Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

Umelopoka tu
 
[emoji1430]
 
Hio biashara ya bar ni extension ya biashara yake kuu ambayo mimi na wewe hatuijui[emoji1787]!
Watu wote hawawezi kufungua bar. Wengine lazima wafanye issue zingine. Walimu wengi tu wana miradi sio lazima itangazwe kama kitambaa cheupe.

Kwani bar ngapi zimeanzishwa zikavuma na zikafa? Mtoa mada anafikiri kitambaa cheupe ndio bar ya kwanza Dar. Atakuwa mgeni wa starehe.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Huy
Good observation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…