Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #141
Ndo maajabu ya walimu, hata hiyo pesa million mbili hakuna ticha analipwa mpaka atastafuWanakula MPAKA 2M? hilo neno MPAKA linaonesha ndiyo hela ya juu wanayokula, kuna mtu anawaza apanueje mradi wake aingize 1M daily then wewe unahemea 2M monthly?
Sponsa kazi yake kuu ni kusponsa, mengine ni yale ya sekunde tatu tayari, yanabwbwa na ukwasi tuKumbe sponsor huwa haachwi?Ikute sponsor hana nguvu za kiume na bibi kaona anaweza kusimama kwa miguu yake akaamua sasa atafute mtu wa kumsugua vizuri,baada ya mihangaiko ya kila siku katika kusaka noti.
Ukiwa sponsor hakikisha unamtumia sly queen as much as possible kabla hajaenda kwa Rika lake na sponsor kurudi kwa mama watoto.Halafu alikuwa na sponsor, sema hongera kwake maana alijiongeza.Katumia pesa za sponsor kuinvest. Baadae kampiga chini sponsor na kaibuka na kiben ten.
Uzi unaanza kunuka ngono badala ya fursaKumbe sponsor huwa haachwi?Ikute sponsor hana nguvu za kiume na bibi kaona anaweza kusimama kwa miguu yake akaamua sasa atafute mtu wa kumsugua vizuri,baada ya mihangaiko ya kila siku katika kusaka noti.
Hivi anajua hiyo ni Tsh 7.8 !.Ulipwe $3000 uache ukafungue grocery ya vinywaji? 😂 😂 😂 ONLY IN TIZED MAZEE
Ila kile kiben ten kinafaidi jamani..Halafu alikuwa na sponsor, sema hongera kwake maana alijiongeza.Katumia pesa za sponsor kuinvest. Baadae kampiga chini sponsor na kaibuka na kiben ten.
Siyo rahisi hivyo.mwanamke mzuri na asiye na bwana akifungua min bar anatoboa
Hebu nawe na Likud lako hilo kafungue grosare uone kama bia hazitachacha, yeye hata bila kufungua grosare angeweza kutajirika.Fikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.
Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.
Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.
Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.
View attachment 2708851
Nimemshangaa mno huyu jamaa kwa hasty generalizationIngekuwa hivyo hata bar za antiezekiel na amber lulu zingejaza wangekuwa matajiri wa kufa mtu tena ukilewa tu unataka kumjengea nyumba antiezekiel unatoa offer ya cret hamsini
Aahaaaaa, Mpwayungu Village njoo hukuHebu nawe na Likud lako hilo kafungue grosare uone kama bia hazitachacha, yeye hata bila kufungua grosare angeweza kutajirika.
Fastjet ilipe $3,000 au nimesoma vibaya ameandika $300Alikuwa fastjet.
Umeanza vizuri ila mwishoni umemaliza na ujinga.Haukuwa na sababu ya kuwazungumzia walimu au ajira ya mtu ilitosha kuzungua gatway ya huyo dadaFikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.
Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.
Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.
Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.
View attachment 2708851
Hilo suala la nguvu si kwa sponsor tu, hata mume wake anaweza kuwa nalo. Halafu suala hili la nguvu za kiume sidhani kama ni real kivile linakuzwa tu mitandaoni.Kumbe sponsor huwa haachwi?Ikute sponsor hana nguvu za kiume na bibi kaona anaweza kusimama kwa miguu yake akaamua sasa atafute mtu wa kumsugua vizuri,baada ya mihangaiko ya kila siku katika kusaka noti.
Wewe thubutu kukutwa na mwanamke wa kichaga MREMBO, MWEREVU...utauza figo.Kama unakuja hivi mkuu! Kwamba ana place maalumu ya kuwakongoa hela malofa au siyo? Na mathematically malofa wanazaliwa kila siku sema wanapungua tu hawaishi, sivyo?
Hapo wanaume wanaojikuta wanashika sana mikono ndiyo malofa au? Yaani unaleweshwa kwa bia unasomesha watoto?
Mtoa mada ana shida mahaliKwa hyo alikuwa analipwa dola 3000 takriban milion 6 plus then akafungua biashara ya vinywaji ambayo haifiki laki 5?
Hv ulijifunza kweli LOGIC darasani?
Huyu jamaa na walimu wakae chini wazungumze[emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu walimu ni maloferUmeanza vizuri ila mwishoni umemaliza na ujinga.Haukuwa na sababu ya kuwazungumzia walimu au ajira ya mtu ilitosha kuzungua gatway ya huyo dada
Kwenye biashara Mpya Anza na kidogo usitupe pesa yote kabla hujapata experienceYaani alikuwa analipwa dola 3000..lakini akaanza biashara mtaji wake hakufika hata laki 5? Inafikirisha.