Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

Kwa hyo alikuwa analipwa dola 3000 takriban milion 6 plus then akafungua biashara ya vinywaji ambayo haifiki laki 5?

Hv ulijifunza kweli LOGIC darasani?
Unafikiri gharama ni kununua vinywaji tu mkuu? Kuna mafriji na mafriza, kulipia frem, ukarabati na pia biashara unaanza kidogo kidogo usiingie mazima
 
Sasa Mkuu ukianza kuchukua inspiration kwa wadada utapotea. Huyo ukute aliachishwa kazi na sponsor lake, akajipumzikia zake, after the mentioned years akapewa mtaji wake ndo saivi anatikisa mjini. Hao wanawake wenzako wana contingency plan between their legs in case mambo hayaendi vile wanataka, wewe sasa jichanganye uache kazi ukaskume guta alafu ukose mizigo ya kubeba kwenye hilo guta, uone kama hujavuliwa ubingwa mjini hapo[emoji28]
Mkuu kitendo tu cha kuwa stable kwenye biashara yake ni ushindi tosha. Haijalishi alipitia mangapi kufika hapo
 
Twendeni taratibu jamani, mtapoteza watu na hizi motivational stories.
Story ya mtu haipo kwenye nilikua pale, nikaacha sasa hivi nipo hapa, story halisi ni ile ambayo yupo tayari ameze kaa la moto kuliko kuisumulia.
Apongwzwe tu kwa pale alipofika, ila kwa sababu ya mafanikio ya huyu, usimbeze yule mwingine kwa pale alipo, labda mpaka uyajue yale yasiyosimuliwa na kusimulika.
 
Back
Top Bottom