Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

99%. Hata kama ni Tigo pesa ujue kuna mwanaume. Awe wake au hata kwa kuuza nyapu.

Hata kwenye vyeo ni hivyo hivyo awe amesoma au hajasoma.

Wahenga tunaelewana

100% mkuu , ila mwenyewe atakwambia nimepambana nimejibana bana mpaka nikapata ila 100% ameboostiwa na njemba....wanawake fedha zao wanainvest kwenye mionekano/urembo na si kuwekeza kwenye mitaji/biashara ,ukiona ameanzisha biashara maana yake njemba imefanya yake ,huo ndiyo ukweli tusipepese macho.
 
100% mkuu , ila mwenyewe atakwambia nimepambana nimejibana bana mpaka nikapata ila 100% ameboostiwa na njemba....wanawake fedha zao wanainvest kwenye mionekano/urembo na si kuwekeza kwenye mitaji/biashara ,ukiona ameanzisha biashara maana yake njemba imefanya yake ,huo ndiyo ukweli tusipepese macho.
Mimi na wewe tunaujua ukweli huu kwa sanani ni wahongaji wazuri.

Pia mimekuwa na michepuko kadhaa naona mambo yao.

Twaweza sema nearly 100%
 
Kuna mwalimu mkongwe nilimkuta shuleni tulipoenda kuripoti kuanza kazi ya ualimu. Yule mwalimu akawa anatushangaa na kutuuliza nyie vijana mmefuata nini huku? Kama vipi kimbieni haraka sana hii kazi mngali mna nguvu, la sivyo mtakuwa mmesaini umasikini wa kujitakia nyie pamoja na watoto wenu. Alisema huko kuna hela za kula tu, kama tunapenda kula tu ni hiyari kusubiri huo mshahara wa kula kila baada ya wiki nne tukijua hiyo sio kazi bali tumeajiriwa kama mayaya wa kulea watoto wa watu wanaofanya kazi. Kauli hiyo iliniacha hoi nisijue niache kazia au niendelee nikitumainia pensheni ya uzeeni.
Mzee aliukataa unafiki kabisa. Akawaeleza ukweli. Huyo ni mtu mzuri mno.
 
Fikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.

Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.

Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.

Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.

glossary aliyofungua ndio nini
 
Hapa tunaongelea walimu sio polisi Wala nurse, kwanini mnapenda kuingiza kada ambazo hazipo kwenye mada.

We Dada angu bhnaa unanipinga tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena nakuheshimu kama unavyoniheshimu ila hapa Kwa walimu hapana......
Nawaingiza police na wafanyakazi. wa kada tofauti tofauti Toka serikali I maana mishahara Yao tofauti ni ndogo sana,ila mwalimu anaoneka takataka Kwa vile Hana njia nyingine ya kujipatia kipato,kada nyingine wanaweza kupata vimchongo akala Rushwa mambi yakasonga,mwalimu zake chaki na watoto.....Ipigieni kelele serikali sio walimu
 
Fikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.

Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.

Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.

Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.

View attachment 2708851

Sasa wote wakiacha kazi ya uwalimu, nani atafundishaa. Lkn lingine kuwa na ufanisi wa kifedha, haimaanishi ndiyo kuwa na ufanisi wakimaisha. Kuna mambo mengi yanahusika.
 
Tena nakuheshimu kama unavyoniheshimu ila hapa Kwa walimu hapana......
Nawaingiza police na wafanyakazi. wa kada tofauti tofauti Toka serikali I maana mishahara Yao tofauti ni ndogo sana,ila mwalimu anaoneka takataka Kwa vile Hana njia nyingine ya kujipatia kipato,kada nyingine wanaweza kupata vimchongo akala Rushwa mambi yakasonga,mwalimu zake chaki na watoto.....Ipigieni kelele serikali sio walimu
Usijali Dada angu nimekuelewa [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Air hostess aishi US Kwa lipi?

Nyie bwana wadogo exposure hamna ila mnaongoza kwa ubishi. Mimi nimeishi Doha Qatar na nimefanya kazi States for more than 30 years. Here is the thing, sijui una elimu kiasi gani ila tangu dunia izaliwe haijawahi kutokea tukapima au kufanya mlinganisho wa salary payment between two different countries kwa kutazama kwenye sector moja. Tunatafuta average salary payment kwa kuangalia sector zote. Na sijui hata unabisha nini maana world statistics kwenye labour day ya 2023, States ni wa 4 globally for paying good salary kwa wafanyakazi wake.
 
Fikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.

Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.

Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.

Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.

View attachment 2708851
Weka pichake bila makeup nione
 
Nyie bwana wadogo exposure hamna ila mnaongoza kwa ubishi. Mimi nimeishi Doha Qatar na nimefanya kazi States for more than 30 years. Here is the thing, sijui una elimu kiasi gani ila tangu dunia izaliwe haijawahi kutokea tukapima au kufanya mlinganisho wa salary payment between two different countries kwa kutazama kwenye sector moja. Tunatafuta average salary payment kwa kuangalia sector zote. Na sijui hata unabisha nini maana world statistics kwenye labour day ya 2023, States ni wa 4 globally for paying good salary kwa wafanyakazi wake.
Mkuu kumbe we ni mzee?? Kufanya kazi miaka 30 maana ake ulienda huko una miaka 25 hivi. Kwahiyo saizi uko na miaka 55 or above
 
Fikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.

Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.

Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.

Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.

View attachment 2708851

Teacher..., nakuona mzee wa Itel!!!
 
Fikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.

Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.

Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.

Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.

View attachment 2708851
Akili za kuambiwa changanya na zako hawa wanawake wenye mafanikio historia yao huwa CD imescratch sehemu hata alikuwa na sponsor hiyo hata ingiza mtoto mzuri kama huyu uniambie hata laki tano alianza nayo kama mtaji ntabisha hadi Yesu arudi
 
Back
Top Bottom