King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
99%. Hata kama ni Tigo pesa ujue kuna mwanaume. Awe wake au hata kwa kuuza nyapu.
Hata kwenye vyeo ni hivyo hivyo awe amesoma au hajasoma.
Wahenga tunaelewana
Huyo jamaa huwa ni chenga sana, anachojua ni kuwakashifu waalimu tu.Air hostess Gani anaelipwa Dola 3000
Mimi na wewe tunaujua ukweli huu kwa sanani ni wahongaji wazuri.100% mkuu , ila mwenyewe atakwambia nimepambana nimejibana bana mpaka nikapata ila 100% ameboostiwa na njemba....wanawake fedha zao wanainvest kwenye mionekano/urembo na si kuwekeza kwenye mitaji/biashara ,ukiona ameanzisha biashara maana yake njemba imefanya yake ,huo ndiyo ukweli tusipepese macho.
Mzee aliukataa unafiki kabisa. Akawaeleza ukweli. Huyo ni mtu mzuri mno.Kuna mwalimu mkongwe nilimkuta shuleni tulipoenda kuripoti kuanza kazi ya ualimu. Yule mwalimu akawa anatushangaa na kutuuliza nyie vijana mmefuata nini huku? Kama vipi kimbieni haraka sana hii kazi mngali mna nguvu, la sivyo mtakuwa mmesaini umasikini wa kujitakia nyie pamoja na watoto wenu. Alisema huko kuna hela za kula tu, kama tunapenda kula tu ni hiyari kusubiri huo mshahara wa kula kila baada ya wiki nne tukijua hiyo sio kazi bali tumeajiriwa kama mayaya wa kulea watoto wa watu wanaofanya kazi. Kauli hiyo iliniacha hoi nisijue niache kazia au niendelee nikitumainia pensheni ya uzeeni.
Fikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.
Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.
Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.
Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.
glossary aliyofungua ndio nini
KLM tu wanawalipa air hostess USD 2600, na ni miongoni mwa kampuni kongwe kabisa, wewe huwa unaotaIvi kumbe ni lazima iwe Tanzania? Kwamba watanzania wote wanafanya kazi kwenye makampuni ya bongo tu
Tena nakuheshimu kama unavyoniheshimu ila hapa Kwa walimu hapana......Hapa tunaongelea walimu sio polisi Wala nurse, kwanini mnapenda kuingiza kada ambazo hazipo kwenye mada.
We Dada angu bhnaa unanipinga tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hizi mada za kimkakati, hapa zinatafutwa habari za huyo dada kijanja.Eti aliacha kazi.Aseme tu alipungunzwa kazini baada ya fast jet kupungua ndege na kupotea kabisa.
Fikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.
Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.
Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.
Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.
View attachment 2708851
Kwa sasa ni kama 6M
Kiben ten ndo kafunga nae ndoa na kuzaa nae baby no 2 . MME WAKE HAWEZI FUJISHA PICHA. ITAKUWA SPONSOR BAADA YA KUACHWA NDO AKAVUJISHA. Si unajua ma sponsor wakiachwa huwa wanaumia sana.Kiben 10 ndio kilivujisha zile picha ?
Nimeona interview yake kwa Millard Ayo. Jesca kasema alikuwa analipwa million moja na nusu tu.Ni zaidi ya hio hela now. Kitu kama 7.45M kwa rate ya leo.
Shida ipo Wapi? Hujui hata mbeba maboksi USA analipwa pesa nyingi kuliko mbunge wa bongo?
Usijali Dada angu nimekuelewa [emoji120][emoji120][emoji120]Tena nakuheshimu kama unavyoniheshimu ila hapa Kwa walimu hapana......
Nawaingiza police na wafanyakazi. wa kada tofauti tofauti Toka serikali I maana mishahara Yao tofauti ni ndogo sana,ila mwalimu anaoneka takataka Kwa vile Hana njia nyingine ya kujipatia kipato,kada nyingine wanaweza kupata vimchongo akala Rushwa mambi yakasonga,mwalimu zake chaki na watoto.....Ipigieni kelele serikali sio walimu
Air hostess aishi US Kwa lipi?
Nyie bwana wadogo exposure hamna ila mnaongoza kwa ubishi. Mimi nimeishi Doha Qatar na nimefanya kazi States for more than 30 years. Here is the thing, sijui una elimu kiasi gani ila tangu dunia izaliwe haijawahi kutokea tukapima au kufanya mlinganisho wa salary payment between two different countries kwa kutazama kwenye sector moja. Tunatafuta average salary payment kwa kuangalia sector zote. Na sijui hata unabisha nini maana world statistics kwenye labour day ya 2023, States ni wa 4 globally for paying good salary kwa wafanyakazi wake.
Ukiangalia takwimu latest kutoka vyanzo vingi kuhusu mishahara mfano ya walimu USA haipo hata top 10.
Saudi Arabia inaipiku mbali
Weka pichake bila makeup nioneFikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.
Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.
Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.
Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.
View attachment 2708851
Mkuu kumbe we ni mzee?? Kufanya kazi miaka 30 maana ake ulienda huko una miaka 25 hivi. Kwahiyo saizi uko na miaka 55 or aboveNyie bwana wadogo exposure hamna ila mnaongoza kwa ubishi. Mimi nimeishi Doha Qatar na nimefanya kazi States for more than 30 years. Here is the thing, sijui una elimu kiasi gani ila tangu dunia izaliwe haijawahi kutokea tukapima au kufanya mlinganisho wa salary payment between two different countries kwa kutazama kwenye sector moja. Tunatafuta average salary payment kwa kuangalia sector zote. Na sijui hata unabisha nini maana world statistics kwenye labour day ya 2023, States ni wa 4 globally for paying good salary kwa wafanyakazi wake.
Fikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.
Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.
Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.
Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.
View attachment 2708851
Walimu wanahitaji kushauriwa ahseeTeacher..., nakuona mzee wa Itel!!!
Akili za kuambiwa changanya na zako hawa wanawake wenye mafanikio historia yao huwa CD imescratch sehemu hata alikuwa na sponsor hiyo hata ingiza mtoto mzuri kama huyu uniambie hata laki tano alianza nayo kama mtaji ntabisha hadi Yesu arudiFikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.
Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.
Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.
Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.
View attachment 2708851