Kwa mda mrefu kumekuwepo na mzozo kati ya wa-Palestina wa- Israel. Wa-Palestina wanadai hapo wa- Israel walipo ni kwao kwa asili.
Swali langu, je madai haya ni sahihi na halali kiasi gani?
Je, wakati wa- Israel wanawekwa hapo wao walikuwa wameenda kutalii wapi?
Mfilisti hana chake pale. Ardhi ile yote ni ya watoto wa Yakobo, wakuu wa Baba AbrahamKwa mda mrefu kumekuwepo na mzozo kati ya wa-Palestina wa- Israel. Wa-Palestina wanadai hapo wa- Israel walipo ni kwao kwa asili.
Swali langu, je madai haya ni sahihi na halali kiasi gani?
Je, wakati wa- Israel wanawekwa hapo wao walikuwa wameenda kutalii wapi?
Mwenda kwao si mtoro. Wewe kama unajimilikisha viwanja na mashamba ya watu kwa kuwa huwaoni oni, usije ukang'ang'ania unahaki watakaporejea. Bdo wako wengine wazawa hasa wa maeneo hayo wanarejea hivi karibuni. Wapalestina, warudi walikokuwa wakiishi kabla ya wenye nchi hawajaondoka.Ndio maana vita ilikuwa kali ,ni ngumu kwa wenyeji wenye akili timamu kukubali madai ya mtu alietoka mbali akidai eti nchi hii nimepewa na Mungu kwa hiyo ni yangu, wakati nyinyi ndio mmeijenga ile nchi , ni ngumu sanaaaa
Silly, rude and absolutely rubbish..
Absolutely, YES. Ni mfuasi wa Mwakasege mtumwa wa Yesu Kristo...Mfia dini kazini bila Shaka Ni mfuasi wa mwakasege
Shida ni kuwa parestina wanamjua Jakob( yakubu) , wanamjua isaka(isihaka), wanamjua ibrahimu na wanasema ni baba wa Iman na ndio maana wanachinja katika eid il Hadji kutoa sadaka ya damu Kama Ibrahim, wanamjua yesu (Isa),....shida ya mashabiki wa Israel mmempa Israel point kuwa mungu ni wake pekeake , na wengine wafe tu, ibrahimu wa peke yao, Jacob wa peke yao yaan kila kitu....hii Vita ni ya watu flan flan sio israel na parestina....af mjue kuwa Israel hakuna mkristo Wala msamalia, Ila parestina inaoNi kweli kabisa ni Wavamizi ila walipewa baraka na Mungu wakitokea Utumwani Misri
The biggest mistake the Israelites did was to let live some of the occupants of that Land ( Philistines)
The decision was contrary to God's who categorically instructed them to wipe out all Them
The israelites are now paying the price
Huu ni upuuzi Mungu siyo mbaguzi kiasi hicho na aipendelee israel hadi wew kudai eti ni taifa teule la Mungu.Yeyote atakaye kujua ugomvi wa hawa watu, lazima achimbe historia kutoka kwa Ibrahimu (Abraham) na kizazi chake chote kilichofuata mpaka kwa Yakobo na Essau...
Ni maswala ya ugomvi wa urithi. Na ugomvi huo hakuna awezaye kuuamua isipokuwa ni Mungu mwenyewe kwa wakati wake aliopanga mwenyewe...
Na kizuri kingine ni kuwa Taifa la Israeli na ardhi yake ndilo lenye haki zote 100% na eneo hilo wanalolitaka Wapalestina...
Mkono na nguvu ya ulinzi wa Mungu Yehova iko juu ya taifa lake teule. Chokochoko wanazofanyiwa wana wa Israel na taifa lao ni za kawaida kwa shetani kwa sababu ni kawaida yake kumpinga Mungu Yehova. Kamwe hawezi kuacha kumchokoza na kumchokonoa Mungu Yehova mpaka wakati wake utakapofika wa kufungwa milele...
Pamoja na yote haya, ukweli ni huu, hakuna wa kuweza kuwapiga hao akawaua wote na kisha kuwanyang'anya ardhi yao na kuishi hapo. Hayupo...!!
Israel limekuwa ni taifa ambalo mara zote limekuwa linawindwa sana ili ikiwezekana lifutwe kabisa duniani na kukiteketeza kizazi chote, lakini hakuna aliyewahi kufanikiwa na hakuna wa kufanikiwa leo, kesho na hata milele...
Mara nyingi ambacho hufanikiwa huwa ni kuwandoa kwa muda ktk ardhi yao na kukaa utumwani ktk nchi za watu wengine wakiteswa na kutumikishwa sana kama watumwa kama vile walivyochukuliwa utumwani Misri na kuishi huko kwa miaka 430, Babeli (Iraki ya leo) nk nk
Majaribio mengi pia yamefanyika kwa lengo la kukifuta kizazi cha Wayahudi (Waisrael) lakini nalo halijawaji kuwezekana pia na halitawezekana...
Kumbukeni nyakati zile za WWI & II. Shetani alijegeuza sura na kuwa binadamu wakiongozwa na Adolf Hitler akiwa na agenda kuu kukifuta kizazi cha wayahudi popote walipo duniani. HAKUWEZA...!!
Unaweza kuwaua wote, lakini ukibakisha wawili au watatu watazaana tena kwa wingi na kwa kasi ya ajabu sana na kuwa na nguvu isiyo ya kawaida tena na tena...
Hao (Israel/Waisrael) waacheni hivyo hivyo. Hilo ni taifa teule la Mungu na ndiko alikotokea Yesu Kristo .... Yeye (Yesu Kristo) ni wa ukoo huo pia...
Ukitaka kuishi na kubarikiwa, jiungamanishe na Israel. Ukitaka kufa kifo cha milele na kuishi maisha ya laana, jaribu kumshambulia na kulitakia mabaya taifa hilo na watu wake. Huko ni kugusa mboni ya jicho la Mungu...!!
Israel sio kwao pale , Sema alianza uvamizi mapema kabla hao waitwao sasa wapalestina, Kwahiyo wote wale ni wavamizi wakae waelewaneMwenda kwao si mtoro. Wewe kama unajimilikisha viwanja na mashamba ya watu kwa kuwa huwaoni oni, usije ukang'ang'ania unahaki watakaporejea. Bdo wako wengine wazawa hasa wa maeneo hayo wanarejea hivi karibuni. Wapalestina, warudi walikokuwa wakiishi kabla ya wenye nchi hawajaondoka.
La sivyo wakubaliane na mwenye nzengo. badala ya kuvamia plot za wenzao na kung'ang'ania.
Unaongelea mwaka gani huo? Hao Israel walipovamia palikuwa pa nani? Kama palestina anakuja kuvamia wakati tayari kuna watu, nani mchokozi? Pengine Mh. Lukuvi angeweza kumaliza huu mgogoro.Israel sio kwao pale , Sema alianza uvamizi mapema kabla hao waitwao sasa wapalestina, Kwahiyo wote wale ni wavamizi wakae waelewane
Umeandika mengi sana ila ukiweza nenda kabebe mtoto mpalestina na mtoto muisraeli utuambie tofauti yao kisha ufikiri kama mtoto muisraeli ni mfano wa MUNGU ni kwann mtoto mpalestina unamuhusisha na shetani.Yeyote atakaye kujua ugomvi wa hawa watu, lazima achimbe historia kutoka kwa Ibrahimu (Abraham) na kizazi chake chote kilichofuata mpaka kwa Yakobo na Essau...
Ni maswala ya ugomvi wa urithi. Na ugomvi huo hakuna awezaye kuuamua isipokuwa ni Mungu mwenyewe kwa wakati wake aliopanga mwenyewe...
Na kizuri kingine ni kuwa Taifa la Israeli na ardhi yake ndilo lenye haki zote 100% na eneo hilo wanalolitaka Wapalestina...
Mkono na nguvu ya ulinzi wa Mungu Yehova iko juu ya taifa lake teule. Chokochoko wanazofanyiwa wana wa Israel na taifa lao ni za kawaida kwa shetani kwa sababu ni kawaida yake kumpinga Mungu Yehova. Kamwe hawezi kuacha kumchokoza na kumchokonoa Mungu Yehova mpaka wakati wake utakapofika wa kufungwa milele...
Pamoja na yote haya, ukweli ni huu, hakuna wa kuweza kuwapiga hao akawaua wote na kisha kuwanyang'anya ardhi yao na kuishi hapo. Hayupo...!!
Israel limekuwa ni taifa ambalo mara zote limekuwa linawindwa sana ili ikiwezekana lifutwe kabisa duniani na kukiteketeza kizazi chote, lakini hakuna aliyewahi kufanikiwa na hakuna wa kufanikiwa leo, kesho na hata milele...
Mara nyingi ambacho hufanikiwa huwa ni kuwandoa kwa muda ktk ardhi yao na kukaa utumwani ktk nchi za watu wengine wakiteswa na kutumikishwa sana kama watumwa kama vile walivyochukuliwa utumwani Misri na kuishi huko kwa miaka 430, Babeli (Iraki ya leo) nk nk
Majaribio mengi pia yamefanyika kwa lengo la kukifuta kizazi cha Wayahudi (Waisrael) lakini nalo halijawaji kuwezekana pia na halitawezekana...
Kumbukeni nyakati zile za WWI & II. Shetani alijegeuza sura na kuwa binadamu wakiongozwa na Adolf Hitler akiwa na agenda kuu kukifuta kizazi cha wayahudi popote walipo duniani. HAKUWEZA...!!
Unaweza kuwaua wote, lakini ukibakisha wawili au watatu watazaana tena kwa wingi na kwa kasi ya ajabu sana na kuwa na nguvu isiyo ya kawaida tena na tena...
Hao (Israel/Waisrael) waacheni hivyo hivyo. Hilo ni taifa teule la Mungu na ndiko alikotokea Yesu Kristo .... Yeye (Yesu Kristo) ni wa ukoo huo pia...
Ukitaka kuishi na kubarikiwa, jiungamanishe na Israel. Ukitaka kufa kifo cha milele na kuishi maisha ya laana, jaribu kumshambulia na kulitakia mabaya taifa hilo na watu wake. Huko ni kugusa mboni ya jicho la Mungu...!!
Israel mbona alikuta watu wengi hapo au unafikiri alikuta mapori? alikaa hiyo nchi kimabavu kwa kuwaua wenyeji wa nchi, hivyo huyo ni mvamizi tu kama hao waitwao sasa wapalestina , haijalishi ulivamia mwaka gani, jambo la msingi ni kwamba ulivamia na kuua wenye nchiUnaongelea mwaka gani huo? Hao Israel walipovamia palikuwa pa nani? Kama palestina anakuja kuvamia wakati tayari kuna watu, nani mchokozi? Pengine Mh. Lukuvi angeweza kumaliza huu mgogoro.
Kamwulize Lukuvi, naye angetatua mgogoro huu kwa mitazamo ya vurugu kama yako? Kama kuna watu walikutwa wakaondolewa, na kwa kuwa siyo hao wapalestina, basi hao watu walikubaliana. Israel amekataa uvamizi wa wafilist. Analinda mipaka yake. Hao watoto wa Goliath, waambieni hapo wamekwama, waende wakaavmie kwingine kama irani hivi, jordan au syria kama wana ubavu.Israel mbona alikuta watu wengi hapo au unafikiri alikuta mapori? alikaa hiyo nchi kimabavu kwa kuwaua wenyeji wa nchi, hivyo huyo ni mvamizi tu kama hao waitwao sasa wapalestina , haijalishi ulivamia mwaka gani, jambo la msingi ni kwamba ulivamia na kuua wenye nchi
Yaani watu WALIUAWA wewe unasema wamekubaliana? wale waliuawa na kudhulumiwa maeneo yao na wayahudi kwa hiyo yule pale sio kwake na wala hana hiyo haki ya kumnyooshea kidole mvamizi mwengine mnaomwita palestina, yaani kunya anye kuku ila akinya Bata kaharisha, ahahaha mavi ni mavi tuuuKamwulize Lukuvi, naye angetatua mgogoro huu kwa mitazamo ya vurugu kama yako? Kama kuna watu walikutwa wakaondolewa, na kwa kuwa siyo hao wapalestina, basi hao watu walikubaliana. Israel amekataa uvamizi wa wafilist. Analinda mipaka yake. Hao watoto wa Goliath, waambieni hapo wamekwama, waende wakaavmie kwingine kama irani hivi, jordan au syria kama wana ubavu.
Asiye sikia la Mkuu.......Kwa mda mrefu kumekuwepo na mzozo kati ya wa-Palestina wa- Israel. Wa-Palestina wanadai hapo wa- Israel walipo ni kwao kwa asili.
Swali langu, je madai haya ni sahihi na halali kiasi gani?
Je, wakati wa- Israel wanawekwa hapo wao walikuwa wameenda kutalii wapi?
Hadithi za kusadikika.Yeyote atakaye kujua ugomvi wa hawa watu, lazima achimbe historia kutoka kwa Ibrahimu (Abraham) na kizazi chake chote kilichofuata mpaka kwa Yakobo na Essau...
Ni maswala ya ugomvi wa urithi. Na ugomvi huo hakuna awezaye kuuamua isipokuwa ni Mungu mwenyewe kwa wakati wake aliopanga mwenyewe...
Na kizuri kingine ni kuwa Taifa la Israeli na ardhi yake ndilo lenye haki zote 100% na eneo hilo wanalolitaka Wapalestina...
Mkono na nguvu ya ulinzi wa Mungu Yehova iko juu ya taifa lake teule. Chokochoko wanazofanyiwa wana wa Israel na taifa lao ni za kawaida kwa shetani kwa sababu ni kawaida yake kumpinga Mungu Yehova. Kamwe hawezi kuacha kumchokoza na kumchokonoa Mungu Yehova mpaka wakati wake utakapofika wa kufungwa milele...
Pamoja na yote haya, ukweli ni huu, hakuna wa kuweza kuwapiga hao akawaua wote na kisha kuwanyang'anya ardhi yao na kuishi hapo. Hayupo...!!
Israel limekuwa ni taifa ambalo mara zote limekuwa linawindwa sana ili ikiwezekana lifutwe kabisa duniani na kukiteketeza kizazi chote, lakini hakuna aliyewahi kufanikiwa na hakuna wa kufanikiwa leo, kesho na hata milele...
Mara nyingi ambacho hufanikiwa huwa ni kuwandoa kwa muda ktk ardhi yao na kukaa utumwani ktk nchi za watu wengine wakiteswa na kutumikishwa sana kama watumwa kama vile walivyochukuliwa utumwani Misri na kuishi huko kwa miaka 430, Babeli (Iraki ya leo) nk nk
Majaribio mengi pia yamefanyika kwa lengo la kukifuta kizazi cha Wayahudi (Waisrael) lakini nalo halijawaji kuwezekana pia na halitawezekana...
Kumbukeni nyakati zile za WWI & II. Shetani alijegeuza sura na kuwa binadamu wakiongozwa na Adolf Hitler akiwa na agenda kuu kukifuta kizazi cha wayahudi popote walipo duniani. HAKUWEZA...!!
Unaweza kuwaua wote, lakini ukibakisha wawili au watatu watazaana tena kwa wingi na kwa kasi ya ajabu sana na kuwa na nguvu isiyo ya kawaida tena na tena...
Hao (Israel/Waisrael) waacheni hivyo hivyo. Hilo ni taifa teule la Mungu na ndiko alikotokea Yesu Kristo .... Yeye (Yesu Kristo) ni wa ukoo huo pia...
Ukitaka kuishi na kubarikiwa, jiungamanishe na Israel. Ukitaka kufa kifo cha milele na kuishi maisha ya laana, jaribu kumshambulia na kulitakia mabaya taifa hilo na watu wake. Huko ni kugusa mboni ya jicho la Mungu...!!
Ukitaka kuishi na kubarikiwa, jiungamanishe na Israel. Ukitaka kufa kifo cha milele na kuishi maisha ya laana, jaribu kumshambulia na kulitakia mabaya taifa hilo na watu wake. Huko ni kugusa mboni ya jicho la Mungu...!!
Kwa mda mrefu kumekuwepo na mzozo kati ya wa-Palestina wa- Israel. Wa-Palestina wanadai hapo wa- Israel walipo ni kwao kwa asili.
Swali langu, je madai haya ni sahihi na halali kiasi gani?
Je, wakati wa- Israel wanawekwa hapo wao walikuwa wameenda kutalii wapi?
Narudia Tena Hawa waisraeli wa Sasa sio wale wa kwenye biblia Hawa wanaitwa Ashkenazi Jews ..Hawa ni wazungu kutoka urusi wanajiita Jews kwa walikuwa converted to Judaism religion ndio wakajiita Jews ..real Jews wa kwenye Bible ambacho ni kizazi Cha yesu wako Ethiopia
Na nyie Waafrika mlikuwa wapi wazungu walipokuvamieni kwenye nchi zenu na kuchukuwa mali zenu?nilimshangaa eti anawatetea waperestina, kwani walikuwa wapikipindi waislael wanachukua ardhi wanayodai ni yao..