Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Analeta masihala huyo.Kama million 7 kwa mwezi ni ndogo acha nishoboke tu mkuu. Wapo watu budget ya kuwalipa ofisi nzima haizidi hio figure. Na wananyonga tai kama kawa.
Hawana akili kwahiyo shida ni cognitive abilityTatizo lipo kati yako na "UALIMU" as a field Au kati yako "MISHAHARA" yao ??
Watu wanacheza na maishaAnaleta masihala huyo.
Kuna ofisi monthly salary invoice hazifiki hata milion 5 na watu wana familia.
Acha awaze anachoamini.
Kwamba ni "motivesheno Supika"?Ulipwe $3000 uache ukafungue grocery ya vinywaji? 😂 😂 😂 ONLY IN TIZED MAZEE
Unafikiri gharama ni kununua vinywaji tu mkuu? Kuna mafriji na mafriza, kulipia frem, ukarabati na pia biashara unaanza kidogo kidogo usiingie mazimaKwa hyo alikuwa analipwa dola 3000 takriban milion 6 plus then akafungua biashara ya vinywaji ambayo haifiki laki 5?
Hv ulijifunza kweli LOGIC darasani?
100 pasenga 🤣Kwamba ni "motivesheno Supika"?
Yes you can, iyo kazi utalipwa paka lini?Ulipwe $3000 uache ukafungue grocery ya vinywaji? [emoji23] [emoji23] [emoji23] ONLY IN TIZED MAZEE
Huyo watakuwa walimpugaUlipwe $3000 uache ukafungue grocery ya vinywaji? 😂 😂 😂 ONLY IN TIZED MAZEE
😂😂 hatari motivesheni spikaUlipwe $3000 uache ukafungue grocery ya vinywaji? 😂 😂 😂 ONLY IN TIZED MAZEE
Mkuu kitendo tu cha kuwa stable kwenye biashara yake ni ushindi tosha. Haijalishi alipitia mangapi kufika hapoSasa Mkuu ukianza kuchukua inspiration kwa wadada utapotea. Huyo ukute aliachishwa kazi na sponsor lake, akajipumzikia zake, after the mentioned years akapewa mtaji wake ndo saivi anatikisa mjini. Hao wanawake wenzako wana contingency plan between their legs in case mambo hayaendi vile wanataka, wewe sasa jichanganye uache kazi ukaskume guta alafu ukose mizigo ya kubeba kwenye hilo guta, uone kama hujavuliwa ubingwa mjini hapo[emoji28]
Shida kweli kweliWalimu wasiache kazi ila selikari iwekeze kwenye elimu ikiwemo kuwalipa vizuri.yaan mwalimu leo hii analipwa laki 2 au 4 au 7 alipe nauli avae ale asomeshe..bado anawazazi du
Usiwape faraja watu hizo biashara nyingi huwa ni vichaka vya kutakatishia hela tu. Nature ya biashara za Sinzale ndio nyingi ziko hivyo 🤣Unafikiri gharama ni kununua vinywaji tu mkuu? Kuna mafriji na mafriza, kulipia frem, ukarabati na pia biashara unaanza kidogo kidogo usiingie mazima
Ila Wakulungwa hiyo undercover business lazima watakua wanaijua!!Hio biashara ya bar ni extension ya biashara yake kuu ambayo mimi na wewe hatuijui[emoji1787]!
Ivi kumbe ni lazima iwe Tanzania? Kwamba watanzania wote wanafanya kazi kwenye makampuni ya bongo tuNinajua Hilo ila ninakuuliza wewe ni Kampuni ipi Tanzania inamlipa air hostess Dola 3000
itakuwa huko shuleni alienda kusomea ujinga kama asemavyo bi FaizafoxKwa hyo alikuwa analipwa dola 3000 takriban milion 6 plus then akafungua biashara ya vinywaji ambayo haifiki laki 5?
Hv ulijifunza kweli LOGIC darasani?
Walimu hamuwez kuelewa mambo haya maana akili zenu zimegandaNimeshangaa
Yani mtu aache milion 6 + Kwa mwezi aende Kuanzisha biashara ya kusumbuana na tra na osha