamin makabila mengine yalikuwa yametawanyika katika sehemu kadhaa za dunia na hadi hivi karibuni miaka ya 1940 bado Waisraeli waliendela kutawanyika duniani, hayo makabila 10 yallliyotawanyika yalikuwa utumwani chini ya mfalme Nebuchadnezzar wa Babylon ambaye alipowaacha huru hawakurudi Palestine bali wakatawanyika sehemu mbalimbali duniani.
Yale makabila mawili yaliyobaki palestina yalimezwa na Makabila ya Wasamaria, Samartans/Wafilisti, Wapalestina na utambulisho wao kwa takriban miaka 2000 ukawa umefutika kabisa ndipo mwaka 1948 UNO kwa hila wakaamua kuwapendelea Waisraeli na kuanzisha tena milki yao hapo Israel.